kelvin900
Member
- Jan 16, 2021
- 24
- 35
BMW ni mfumo gn?Hawezi fanya Utenguzi wakati Alitaka tuangalie Mzazi akizindua Kitabu chake walichoona ni muhimu sana kuliko hisia za Watanzania. Ndio shida ya Nchi kuendeshwa kwa mfumo wa BMW
BMW ni mfumo gn?Hawezi fanya Utenguzi wakati Alitaka tuangalie Mzazi akizindua Kitabu chake walichoona ni muhimu sana kuliko hisia za Watanzania. Ndio shida ya Nchi kuendeshwa kwa mfumo wa BMW
...mmm, nimeanza na wasiwasi na haya unayoyasema mkuu!
Naona mama bado ana huruma za mama..
Yule Uteuzi wake aliyemuambia Mwananchi hadharani kwamba atulize matako, so mpaka Leo anaendelea kula nchi na mama bado anamwachia tu bila kumpa adhabu yoyote!
Hats hili litapita kimya kimya tu...
Mna Imani na Mama sana!!!Mama can do it either! Nauona utenguzi wake wa kwanza kwa ngazi hii...
BMW kwa wale waliosoma Politics ina maaana Utawala ambao BABA, MAMA, WATOTO wako kwenye system ya Serikali kwa pamoja. Mwi, SAM etcBMW ni mfumo gn?
Hiii nafasi ya nape jamani hawa wengine mnafosi tuuuBashungwa ni nshomile kweli. Huwa nikiangalia picha hii alivyoshika karama akiangalia kamera huku hana karatasi ya kuandika ndipo ninapojua jamaa ni nshomile kweli.
View attachment 1778015
Ila sasa aangalie asijegeuzwa mbuzi wa shughuli kwani aliletwa na magufuli, na hii inaweza kuwa ni mwanya mzuri ya kumrudisha nape kwenye Wizara ile.
Acha udini,watanzania hatuna desturi hii.Kwa hiyo unataka kusema waislam hawawezi kuongoza?Na awamu ya nne, afu hizo zote ni za ISLAMIC. Yaan ni shida kwa kweli khaaaaah.
Kweni zile pesa zilizochangishwa na kina makonda timu kipindi inaenda Afcon zilipopigwa nani alitumbuliwa?Je na hili la biashara United kushindwa kwenda Libya waziri wa michezo angebakia kwenye dhamana aliyopewa?
Tunaongozwa na watu wasio na interest wala maarifa na mpira sad...