AngloGold Seeks Tanzania Talks to Break Impasse on Mine Laws

Tuna vilaza na mamluki wengi sana humu. Vumilia tu mkuu
Aisee!! Kama mimi ni kilaza mbona huyo Genius wako kaishi kutoa viroja tu kwa maswali niliyomuuliza?!


Btw, na wewe si Genius; au?! How come, pamoja na u-Genius wako bado hujajibu maswali niliyokuuliza ambayo ni mepesi kabisa?!
 
Anglogold walegeze mitazayo yao zama za kujipangia mnofu wa kula zimepita.Serikali ya China kupitia kampuni yake Shandong gold, wanaingia pahala pa Acacia.Wapo tayari kufuata win win terms,sheria mpya. Hivyo Aglogold wakisusa wengine wala.Pia si busara kwa kampuni kubwa vile kusimia mikataba ya kinyonyaji iliyoingiwa kwa mifumo ya rushwa,ili hali wao wakijinasibu kuwa na sera bora za kampuni kuzuia vitendo vya rushwa.

Unapojaribu kuwakimbia mabeberu wa ulaya ni mara mia ukaamua kujitegemea kuliko kumfanya mchina kama solution, kupitia hao Shadong ndio tutakuwa tumeingia kwenye uwekezaji mbaya kabisa toka tumeanzisha hii sera ya uwekezaji. Uzoefu unaonyesha hakuna mahala mchina alipowekeza akaleta matokeo chanya kwa jamii husika..

Uwekezaji kupitia mchina una athari nyingi sana kuanzia kwenye jamii, mazingira, serikali na taifa kwa ujumla, kwanza sahau juu ya watu kujifunza new technology, sahau juu ya afya za watu, sahau juu maendeleo ya watu, mchina ni mtoa rushwa mzuri kwa sasa Africa, sahau juu ya ajira kwa wasomi na baadhi ya watu wenye skills..Athari ni kubwa sana kudeal na mchina na hapa tuwe makini kuliko kudeal na hawa wazungu..

Tukishindwa kuvuna wenyewe rasilimali zetu ni vyema tukaziacha kuliko kujenga urafiki na mchina, tukiona kuna ulazima kabisa wa kuvuna hizi rasilimali ni vyema kuendelea na mzungu kuliko kujisogeza kwa mchina hiyo ni hatari zaidi ya moto..
 
Nimeamini kwamba hujui kuwa hujui.

Kampuni ilipropose mabadiliko ya jina (Kwa msingi huu ujue sasa incharge wa kubadili jina ni nani) kisha shareholders wakapiga kura za kukubali au kutokubali, in this context kampuni ni Management, Management ni Executive Leadership Team, Executive Leadership Team inaongozwa na CEO. Wakati mabadiliko hayo yanapendekezwa CEO wa ABG alikuwa nani?

Hapo ndipo kwenye mantiki ya chige kukwambia ni nani alibadili jina la ABG kwenda jina jipya.


African Barrick Gold hires Brad Gordon as new CEO
Na kwa nyongeza tu ili imfikie Sophist kwamba, wakati Brad anaingia ABG; akawa na mapendekezo mawili!

Pendekezo la kwanza ilkuwa ni la kubadili jina la ABG kwa sababu tayari image ya ABG ilishakuwa mbaya na pendekezo la pili ni kutaka autonomy from mother company Barrick Gold!

And in fact, zilikuwa ni conditions za Brad Gordon!
 
Usimamizi katika uwekezaji wa sekta ya madini unahitaji akili ya ziada sana kufikia malengo..
 
Nimeamini kwamba hujui kuwa hujui.

Kampuni ilipropose mabadiliko ya jina (Kwa msingi huu ujue sasa incharge wa kubadili jina ni nani) kisha shareholders wakapiga kura za kukubali au kutokubali, in this context kampuni ni Management, Management ni Executive Leadership Team, Executive Leadership Team inaongozwa na CEO. Wakati mabadiliko hayo yanapendekezwa CEO wa ABG alikuwa nani?

Hapo ndipo kwenye mantiki ya chige kukwambia ni nani alibadili jina la ABG kwenda jina jipya.


African Barrick Gold hires Brad Gordon as new CEO
Sorry, some of you guys are very poorly knowledgeable in the corporate world. Tangu lini CEO wa kampuni aka-implement sera asizopewa na Bodi ya wakurugenzi? Haya, kwenye hio link uliyoweka hapa kuna maneno haya hapo chini,

"Gordon, formerly chief executive officer of Intrepid Mines, has over 30 years' experience in the industry and has a track record of growing the value in large mining operations.

The new boss will be expected to hit the ground running as he joins the firm after an operational review, with the aim of making meaningful and lasting cost savings, optimising mine plans and driving returns.

"I am excited to join ABG at this critical time for the company and to put it on a path of future profitability and stability,” Gordon said in a statement.

“I look forward to immersing myself in the business, getting to know the talented employee base and understanding the company's strengths and its opportunities. It is imperative that we implement and further expand upon the initiatives identified in the operational review."

Ni wapi kumeandikwa kuwa Gordon amependekeza ABG kubadili jina kuwa Acacia (rebranding)? Ungekuwa mtu unayejua mikakati ya makampuni usingeshindwa kubaini kuwa hata kuajiriwa kwa Gordon ilikuwa sehemu ya rebranding strategy ya ABG a.k.a BG.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Na kwa nyongeza tu ili imfikie Sophist kwamba, wakati Brad anaingia ABG; akawa na mapendekezo mawili!

Pendekezo la kwanza ilkuwa ni la kubadili jina la ABG kwa sababu tayari image ya ABG ilishakuwa mbaya na pendekezo la pili ni kutaka autonomy from mother company Barrick Gold!

And in fact, zilikuwa ni conditions za Brad Gordon!
evidence/reference please!
 
This has nothing to do with what we've argued!

Anyway, but I can understand! I know you Sophist kupitia hapa JF... in short huwa hutaki kukubali kwamba umeshindwa and above is just a genius way of admitting kwamba umechemsha and all what's left ni kuzuga kwa kuweka irrelevant information!!
Quite relevant. You should have read the story (please follow link) to understand entire BG lineage thereafter connect your arguments with entire history, from BG, ABG all way to Acacia.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Duh! Sema tu ulichemka! Hivi hufahamu maana ya "ku-approve"?

Nice try anyway manake angalau ume-take trouble ku-Google!

SWALI: Hivi umeisoma hiyo habari?!
Unatakiwa kusoma na kuelewa corporate governance. Pendekezo la sera ya kampuni kwa shareholders ni prerogative ya Board siyo Management!

Na wewe ukisoma hizo links unaona Brad anatamkwa kuwa brainchild wa ABG rebranding to Acacia?
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Acha longo longo, nimekupa option ya kuweka source ya ku-support madai yako!

In short umeshindwa kwa sababu hujui unachoongea, or else, weka hapa kama nilivyofanya mimi!
bado hukuona overly links nilizokuwekea?
 
evidence/reference please!
Hilo tu? Jiongeze hapa:
Screenshot_2018-03-01-21-56-01.png

Full text; hapa!
 
Kwani kuchimbua dhahabu ni kiasi gani?hata hao barrick wanakopa tena kwa kutumia dhahabu ambayo ipo chini ya ardhi sie tumekaa tunalia mitaji
unafikiri ukipeleka ngozi yako nyeusi watakukopesha!?.. walishasema minerals si za MTU mweusi/africans
 
bado hukuona overly links nilizokuwekea?
Nilitarajia uweke source ya ku-support argument yako na sio ya ku-deny!

Source yako inasema Shareholders VOTED and approved for a new name na ilikuwa ni 2014!

Kinyume chake ulidai Brad Gordon aliingia Acacia wakati ABG ishabadilishwa jina na Shareholders!!!

Do I need to remind you kwamba Brad aliingia ABG in 2013 wakati ABG changed a name to Acacia in 2014?!

Do you still believe link ilikuwa ina-support argument yako?
 
Nilitarajia uweke source ya ku-support argument yako na sio ya ku-deny!

Source yako inasema Shareholders VOTED and approved for a new name na ilikuwa ni 2014!

Kinyume chake ulidai Brad Gordon aliingia Acacia wakati ABG ishabadilishwa jina na Shareholders!!!

Do I need to remind you kwamba Brad aliingia ABG in 2013 wakati ABG changed a name to Acacia in 2014?!

Do you still believe link ilikuwa ina-support argument yako?
Akikujibu, najitoa jf for good Sophist
 
Akikujibu, najitoa jf for good Sophist
Yet another strange argument. Na mchakato wa ABG rebranding ulianza lini? Unayemjibu anatakiwa kujua kuwa corporate rebrand strategic planning siyo tukio la siku moja katika mwaka husika bali it is defined by timeframe ambamo a series of strategic actions are planned and executed. right?
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Kitu kimoja unachotakiwa kuelewa mkuu ni kwamba there will always be someone to carry out the strategy, that person campions the strategy success (or failure....)
Sawa ila katika suala lililo mbele yetu huyo mtu unayemsema hawezi kuwa Gordon kwa sababu yeye aliajiriwa ikiwa ni sehemu ya kutekeleza ABG rebranding strategy, Katika hili, na kama ilivyo kwa corporate governance practices, maamuzi ya ABG rebranding yalifanywa na board ya ABG yakiratibiwa na mtangulizi wa Gordon.
 
Kabudi sijui mijicho itamtokaje kwenye international arbitration
Sijui huko kuna mtu atakuwa na muda wa kusikiliza lectures zake
Nyambafu...akili ya Kabudi siyo kama yako...tikisa mkia tu wewe
 
Tukishindwa kesi tukaambiwa kulipa faini za barabarani zitatumaliza, hadi baiskeli zitaandikiwa notifikesheni
 
Kinyume chake ulidai Brad Gordon aliingia Acacia wakati ABG ishabadilishwa jina na Shareholders!!!
Inaelekea unashindwa hoja hata you narrow the entire thing to mere individual. Unatakiwa kuelewa kuwa Board ya ABG ilipoamua kubadilisha policy sawia na mkakati mpya, haikuwa mwaka 2014 bali earlier before. Uamuzi huo, kwa tuanojua corporate governance ulikuwa ni pamoja na kuajiri CEO mpya, hence Gordon.
 
Back
Top Bottom