Mbangaizaji
Senior Member
- Jul 23, 2007
- 121
- 62
Jamani Wabunge wa CCM si ni wanasiasa? wamejifunza kuhusu shavu waliokula Dr. Slaa na Zitto. Sasa kila mmoja anajifanya anajututumua. Mi nathani huu ni usanii tu. EL atawaita na kuwashikisha adabu wote hiyo kesho. Then case closed. Mabadiliko ndani ya CCM ni magumu maana kuna walioshika mpini(walioko serikalini) na walioshika makali. Biti you hao wabunge ni ndogo tu " Tuone kama jina lako litarudi 2010" wote wanafyata mkia na kuunga mkono.The bottom line ni kuwanyima kura tu 2010 Basi.