Elections 2010 Anguko Kubwa kwa Upinzani Mwanga

senator

JF-Expert Member
Aug 9, 2007
1,924
66
habari zilizofika kwa source ya ITV huko mwanga
Udiwani CCM wamechukua viti vyote vya udiwani 20 kati yao wanne wamepita bila kupingwa
Kwenye Ubunge
CCM 20730
Chadema 4716
CUF 556

Kwenye Urais
CCM 20095
V 4643
CUF 367
Kuna kila dalili JK kushinda kwa more than 71% in overall votes
 
Futa usemi wako wa 71 percent ebu cheki apa
ARUSHA
Katika Jimbo la Arusha Mjini matokeo ya baadhi ya vituo vya Kata ya Kaloleni yalionyesha kuwa:
Kituo ‘A'
Urais: Kikwete 59, Dk. Slaa 112, Lipumba 4.
Ubunge: Burian CCM , Chadema 113, TLP 1.
Udiwani: CCM 52, Chadema 105, TLP 0.

KITUO A 2
Urais: Kikwete 76, Dk. Slaa 116, TLP 0.
Ubunge: CCM 71, Chadema 120, TLP 2.
Udiwani: CCM 70, Chadema 108, TLP 0.
Kituo A 3
Urais: Kikwete 67, Dk. Slaa 104, Lipumba 1.
Ubunge: 62, Lema 109, TLP 2.
Udiwani CCM 67, Chadema 97, TLP 2.
Kituo D 1
Urais: Kikwete 67, Dk. Slaa 118, Lipumba 5.
Ubunge: CCM 61, Chadema 121, CUF 3. TLP 4
Udiwani: CCM 57, Chadema 111, CUF 14, TLP 24.
Kituo D 2
Urais: Kikwete 64, Dk. Slaa 102, CUF 1, TLP 0.
Ubunge: CCM 64, Chadema 69, CUF 2, TLP 2.
Udiwani: CCM 60, Chadema 91, CUF 10, TLP 2.
Kituo D 3
Urais: Kikwete 50, Dk. Slaa 92, Lipumba 0.
Ubunge: CCM 48, Chadema 90, CUF 1, TLP 0.
Udiwani: CCM 43, Chadema 89, CUF 6, TLP 0.
Kituo D 4
Urais: Kikwete 67, Dk. Slaa 87, CUF 3.
Ubunge: CCM 68, Chadema 87, TLP 2.
Udiwani: CCM 63, Chadema 84, CUF 6.
ARUMERU MAGHARIBI
Matokeo kamili ni kama ifuatavyo:
Kituo namba 1
Urais: Dk. Slaa 122, Kikwete 74.
Ubunge: Chadema 106, CCM 91
Udiwani: Chadema 126, Marunda 70.
Kituo namba 2:
Urais: Dk. Slaa 135, Kikwete 47.
Ubunge: Chadema 108, CCM 71.
Udiwani: Chadema 123, CCM 57.
Kituo namba 3.
Urais: Dk. Slaa 144, Kikwete 65
Ubunge: Chadema 129, CCM 79
Udiwani Kendo 148, Marunda 62.
Kituo namba 4:
Dk. Slaa 132, Kikwete 51.
UBUNGE:
Kisambu Chadema, CCM 71
UDIWANI:
Chadema 126, CCM 57.
Kituo namba 5.
Urais:Dk. Slaa 116, Kikwete 50
Ubunge:Kisambu Chadema, CCM 72
UDIWANI
Chadema 113, CCM 55
Kituo namba 6:
Urais:Dk. Slaa 161, Kikwete 62.
Ubinge:Chadema 87, CCM 79
Udiwani:Chadema 101, CCM 65
DODOMA
Katika Jimbo la Dodoma Mjini.
Kata ya Viwandani
Kituo 1
Urais: Kikwete 95, Dk. Slaa 59, Lipumba 6.
Ubunge: CCM 101, Chadema 50, CUF 6.
Kituo 2
Urais: Kikwete 103, Slaa 55, Lipumba 3.
Ubunge: CCM 105, Chadema 48, CUF 4.
Kituo 3
Urais: Kikwete 94, Slaa 55, Lipumba 6.
Ubunge: CCM 93, Chadema 48, CUF 6.
Kituo 4
Urais: Kikwete 101, Slaa 49, CUF 5.
Ubunge: CCM 105, Chadema 41, CUF 8.
Kituo cha Uhindini 1
Urais: Kikwete 62, Slaa 46, Lipumba 0.
Ubunge: CCM 69, Chadema 33, CUF 5.
Uhindini 2
Urais: Kikwete 59, Slaa 45, Lipumba 0.
Ubunge: CCM 60, Chadema 34, CUF 1.
Makulu 1
Urais: Kikwete 85, Slaa 70, Lipumba 1.
Ubunge: CCM 74, Chadema 77, CUF 3.
Udiwani: CCM 48, Chadema 110.
Makulu 2
Urais: Kikwete 89, Slaa 72, Lipumba 0.
Ubunge: CCM 79, Chadema 81, CUF 1.
Udiwani: CCM 51, Chadema 112.
Mukala 1
Urais: Kikwete 73, Slaa 70, Lipumba 1.
Ubunge: CCM 52, Chadema 90, CUF 3.
Udiwani: CCM 38, Chadema 107.
Makalamo 2
Urais: Kikwete 81, Slaa 86, Lipumba 0.
Ubunge: CCM 60, Chadema 105, CUF 3.
Udiwani: CCM 37, Chadema 130.
Msangalale 1
Urais: Kikwete 111, Slaa 60, Lipumba 1.
Ubunge: CCM 93, Chadema 78, CUF 0.
Udiwani: CCM 52, Chadema 121.
NYERERE
Urais: Kikwete 67, Slaa 55, Lipumba 3.
Ubunge: CCM 70, Chadema 47, CUF 5.
Udiwani: CCM 64, Chadema 58.
POLISI ZAHANATI
Urais: Kikwete 73, Slaa 58, Lipumba 3.
Ubunge: CCM 77, Chadema 52, CUF 4.
Udiwani: CCM 71, Chadema 62.
OFISI YA WEO
Urais: Kikwete 62, Slaa 55, Lipumba 0.
Ubunge: CCM 70, Chadema 41, CUF 4.
Udiwani: CCM 59, Chadema 54.
Ofisi ya WEO 2
Urais: Kikwete 69, Slaa 39, Lipumba 0.
Ubunge: CCM 76, Chadema 29, CUF 1.
Udiwani: CCM 66, Chadema 43.

IRINGA
IRINGA MJINI
KIHESA
Ubunge: Chadema 322, CCM 162
STENDI KUU
Ubunge: Chadema, 182, CCM 79
MWEMBETOGWA
Ubunge: Chadema 56 CCM 44.
NHC
Ubunge: Chadema 108 CCM 78.
HAZINA
Ubunge: Chadema 159, CCM 75.
MGAMBO YA ZAMANI
Ubunge: Chadema 72, CCM 74.
DARAJANI
Ubunge: Chadema 111, CCM 67.
LDYDCP
Ubunge: Chadema 162, CCM 113.

TOWOGLO
Ubunge: Chadema 196, CCM 144

RUKWA
SUMBAWANGA MJINI:

Kituo cha Kantalamba A
Urais: Slaa 110, Kikwete 57.

KANTALAMBA B
Urais: Slaa 112, Kikwete 53

KANTALAMBA C
Urais: Slaa 107, Kikwete 55

KANTALAMBA D
Urais: Slaa 58, Kikwete 114

POLISI A
Urais: Slaa 57, Kikwete 67.

POLISI B
Urais: Slaa 57, Kikwete 52

MWENGE
Urais: Slaa 61, Kikwete 97.


KATANDALA A
Urais: Slaa 88, Kikwete 83

KATANDALA B
Urais: Slaa 88, Kikwete 64

KATANDALA C
Urais: Slaa 77, Kikwete 85

KATA YA MAZWI
Urais: Slaa 51, Kikwete 108.

DAR ES SALAAM

SHULE YA MSINGI KIJITONYAMA
Urais: Slaa 830, Kikwete 720.
Ubunge: Chadema 651, CCM kura 546.
Udiwani: Chadema 720, 611.

Matokeo kata ya Goba jimbo la Ubungo
URAIS
Kituo A
CCM 106, Chadema 61, Cuf 8
Kituo B
CCM 90, Chadema 70, CUF 8
Kituo C
CCM 99, Chadema 62, Cuf 4

Matokeo ya Ubunge
Kituo A
CCM 69, Chadema 85, CUF 8
Kituo B
CCM 76, Chadema 79, CUF 10
Kituo C
CCM 82, Chadema 84, CUF 0
Udiwani
Kituo A
CCM 74, Chadema 84, CUF 7
Kituo B
CCM 79, Chadema 83, CUF 8

Kituo C
CCM 85, Chadema 67, CUF 7

Kawe Tangibovu
Urais
CCM 69, Chadema 97, CUF hakuna
Kituo B
CCM 60, Chadema 100, CUF 14
Kituo C
CCM 60, Chadema 84, CUF 20
Kituo cha Makumbusho na Gereji
Kikwete 948 Dk Slaa 517 na Lipumba 315
MOSHI
Katika Jimbo la Moshi Mjini, Kata ya Mawenzi; kura za mgombea urais CCM (407), Chadema (339); mgombea ubunge CCM (341), Chadema (400); mgombea udiwani CCM (395), na Chadema (341).
Kata ya Karanga jimboni humo; kura za mgombea urais CCM (574), Chadema (813); mgombea ubunge CCM (226), Chadema (829); mgombea udiwani CCM (619), na Chadema (675).
MBEYA
Kituo cha Mwenge A: Dk. Wilbrod Slaa wa Chadema kura (91), Jakaya Kikwete (55), Ubunge Benson Mpesya wa CCM (51) na Joseph Mbilinyi au Sugu wa Chadema (115).
Mwenge B: Dk. Slaa (105), Kikwete (61), Ubunge Sugu wa Chadema (115) Mpesya wa CCM (51). Kituo cha Mwenge C: Urais Dk. Slaa kura 55, Kikwete kura 99, ubunge Sugu ana kura 120, Mpesya wa CCM ANA KURA 37. Kituo cha Mwenge D: Urais Dk. Slaa ana kura 103, Kikwete wa CCM ana kura 53 wakati ubunge Sugu wa Chadema ana kura 123 na Mpesya wa CCM ana kura 33 na Mwenge E: rais Dk. Slaa ana kura 113, Kikwete wa CCM ana kura 48 na kwenye ubunge Sugu wa Chadema ana kura 130 wakati Mpesya wa CCM ana kura 33.
Kituo cha Soweto A: Urais Kikwete ana kura 68, Dk Slaa wa Chadema ana kura 117 na kwenye ubunge Mpesya wa CCM ana kura 46 wakati Sugu wa Chadema ana kura 134.
Kituo cha Soweto B: Urais Kikwete ana kura 56 na Dk Slaa wa Chadema ana kura 123 wakati kwenye ubunge Mpesya wa CCM ana kura 41 na Sugu wa Chadema ana kura 137.
Kata ya Sisimba Urais Kikwete 79, Dk Slaa 75 na ngazi ya ubunge Sugu wa Chadema ana kura 102 wakati Mpesya wa CCM ana kura 43 na Price Mwaihojo wa CUF ana kura 02.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom