Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,463
- 40,963
Hapa siyo suala la kumshabikia mzungu ni suala la ukweli na uhalisia. Hata siku moja siwezi kushabikia ujinga kama wale ambao hawana lolote walijualo kuhusiana na madini.Inakusaidia nin wewe kumshabikia mzungu, tetea nchi yako mtanzania, haijalishi chama gani kinaongoza nchi, hii bado ni nchi yako tu.
Post sent using JamiiForums mobile app
Watanzania tushabikie uelewa na siyo kushabikia ujinga hata kama ujinga huo unafanywa na Baba yako.
Post sent using JamiiForums mobile app