kwa hiyo Rage ni mjusi uliogoma kutoka gamba??
mmm...king'asti.. hata wewe?sio mjusi, ni kenge
Rage ana rekodi ya uhalifu. Alishawahi kufungwa na akanyea debe segerea
godbless lema ana historia ya ujambazi wa magari hivyo mahakama ilimuamuru asikutwe amebeba silaha ya aina yoyote ile, hata kisu. Kwahiyo mleta hoja uko sahihi kabisa, yaani angekutwa na bastola ndiyo ungekuwa mwisho wake.
Godbless Lema ana historia ya ujambazi wa magari hivyo mahakama ilimuamuru asikutwe amebeba silaha ya aina yoyote ile, hata kisu. Kwahiyo mleta hoja uko sahihi kabisa, yaani angekutwa na bastola ndiyo ungekuwa mwisho wake.
Waambie hao, Mmasai kumkuta na sime,rungu,kisu ni kawaida. lakini vitu hivyo ukimkuta navyo kibaka wa Mbagala ni lazima ujiulize kama si kumpeleka polisi.
Lema ni Kamanda?Wakuu...angelikuwa ni kamanda Lema amefanya aliyoyafanya Rage.....
1) angekuwa yupo segerea saa hizi
2) Shimbo wa jwtz angekuwa ametoa tamko, huku vifaru vichakavu vya jwtz vikitoa moshi kwa nyuma yake.
3) yule waziri mwenye ndugu zake kule Mahale national park angekuwa ameshatukana kwenye vyombo vyote vya habari
4) ngongo wa jf arusha angekuwa ameanzisha thread zaidi ya 10
5) jamaa zetu wasio na uvumilivu...ms, rejao na the like wangekuwa wanahamasisha viroboto wenzao kupinga kuvunjwa kwa amani
6) wale jamaa zetu wapendao ubwabwa na posho, wangekuwa wameshatoa tamko kali.
...........endeleza list hiyo mwenyewe!
Lema ni Kamanda?
umedhihirisha kabisa kwamba baadhi ya Vyama vya siasa vina wapenzi/washabiki wendawazimu na hivyo kuhofia hata uwezo wa vyama hivyo. Maneno kama "KUNYEA DEBE", "KUWA KITOWEO " umuhimu wake katika mada hii ni nini? Wewe Lema unamfahamu vizuri kweli? Kakak ama kweli usilolijua ni kama usiku wa giza. Nenda kakae vijiwe vya Arusha upate habari zake viziuri.Mwita25 alias Philanderer zingatia haya;
Tofauti kubwa kati ya hawa wawili ni hizi;
- Lema hajawahi kukamatwa kwa uhalifu kama Rage.
- Lema hajawahi kushtakiwa kwa wizi kama Rage.
- Lema hajawahi kuhukumiwa kunyea debe kama Rage.
- Lema hajawahi kuwa kitoweo keko kama Rage.
Kwa kifupi Lema na Rage ni kama mwanga na giza na wewe Mwita25 a.k.a Philanderer umeamua kuishi gizani !
- Lema ni mbunge wa Chadema, Rage ni mbunge wa CCM.
- Lema anatetea maslahi ya taifa, Rage anatetea tumbo lake.
- Lema anapinga dhuluma na ufisadi, Rage ni tapeli na mwizi.
- Lema anapigania haki na usawa, Rage anatetea unyanyasaji.
Mwita25 alias Philanderer zingatia haya;
Tofauti kubwa kati ya hawa wawili ni hizi;
- Lema hajawahi kukamatwa kwa uhalifu kama Rage.
- Lema hajawahi kushtakiwa kwa wizi kama Rage.
- Lema hajawahi kuhukumiwa kunyea debe kama Rage.
- Lema hajawahi kuwa kitoweo keko kama Rage.
Kwa kifupi Lema na Rage ni kama mwanga na giza na wewe Mwita25 a.k.a Philanderer umeamua kuishi gizani !
- Lema ni mbunge wa Chadema, Rage ni mbunge wa CCM.
- Lema anatetea maslahi ya taifa, Rage anatetea tumbo lake.
- Lema anapinga dhuluma na ufisadi, Rage ni tapeli na mwizi.
- Lema anapigania haki na usawa, Rage anatetea unyanyasaji.
Mkuu, kwa hiyo nikitaka kujua habari za Lema, niende nikakae kwenye Vijiwe vya Arusha, kwa wahuni.umedhihirisha kabisa kwamba baadhi ya Vyama vya siasa vina wapenzi/washabiki wendawazimu na hivyo kuhofia hata uwezo wa vyama hivyo. Maneno kama "KUNYEA DEBE", "KUWA KITOWEO " umuhimu wake katika mada hii ni nini? Wewe Lema unamfahamu vizuri kweli? Kakak ama kweli usilolijua ni kama usiku wa giza. Nenda kakae vijiwe vya Arusha upate habari zake viziuri.
Kwahiyo lakuwa kitoweo keko unalikubali?Tafuta data vizuri... hayo yote niliyoyawekea red tayari yameshamtokea Lema
mwita25 a.k.a philanderer a.k.a twahilKwa kifupi Lema na Rage ni kama mwanga na giza na wewe Mwita25 a.k.a Philanderer umeamua kuishi gizani !
Mwita25 alias Philanderer zingatia haya;
Tofauti kubwa kati ya hawa wawili ni hizi;
- Lema hajawahi kukamatwa kwa uhalifu kama Rage.
- Lema hajawahi kushtakiwa kwa wizi kama Rage.
- Lema hajawahi kuhukumiwa kunyea debe kama Rage.
- Lema hajawahi kuwa kitoweo keko kama Rage.
Kwa kifupi Lema na Rage ni kama mwanga na giza na wewe Mwita25 a.k.a Philanderer umeamua kuishi gizani !
- Lema ni mbunge wa Chadema, Rage ni mbunge wa CCM.
- Lema anatetea maslahi ya taifa, Rage anatetea tumbo lake.
- Lema anapinga dhuluma na ufisadi, Rage ni tapeli na mwizi.
- Lema anapigania haki na usawa, Rage anatetea unyanyasaji.
Mkuu, kwa hiyo nikitaka kujua habari za Lema, niende nikakae kwenye Vijiwe vya Arusha, kwa wahuni.
Nashukuru mkuu kwa kutufahamisha taanza ni Vijiwe vya pale Sakina na Unga Limited