Munkari
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 8,084
- 4,351
Halafu kama nawaona vile...
namimi kama nakuona vilee na kitambi chako...
Halafu kama nawaona vile...
namimi kama nakuona vilee na kitambi chako...
Halafu wewe! ulipiga picha na kile kikuku chako cha kichwani!??
Namimi kama nakuona vile na kile kikuku kichwani...kama african queen vile...!
Mentor kipaji unacho mashairi chunguchungu
Kila kitu utoacho umejaliwa na Mungu
Nikisifu utupacho kwa wengine zumbuzumbu
Tegemeo langu leo na wengine wakuige
Achana naye Mchacho kila saa ni majungu
Kwa kuwa yeye ancho kipajiye kungungu kungu
Kazania utupacho ili iwe kumbukumbu
Tegemeo langu leo na wengine wakuige
JF wawe nacho kila saa kumbukumbu
Hakuna kitu ambacho kisiwemo humuhumu
JF itupacho kinafaa kumbukumbu
Tegemeo langu leo na wengine wakuige
Namalizia kitenzicho Mentor wangu yumo humu
Jina lake Mentor cho Wa kichina humu humu
Kila kitu atupacho Kisifiwe humu humu
Tegemeo langu leo na wengine wakuige
Hapana usiende..tupange tu party yetu (mimi na wewe TU)...ukivae tena. Roho yangu itapata amani sana...
Naona ulivyokuwa unakiangalia kwa jicho la huba... Hahaha!
Baba paroko imeandikwa ule madhabahuni..iweje uko shambani sasa!??