Angalizo: Wanaoweka matangazo ya kutafuta Kazi

Naitwa isaya mtewele natafuta kazi yeyote nina elimu ya kidato cha nne lakini pia nimefanya kazi ya usimamizi kwenye duka la vifaa vya ujenzi kwa miaka 5 nina uzoefu pia kama kuna kampuni la vifaa vya ujenzi au linalojihusisha na ujenzi pia naweza kuwa balozi wao kwa kutangaza bidhaa zao mikoani ahsante
 
STATUS : Job seeker
EDUCATION : Bachelor of Banking and Finance
EXPERIENCE : Accountant (7 months), Sales and Stock Supervisor (1 year and 7 months)
GENDER : Male
CONTACT : 0745562539
LOCATION : Dar es Salaam
AVAILABILITY : As soon as possible
 
Wasifu: Mimi ni kijana mkarimu na mchapakazi, mwenye umri wa miaka 27 ninayepatikana Ukonga Mombasa (karibu na Gongo la Mboto).

Elimu: Nina shahada ya Menejimenti ya Uhandisi wa Viwanda kutoka Chuo Kikuu Mzumbe; nime'base zaidi katika masuala ya utafiti, miradi, uvumbuzi na teknolojia, pamoja na menejimenti.

Uzoefu: Nina uzoefu wa miaka 3 katika kazi za mtandaoni, utafiti, usimamizi miradi na operesheni. Nimefanya kazi mtandaoni kama Data Entry and Research Volunteer katika kampuni mbili za kiteknolojia za Ulaya (Compaira, Deal Lite); Personal and Delivery Assistant wa CEO katika Hamashiach Bookshop; Organizing Team Leader wa Employability Africa program kutoka SC Konsult; Operations and Digital Platforms Manager katika kampuni ya usafirishaji (Afritrust Holdings Limited). Pia, nimefanya kazi kama Field Officer na Enumerator katika Ofisi ya Taifa ya Takwimu. Nje na kazi, mimi ni mjasiriamali niliyepata mafunzo kutoka UDIEC GEP 2021 na Digify Tech 2021; Mwanaharakati wa masuala ya vijana niliyepata mafunzo maalum kuhusu elimu, kazi na afya ya akili kutoka katika mkutano wa kimataifa wa YOUNGA 2022; Msaidizi wa mtandaoni (Virtual Assistant) niliyeidhinishwa na ALX Africa baada ya kuhitimu vizuri mafunzo 2022.

Mapendeleo: Napendelea kufanya kazi kama Research Assistant, Project Assistant, Personal or Executive Assistant (wa mtu binafsi, shirika au kampuni), Tutorial Assistant, Training Assistant, Customer Service Officer, Digital Platforms Manager, Data Entry Specialist au Data Manager, katika maeneo yoyote (ikiwemo Posta, Mnazi mmoja, Makumbusho, Masaki, Tegeta, Bunju, Mbagala) ndani ya mkoa wa Dar es Salaam. Mimi ni mtu niliye'flexible hivyo naweza kufanya kazi katika mazingira ya aina yoyote (office, hybrid, work-from-home, fast-paced, collaborative, travel). Napendelea kufanya kazi ya part-time au kwa mkataba (lakini ikibidi, nipo tayari kufanya kazi full-time au hata kwa kujitolea).

NB: Kwa kuwa pia mimi ni Msaidizi wa Mtandaoni, naweza kufanya mbalimbali za uandishi (content writing, proofreading/grammar checking, English-Swahili translation) na za mtandaoni (account management, email management, documentation, online navigation, phone/computer backup, digital skills training, Windows and Office local activation). Huwa nafanya kazi kwa umakini, usiri na ubora.

Mawasiliano:
Simu - 0743744471
 
Natafuta kazi yeyote ,na elimu ya diploma ya pharmacy
Sina vyeti Wala experience
Niko Dar es salaam -kimara
Nashida sana natakiwa nijiinue
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom