The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,433
- 13,415
Wakuu nachofanya mimi ni uchambuzi wangu huru ,TUTAFAKARI!
Ni wazi mabadiliko ya mkuu wa nchi ni hatari na neema kwa makundi mbalimbali maslahi kimaslahi ,Mfano leo wapinzani kwa mara ya kwanza wanapata wasaa wa kutoa dudku duku zao mbazo wasingepata fursa hiyo kwa muongo mzima wa JPM hapo hatujaweka angejiongezea muda.
Mfumo nufaika na magu uko kwenye kipindi kigumu cha kutoisoma ramani ya MAMA kiasi cha kuanza kuhoji uwezo wake wa kushika uenyekiti wakiamini anahitaji kufungwa speed governor ya uhakika kwani za chini chini wanufaika walikuwa wanamdharau mama katika ile falsafa ya kumuiga MAGU kila analoamini.
Iwapo CCM watakosea mama asishike uenyekiti kutakuwa na haya:
1.Mwenyekiti lazima atakuwa kundi nufaika la MAGU hivyo atazua msuguano wa kuzuia utendaji wa mama unamgusa mwana kundi hilo mitandaoni almaarufu kama SUKUMA GANG.
2.Mama na wanufaika wake (anaowatengeneza na TEAM KIKWETE aka CCM Asilia) wataondoka na kinyongo kikaoni wakichukulia ni dharau na kitachotokea serikali itakuwa mbali na shughuli za chama kama ilivyo ada kwa kisingizio cha serikali haipaswi kuchanganya shughuli zake na chama SUKUMA GANG wataishi kwa kujuta maana mama atawapuuza.
3. SUKUMA GANG watatumia kudaka uenyekiti kama siraha ya kusimika mtu wao 2025 ili waendelee na KUISUKUMA NCHI MBEREEEE watatumia hela zao kukishika chama, ANGALIZO Mama (bila makali ya uenyekiti) atawashuhurikia kwa kutumia silaha ya dola watakaguliwa kodi waishiwe, watatekwa watabinywa mbupu mpaka wakae mkao.
4. Mwisho Iwapo team mama watajihakikishia hawatoboi ndani ya chama ya nyerere yatatimia upinzani ahalisi utatoka ndani ya CCM.
USHAURI
Kuepusha ligi hii ambayo sioni mshindi waache maji yafuate mkondo wake, Muacheni mama akamate usukani in full kubalini kushindwa nenden mkajikite kwenye uwekezaji kwa mahela mliyokwisha iba, Wengi mnasema suluhisho la yote ni katiba mpya lakini je iliyopo inafuatwa? katiba yetu inaruhusu kununua ndege bila kupitia bunge?
Katiba yetu inaruhusu mchakato wa upatikanaji wa wabunge 19? Katiba yetu inaruhusu manunuzi ya holela ya magari CHADEMA? Kabla ya katiba mpya tunahitaji maridhiano ya kitaifa kutubu kwa tuliyokoseana (hakuna ambae hajakosea) kisha tuamue sasa kujenga nchi na kusahau magumu yaliyopita, MAGU liletwa na MUNGU kuja kuwafundisha magumu ya kudharau katiba na kumtegemea mtu katika watu kawatesa ni WanaCCM wenzake na matajiri waliomchangia kushinda ikiwemo monaban wa arusha na manji ,manji alichangia kampeni na kushiriki wizi alichokipata sasa.
Wenu,
The only.
Ni wazi mabadiliko ya mkuu wa nchi ni hatari na neema kwa makundi mbalimbali maslahi kimaslahi ,Mfano leo wapinzani kwa mara ya kwanza wanapata wasaa wa kutoa dudku duku zao mbazo wasingepata fursa hiyo kwa muongo mzima wa JPM hapo hatujaweka angejiongezea muda.
Mfumo nufaika na magu uko kwenye kipindi kigumu cha kutoisoma ramani ya MAMA kiasi cha kuanza kuhoji uwezo wake wa kushika uenyekiti wakiamini anahitaji kufungwa speed governor ya uhakika kwani za chini chini wanufaika walikuwa wanamdharau mama katika ile falsafa ya kumuiga MAGU kila analoamini.
Iwapo CCM watakosea mama asishike uenyekiti kutakuwa na haya:
1.Mwenyekiti lazima atakuwa kundi nufaika la MAGU hivyo atazua msuguano wa kuzuia utendaji wa mama unamgusa mwana kundi hilo mitandaoni almaarufu kama SUKUMA GANG.
2.Mama na wanufaika wake (anaowatengeneza na TEAM KIKWETE aka CCM Asilia) wataondoka na kinyongo kikaoni wakichukulia ni dharau na kitachotokea serikali itakuwa mbali na shughuli za chama kama ilivyo ada kwa kisingizio cha serikali haipaswi kuchanganya shughuli zake na chama SUKUMA GANG wataishi kwa kujuta maana mama atawapuuza.
3. SUKUMA GANG watatumia kudaka uenyekiti kama siraha ya kusimika mtu wao 2025 ili waendelee na KUISUKUMA NCHI MBEREEEE watatumia hela zao kukishika chama, ANGALIZO Mama (bila makali ya uenyekiti) atawashuhurikia kwa kutumia silaha ya dola watakaguliwa kodi waishiwe, watatekwa watabinywa mbupu mpaka wakae mkao.
4. Mwisho Iwapo team mama watajihakikishia hawatoboi ndani ya chama ya nyerere yatatimia upinzani ahalisi utatoka ndani ya CCM.
USHAURI
Kuepusha ligi hii ambayo sioni mshindi waache maji yafuate mkondo wake, Muacheni mama akamate usukani in full kubalini kushindwa nenden mkajikite kwenye uwekezaji kwa mahela mliyokwisha iba, Wengi mnasema suluhisho la yote ni katiba mpya lakini je iliyopo inafuatwa? katiba yetu inaruhusu kununua ndege bila kupitia bunge?
Katiba yetu inaruhusu mchakato wa upatikanaji wa wabunge 19? Katiba yetu inaruhusu manunuzi ya holela ya magari CHADEMA? Kabla ya katiba mpya tunahitaji maridhiano ya kitaifa kutubu kwa tuliyokoseana (hakuna ambae hajakosea) kisha tuamue sasa kujenga nchi na kusahau magumu yaliyopita, MAGU liletwa na MUNGU kuja kuwafundisha magumu ya kudharau katiba na kumtegemea mtu katika watu kawatesa ni WanaCCM wenzake na matajiri waliomchangia kushinda ikiwemo monaban wa arusha na manji ,manji alichangia kampeni na kushiriki wizi alichokipata sasa.
Wenu,
The only.