Wakazi wa kata ya stesheni wilayani nachingwea wametapa kuibwaga ccm kwenye uchaguzi utakao fanyika tarehe 16th june, 2013.
Ccm inahaha kumnusuru mathias chikawe ambaye stesheni ni nyumbani kwake ambapo yeye ni mmoja wa wapiga kura wa ccm.
Katika harakati za uchaguzi ziznazoendelea wilayani changwea zinazoendeshwa na makamanda wa chadema na kunfanya mathias chikawe kushindwa kulala usiku kucha akikuna kichwa mpaka sasa cmm wamepoteza matumaini ya kushinda katika kata ya stesheni.vijana wanatambua njama na hila zinazofanywa na ccm za kununua shahada ya kura na kuwanunua mawakala wa chadema, na kwamba vijana hawa kwa misingi ya kukabiliana na waziri wa sheria na katiba wa tanzania pamoja na mabilioni yake yote hawata msikiliza na watahakikisha ccm hawapati muda wa kuiba shahada ama kunua au kuwarubuni makamanda.
Peoplessssss poweeeeer!!!!!
Ccm inahaha kumnusuru mathias chikawe ambaye stesheni ni nyumbani kwake ambapo yeye ni mmoja wa wapiga kura wa ccm.
Katika harakati za uchaguzi ziznazoendelea wilayani changwea zinazoendeshwa na makamanda wa chadema na kunfanya mathias chikawe kushindwa kulala usiku kucha akikuna kichwa mpaka sasa cmm wamepoteza matumaini ya kushinda katika kata ya stesheni.vijana wanatambua njama na hila zinazofanywa na ccm za kununua shahada ya kura na kuwanunua mawakala wa chadema, na kwamba vijana hawa kwa misingi ya kukabiliana na waziri wa sheria na katiba wa tanzania pamoja na mabilioni yake yote hawata msikiliza na watahakikisha ccm hawapati muda wa kuiba shahada ama kunua au kuwarubuni makamanda.
Peoplessssss poweeeeer!!!!!