Nina omba mjue kwamba ni baada ya makelel ya JF na baadhi ya mijadala ya watu wenye usongo kwenye TV prog za hapa nyumbani na Dr.Slaa na Zitto na watu kuanza kuwazomea na kuwatukana kwa uwazi ndiyo maana wachache wameanza kuamka . Wanawasikia wananchi wanayo yasema na hata Kenya wamejionea wenyewe so nadhani they are serious kama si danganya toto . Unajua madongo ya JF wanapekewa live wengine wana watoto wao humu humu na ndugu zao . Sasa JF ndiyo macho na masikio ya watanzania . JF baada ya akina Zitto ndiyo chombe pekee tunapo anika hata kama ni speculations mwishowe huwa ni ukweli sasa wanakwama kabisa . Tuendelee kukata issue kwa nguvu hapa tuache mchezo .
Thanks mama Anne Kilango Malechela, I love you
Ushirombo;
Nasikia Mama alitoka mzimamzima! With all her heart..emotionaly and physiacly! Usiombe kumuona mwanamke akiwa kwenye hiyo state!!!
Jamani hii habari mimi sina tatizo nayo, tatizo langu ni hapo inaposema "the seminar Charman, Dr Harrison Mwakyembe" na hapo inaposema "the seminar chairperson, Ms Anne Malecela ".
Jee seminar ilikuwa na wenyeviti wangapi? au sijaelewa vizuri naomba nifahamisheni.
I think Karamagi didn't see this coming.... poor Karamagi!!!
Changa la macho tu... Cant u see the bigger picture? Reshuffle is coming na kila Mbunge (CCM) ana matumaini ya "kukumbukwa" na ili "ukumbukwe" lazima "ubwake" kidogo.... Hah hah another goli la kisigino!
Sidhani kama hili ni goli la kisigino kama unavyodai. Ninavyodhani mimi haya ni matokeo ya wananchi kuzomea mawaziri na wabunge wao, kwamba wabunge na mawaziri wasipokomaa sasa basi huenda wakarushiwa mawe na mchanga huko majimboni kwao mara wamalizapo kikao hiki, kwani makali ya umeme na bei za vitu mbali mbali zimefikia mahali pabaya pasipovumilika.
Kama wana uthubutu huo kwanini wasiongee hayo ndani ya Bunge lenyewe badala yake huko vipembeni kwenye semina?
We wont take them serious until the stand on the main chamber and speak out, otherwise ni usanii at best!
Sawa mkuu Masatu, ngoja tuone maendeleo ya mijadala ya mikataba. Kama huu ni usanii tutawananga hapahapa mchana kweupe. Ila nasikia Lowassa kawaita chemba, huenda "anawafunda nidhamu ya chama"!
Si unaona sasa mkuu... wakitoka huko wote wanaufyata, anyway lets wait and see lakini Im really not convinced...
Mbunge atamani afe mapema
2008-02-04 09:20:04
Na Restuta James, Dodoma
``Nikipiga picha ya Tanzania ijayo nachanganyikiwa sipati picha Watanzania wenzetu watakavyokuwa, tumeuza viwanda, madini sasa tunauza vinu vya umeme tumewauzia wageni ambao watakuwa wanagonganisha glasi za mvinyo na serikali ikiwa `house boy na house girl` wananchi nao wakibakia kuwa watumwa`` ilisema sehemu ya ujumbe huo uliosomwa na Dk. Mwakyembe.
SOURCE: Nipashe