Angalizo: Tusianze kutukana kuwa wapinzani wananunuliwa au Rais anataka kuua upinzani

Countrywide

JF-Expert Member
Mar 2, 2015
18,174
27,219
Mama Samia anachapa kazi sana, hili lipo wazi na Mimi nikiwa mmoja wa vijana wake wanaomkubali kupindukia ninataka kuweka angalizo.

Maana Kuna vijana humu kutoka ule mtaa Wana matamanio yao Ila yasipotimizwa huanza kutukana, HII HAITAKUBALIKA.

Maana wanapenda Sana kuishi kwa matamanio ambayo wakati mwingine hayawezekani. Walianza kutamani baraza la mawaziri livunjwe, wakaja kutamani Mara Raisi akienda kuhutubia bunge atalivunja. Na walikuwa serious kabisa kuwa bunge litavunjwa.

Hivyo ni vema kuwapa aangalizo maana Wana matusi sana, uteuzi utapoanza msianze kusema anaua upinzani mara hivi Mara vile.

Uteuzi wa upinzani ulipofanyika kwa Anna Mghwira, kitila na wengine kipindi hicho walianza kufurahia Ila baadae walianza kulialia.
 
Kwania njema aliyokuwanayo,na mabadiliko aliyoamua kuyafanya anaweza kuthibitisha nia njema aliyokuwa nayo anaweza kupata imani ya watu kwa kiwango cha kuridhisha.
 
Kwa mtu anayejua siasa nikweli anawaweaken wapinzani, mfano Mbowe ateuliwe kuendesha idara fulani halafu ifail unadhani atapata wapi nguvu ya kuikosoa gavamenti? Kila mtu atamuuliza pale kwako mbona kuna abcd,ni mbinu za medani mkuu, japo kujenga nchi ni jukumu letu sote.

NB:Unatekeleza ilani ya sisiemu, ikifail mnafail wote
 
Kwa mtu anayejua siasa nikweli anawaweaken wapinzani, mfano Mbowe ateuliwe kuendesha idara fulani halafu ifail unadhani atapata wapi nguvu ya kuikosoa gavamenti? Kila mtu atamuuliza pale kwako mbona kuna abcd,ni mbinu za medani mkuu, japo kujenga nchi ni jukumu letu sote.

NB:Unatekeleza ilani ya sisiemu, ikifail mnafail wote
Kukata tamaa mwiko,ili mradi nia no kuona hali ya mambo inabadilika kweli,sii kwa propaganda au hila.
 
Kukata tamaa mwiko,ili mradi nia no kuona hali ya mambo inabadilika kweli,sii kwa propaganda au hila.
Shida siyo yeye, system iliyopo je ipo tayari? Kama tu wale wanaoitwa wamekatwa mikia hawapendwi sana ndani ya sisiemu pending wanapopata teuzi, what do you expect from opposition side? Pia kwa namna serikali ilivyo ni ngumu kuiepucha na chama, mfano RC automatic anaingia mikutano ya ndani ya chama cha sisiemu.......kifupi kunakaugumu fulani kutenganisha chama na gavamenti sevanti
 
We jama kama sigara kali
Muache mama atengeneze umoja wa kitaifa uliouliwa na mwendazake
Tofauti ni kwamba mama atachukua hata upinzani bila kuhonga au kumnunua kama alivyofanya mwendazake
 
Nina mashaka makubwa sana na motive hii.
Kwa siasa za kwetu hapo hakuna nia njema bali lengo kuu ni kudhoofisha upinzani.
Utendaji wa serikali yetu hauwezi kumpa fursa sawa waziri mwenye kadi ya Chadema na Waziri wa CCM.
Hii ni calculated move ambayo watu myopic hawawezi kuona kilichojificha.
Uzuri ni kuwa pinzani ni imani.
 
Shida siyo yeye, system iliyopo je ipo tayari? Kama tu wale wanaoitwa wamekatwa mikia hawapendwi sana ndani ya sisiemu pending wanapopata teuzi, what do you expect from opposition side? Pia kwa namna serikali ilivyo ni ngumu kuiepucha na chama, mfano RC automatic anaingia mikutano ya ndani ya chama cha sisiemu.......kifupi kunakaugumu fulani kutenganisha chama na gavamenti sevanti
Ugumu uko hapa,teuzi zinapo egemea ukada,ambapo mtindo wa kulindana ni mkubwa utendaji ukiegemea mirengo ya kiitikadi na matamko na maelekezo ya kisiasa,haya yakikoma tutaweza kusonga mbele .
 
Naona labda Mama anataka kutumia hiyo smart-trick kuzidi kupunguza kabisa nguvu ya upinzani, lakini akumbuke vyama hivyo ni muhimu siku zote ktk mfumo wa vyama vingi, kumsaidia kama check and balance katika utendaji wa serikali yoyote.
 
Mama Samia anachapa kazi Sana, hili lipo wazi na Mimi nikiwa mmoja wa vijana wake wanaomkubali kupindukia ninataka kuweka angalizo.
Maana Kuna vijana humu kutoka ule mtaa Wana matamanio yao Ila yasipotimizwa huanza kutukana, HII HAITAKUBALIKA.
Maana wanapenda Sana kuishi kwa matamanio ambayo wakati mwingine hayawezekani. Walianza kutamani baraza la mawaziri livunjwe, wakaja kutamani Mara Raisi akienda kuhutubia bunge atalivunja. Na walikuwa serious kabisa kuwa bunge litavunjwa.
Hivyo ni vema kuwapa aangalizo maana Wana matusi Sana, uteuzi utapoanza msianze kusema anaua upinzani mara hivi Mara vile.
Uteuzi wa upinzani ulipofanyika kwa Anna mghwira, kitila na wengine kipindi hicho walianza kufurahia Ila baadae walianza kulialia.

Jiwe alikuwa anafanya biashara ya Utumwa.
 
Tuwaache waendelee mapambio siku wakishtuka tayari wameshapoteza credits za maana
 
Kwa mtu anayejua siasa nikweli anawaweaken wapinzani, mfano Mbowe ateuliwe kuendesha idara fulani halafu ifail unadhani atapata wapi nguvu ya kuikosoa gavamenti? Kila mtu atamuuliza pale kwako mbona kuna abcd,ni mbinu za medani mkuu, japo kujenga nchi ni jukumu letu sote.

NB:Unatekeleza ilani ya sisiemu, ikifail mnafail wote
Lakini Rais Alisema kama mteuliwa ana vigezo vya elimu nzuri,na weledi na Hana makandokando yanayohatarisha usalama wa Taifa atamteua tuu bila kujali itikadi,jinsia au kabila
 
Back
Top Bottom