sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,028
Ama kwa hakika naweza kusema Trump alimudu vingi sana licha ya kuchafuliwa sana na Media kubwa ambazo ni left wing kama cnn, bbc, al jazeera, msnbc, cbs, n.k. lakini Trump aliweza kufanya mambo mengi sana.
Moja ya mambo aliyoyapa kipaumbele ni kupunguza misuguano ya uadui na kujikita zaidi katika umoja, Ni yeye ndie alieweza kwenda hadi North Korea katika hizi jitihada.
Huko Afghanistan ni wazi kabisa Biden ndie wa kulaumiwa kwa 100% na media pia haikuipa uzito vifo vya wanajeshi waliouwawa na Taliban kwa sababu ya double standards ya media kwa vyama vya siasa.
Na kwenye hii ishu ys Ukraine Biden kwa sasa ni kama mdoli tu mbele ya Urusi, Biden ni mdhaifu sana ila media inamlinda, yeye ndio chanzo cha youtube kuondoa idadi ya dislikes kwasababu videos zote za whitehouse zilikuwa zinapata dislikes nyingi sana mara kumi+ kuzidi likes, hawezi hata kwenda kwenye hafla za kimichezo kwa kuhofia kuimbiwa wimbo wa lets go brendon (fu** joe biden), kwenye kupanda ngazi inabidi awe makini ili asianguke kama alivyoanguka mara 3 kwa mpigo ila media zikawa kimya, hawezi ku deal na hoja anatukana waandishi ni juzi tu hapo kamtukana mwandishi ni som of a b*** ila media zimefukia hii ishu, Biden ni msahulifu sana ana ugonjwa wa dimentia anaweza dhani yupo new york ila yupo washington, n.k, n.k.
Kwa lugha nyepesi Biden ni kama katuni mbele ya Urusi, China na hata Iran.
Moja ya mambo aliyoyapa kipaumbele ni kupunguza misuguano ya uadui na kujikita zaidi katika umoja, Ni yeye ndie alieweza kwenda hadi North Korea katika hizi jitihada.
Huko Afghanistan ni wazi kabisa Biden ndie wa kulaumiwa kwa 100% na media pia haikuipa uzito vifo vya wanajeshi waliouwawa na Taliban kwa sababu ya double standards ya media kwa vyama vya siasa.
Na kwenye hii ishu ys Ukraine Biden kwa sasa ni kama mdoli tu mbele ya Urusi, Biden ni mdhaifu sana ila media inamlinda, yeye ndio chanzo cha youtube kuondoa idadi ya dislikes kwasababu videos zote za whitehouse zilikuwa zinapata dislikes nyingi sana mara kumi+ kuzidi likes, hawezi hata kwenda kwenye hafla za kimichezo kwa kuhofia kuimbiwa wimbo wa lets go brendon (fu** joe biden), kwenye kupanda ngazi inabidi awe makini ili asianguke kama alivyoanguka mara 3 kwa mpigo ila media zikawa kimya, hawezi ku deal na hoja anatukana waandishi ni juzi tu hapo kamtukana mwandishi ni som of a b*** ila media zimefukia hii ishu, Biden ni msahulifu sana ana ugonjwa wa dimentia anaweza dhani yupo new york ila yupo washington, n.k, n.k.
Kwa lugha nyepesi Biden ni kama katuni mbele ya Urusi, China na hata Iran.