Ang'atwa korodani aking'ang'ania penzi

kilimasera

JF-Expert Member
Dec 2, 2009
3,068
266
MWANAUME mmoja ambaye ni mkulima, Selemani Abdallah miaka 47 amejeruhiwa sehemu zake za siri baada ya kung'atwa korodani na mke wake.

Tukio hilo, lilitokea juzi katika Kijiji cha Mindu Kata ya Mkuzi wilayani Muheza ambako anaishi na mke wake aliyefahamika kwa jina moja la Maria.

Akizungumza na Mwandishi wetu, Mkuu wa upelelezi Mkoa wa Tanga, Jafari Mohamedi alisema mkulima huyo aling'atwa na mke wake usiku wakati na kwamba walikuwa wakigombana masuala ya mapenzi.

Mohamedi alisema chanzo kikubwa cha ugomvi huo, kimetokana na mwanaume huyo kudai mapenzi kwa mke wake usiku wakati amelewa.

Alisema mke wake alimnyima mapenzi akidai amechoka hawezi kufanya kitendo hicho na mume, lakini mume wake aliendelea kumlazimisha.


Mohamedi aliongeza kuwa mkulima huyo alimshika kwa nguvu mke wake ili ampe penzi, lakini walivutana na mke alipata nafasi na kumng'ata korodani mume wake na kulipasua moja.

Kutokana na hali hiyo mwanaume alipiga kelele ndipo watu walijitokeza na kumpeleka polisi Muheza mjini na kupewa PF3 na kupelekwa hospitali ya Teule kulazwa kwa ajili ya matibabu.

Baada ya taarifa hiyo, polisi walimkamata mwanamke huyo na kumfikisha katika kituo cha polisi kuhojiwa kuhusiana na tukio hilo.
 
Dunia hii imeisha sijui tuende wapi. Sasa kama tunachakachuliw a kimaisha unarudi nyumbani angalau basi mama akuliwaze nae anakungata hii ngumu kabis. Mimi naona kama huyo mama alikuwa ameshachakachul iwa akawa hoi ndio maana hakutaka.Pia ina nipa picha Kina Dadapoa ndio maana hawakosi biashara kwani mazingirakama haya yanashawishi kujimuvuzisha. Kinababa tuunde vikundi vya Usawa wa jinsia Wenzetu Kenya walishafanya hivyo baada ya mwenzao kula kichapo.Huyo mzee keshahasiwa hana kazi tena huyo mama ni Muuaji hafai.Hiyo ni sawa ni kufanya fojo IKULU.Pia naamini ana mume mwingine kafanya hayo ili Mumewe asimsumbue.Tuwe Macho Kiama Chaja
 
S/times wanawake ni wakorofi sana unamg'ata mtu bailojia kuu? uzao? kwa nini hakumng'ata hata usoni? huyo mwanamke ni kicheche kana wanaume nje ya ndoa
 
Kwa upande mmoja, ni haki na halali ya mme kupata ndoa kutoka kwa mwenzie. Katika mazingira ya kawaida, mke hatakiwi kukatalia penzi.

Kwa upande wa pili, ni mazingira yapi huyo mme astahili kupata hiyo ndoa? Inawezekana huyo bwn alirudi usiku sana mke ameshapumzika kutokana na shughuli za mchana kutwa, au anaumwa (mambo ya wakubwa), au walishakubaliana kuwa anywe kiasi ndo haki hiyo itapatikana, mme kanywa kupita kiasi pengine.

I stand to be neutral, kwa kuwa sielewi mzizi/chanzo (tofauti) cha tatizo ni nini japo sijui huyo mama 'kesho atakula' wapi.
 
Yaani huyo mke???? Bora angemng'ata akamwacha, yeye kaling'ata hadi KALIPASUA???? Huyo jamaa nampa Pole sana koz ile kitu inauma sana......
 
Linavojua kuuma hilo likiungo, Loh! Jamaa alipata mateso ya ajabu. Nadhani alizimia kabisa.
 
Unajua maumivu yake?


Inasikitisha sana hata wale waliooa na kutolea mahali na kuunganishwa na Mungu bado nao kula tunda ni kazi.....Sijui tunakwenda wapi?
mie nadhani zipo sababu nyingi za msingi za mke kumnyima unyumba mume au mume kumnyima unyumba mke ila kumngata korodani naona kama hiyo ndoa inawalakini yawezekana walioana wakiwa hawapendani kwa dhati toka mioyoni mwao kwasababu kwa kungata hiyo kitu unawezampotezea maisha mwenzako!binti inaelekea alikuwa na hasira sana!kwa kulazimishwa
 
Unajua maumivu yake?


Inasikitisha sana hata wale waliooa na kutolea mahali na kuunganishwa na Mungu bado nao kula tunda ni kazi.....Sijui tunakwenda wapi?

hatuendi mahali kwa sababu wakati mwingine wanaume hupenda kula tunda kwa namna yao wanayotaka wenyewe bila kufanya mawasiliano mazuri na mliwa......sasa unafikiri kitakachofuata hapo ni nini kama si kung'ata
 
Kwa mke na Mume najua lazima kuwe na makubaliano lakini walipooana ni wazi kuwa walikubaliana kuishi kwa shida na raha.Sasa ni kipi cha kumnyima mwenza wako haki yake ya msingi huoni mwanamke kutoa sababu za kuchoka akiwa katika ndoa ni kumuonea mwenzie.Kwani asinge kubali kwenda kumpa hata kimoja tu cha hamu?
hatuendi mahali kwa sababu wakati mwingine wanaume hupenda kula tunda kwa namna yao wanayotaka wenyewe bila kufanya mawasiliano mazuri na mliwa......sasa unafikiri kitakachofuata hapo ni nini kama si kung'ata
 
Kwa mke na Mume najua lazima kuwe na makubaliano lakini walipooana ni wazi kuwa walikubaliana kuishi kwa shida na raha.Sasa ni kipi cha kumnyima mwenza wako haki yake ya msingi huoni mwanamke kutoa sababu za kuchoka akiwa katika ndoa ni kumuonea mwenzie.Kwani asinge kubali kwenda kumpa hata kimoja tu cha hamu?

ki ukweli kisa cha mama kung'ata mimi na wewe hatuwezi jua....unaweza kuta alikuwa na stress za maisha na zimesababishwa na huyo huyo baba, ni vigumu kwa yeye kupata hisia za kufanya mapenzi na mumewe....inaonekana kilichokuwa kinataka kutokea hapo ni ubakaji......wakati mwingine mnatubaka sana jamani.....itabidi katiba mpya ilitizame hili
 
hatuendi mahali kwa sababu wakati mwingine wanaume hupenda kula tunda kwa namna yao wanayotaka wenyewe bila kufanya mawasiliano mazuri na mliwa......sasa unafikiri kitakachofuata hapo ni nini kama si kung'ata

sasa kama hamuwezi kukamilisha time table ya mieleka si mturuhusu bana tulegalaiz small hauz, hivi mimi niko boiling point halaf unaniambia nisubilie kesho. aaaaargh lazima mkubali kwamba mwanaume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja bana! matokeo yake ndio haya ,kiwanda cha kutengeza watoto kishawekwa demeji.
 
sasa kama hamuwezi kukamilisha time table ya mieleka si mturuhusu bana tulegalaiz small hauz, hivi mimi niko boiling point halaf unaniambia nisubilie kesho. aaaaargh lazima mkubali kwamba mwanaume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja bana! matokeo yake ndio haya ,kiwanda cha kutengeza watoto kishawekwa demeji.

hapo naomba nirizevu komenti zangu......ngoja kwanza tuendelee na uchunguzi wa huu ung'atwaji
 
hapo naomba nirizevu komenti zangu......ngoja kwanza tuendelee na uchunguzi wa huu ung'atwaji
hapa hamna uchunguzi, jamaa auguze majeraha na huyu mama ang'olewe meno kwa amri ya polisi ili kuepusha ajali nyengine kama hii in ze fyucha.
 
hapa hamna uchunguzi, jamaa auguze majeraha na huyu mama ang'olewe meno kwa amri ya polisi ili kuepusha ajali nyengine kama hii in ze fyucha.

teh teh...aking'olewa meno atatumia kucha....ili mradi korodani zisumbuke
 
Sasa huyu mama amekibomoa kiwanda cha kutengeneza watoto, hataki tena production ya watoto!!!! I feel very sorry for the man!
 
Duh noma, kabisa unang'atwa tena na mkeo mmh kazi kweli
Bora angempa apige hata 1 kuliko kumng'atua mmewe pum*u
mambo hayao tena duh!:eek:
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom