Angekuwepo Hayati Magufuli Ruby ya bilioni 240+ isingetoroshwa. Taifa litaibiwa sana rasilimali zake

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Oct 2, 2020
4,085
6,564
Hivi madini ya pesa nyingi kama hizi yanatoroshwa na kwenda kuuzwa nje mamlaka husika hazina taarifa, huu ni uzembe mkubwa sana.

Taifa linaibiwa rasilimali zake kama shamba la bibi.

Hayati JPM alidhibiti haya mambo. Maana huko nyuma hata Nairobi ndio ilikuwa soko kubwa la dhahabu ya Tanzania na ilikuwa inatoroshwa kama pipi.

Leo hii Ruby ya bilioni 240 na ushee inatoroshwa kama vile mtu anavusha ubwabwa kwenye hotpot?

Kama angekuwepo hayati JPM vyombo vya ulinzi vingekuwa makini zaidi. Huu uzembe usingefanyika kabisa.
 
Hivi madini ya pesa nyingi kamaa hizi yanatoroshwa na kwenda kuunzwa nje mamlaka husika hazina taarifa, huu ni uzembe mkubwa sana.

Taifa linaibiwa rasilimali zake kama shamba la bibi.

Hayati JPM alidhibiti haya mambo. Maana huko nyuma hata Nairobi ndio ilikuwa soko kubwa la dhahabu ya Tanzania na ilikuwa inatoroshwa kama pipi.

Leo hii ruby ya bil 240 na ushee inatoroshwa kama vile mtu anavusha ubwabwa kwenye hotpot?

Kama angekuwepo hayati JPM vyombo vya ulinzi vingekuwa makini zaidi. Huu uzembe usingefanyika kabisa.
Dunia ya Leo unategemea mtu Mmoja kuendesha nchi badala ya Sheria?
 
Hivi madini ya pesa nyingi kamaa hizi yanatoroshwa na kwenda kuunzwa nje mamlaka husika hazina taarifa, huu ni uzembe mkubwa sana.

Taifa linaibiwa rasilimali zake kama shamba la bibi.

Hayati JPM alidhibiti haya mambo. Maana huko nyuma hata Nairobi ndio ilikuwa soko kubwa la dhahabu ya Tanzania na ilikuwa inatoroshwa kama pipi.

Leo hii ruby ya bil 240 na ushee inatoroshwa kama vile mtu anavusha ubwabwa kwenye hotpot?

Kama angekuwepo hayati JPM vyombo vya ulinzi vingekuwa makini zaidi. Huu uzembe usingefanyika kabisa.
Mbona hata JPM alipokuwepo watu walikua wanaiba madini wakipitisha chini ya ukuta aliojenga? Ufisadi haukuwahi kuisha Tanzania tofauti ni kwamba JPM alikua hapendi media kuongelea haya mambo maana aliona kama yanachafua serikali yake.

Hata wewe tu nikikuuliza kuna ripoti yoyote ya CAG imewahi ona hakuna wizi kabisa? JPM alichukua hatua Gani kwa watu wa TASAC kulipana mabilioni ya posho Kila mwaka? Alichukua hatua Gani kwa mafisadi wakina lugola? Nchambi alichukuliwa hatua Gani kwa ujangili wake? Kina sabaya na makonda waliopita watu pesa walichukuliwa hatuaa Gani? Walioiba makinikia walichukuliwa hatua Gani kina chenge na kafumu n.k? Tuliambiwa Acacia ni majizi na Mwanyika akaitwa fisadi kivipi alipewa ubunge na JPM? Au ufisadi uliisha alipojiunga CCM?

Msimkuze sana JPM ufisadi CCM haukuwahi kuisha na hautaisha mpaka siku muamke na kuitoa madarakani. Nyie mko busy kumshambulia Mama Samia ila mchawi mnajifanya hamumuoni!!

Funny
 
Hivi madini ya pesa nyingi kamaa hizi yanatoroshwa na kwenda kuunzwa nje mamlaka husika hazina taarifa, huu ni uzembe mkubwa sana.

Taifa linaibiwa rasilimali zake kama shamba la bibi.

Hayati JPM alidhibiti haya mambo. Maana huko nyuma hata Nairobi ndio ilikuwa soko kubwa la dhahabu ya Tanzania na ilikuwa inatoroshwa kama pipi.

Leo hii ruby ya bil 240 na ushee inatoroshwa kama vile mtu anavusha ubwabwa kwenye hotpot?

Kama angekuwepo hayati JPM vyombo vya ulinzi vingekuwa makini zaidi. Huu uzembe usingefanyika kabisa.
Umesoma report ya CAG?
 
Hivi madini ya pesa nyingi kamaa hizi yanatoroshwa na kwenda kuunzwa nje mamlaka husika hazina taarifa, huu ni uzembe mkubwa sana.

Taifa linaibiwa rasilimali zake kama shamba la bibi.

Hayati JPM alidhibiti haya mambo. Maana huko nyuma hata Nairobi ndio ilikuwa soko kubwa la dhahabu ya Tanzania na ilikuwa inatoroshwa kama pipi.

Leo hii ruby ya bil 240 na ushee inatoroshwa kama vile mtu anavusha ubwabwa kwenye hotpot?

Kama angekuwepo hayati JPM vyombo vya ulinzi vingekuwa makini zaidi. Huu uzembe usingefanyika kabisa.

Mali ya nchi haiwezi kulindwa na mtu mmoja, tungekuwa na taasisi imara mali zetu zisingeibiwa na ndio maana watu wanadai KATIBA MPYA itakayoasisi taasisi zenye nguvu zitakazotumika kulinda mali asili ya nchi! Wale wanaopinga kupata katiba mpya ndio hao wanafaidika na wizi wa mali ya nchi na hivyo wataleta kila sababu za kuchelewesha kupata katiba.
 
Hivi madini ya pesa nyingi kamaa hizi yanatoroshwa na kwenda kuunzwa nje mamlaka husika hazina taarifa, huu ni uzembe mkubwa sana.

Taifa linaibiwa rasilimali zake kama shamba la bibi.

Hayati JPM alidhibiti haya mambo. Maana huko nyuma hata Nairobi ndio ilikuwa soko kubwa la dhahabu ya Tanzania na ilikuwa inatoroshwa kama pipi.

Leo hii ruby ya bil 240 na ushee inatoroshwa kama vile mtu anavusha ubwabwa kwenye hotpot?

Kama angekuwepo hayati JPM vyombo vya ulinzi vingekuwa makini zaidi. Huu uzembe usingefanyika kabisa.
... waziri ni yule yule aliyeachwa na mwendazake! Kumbuka hilo.
 
23 Reactions
Reply
Back
Top Bottom