Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,174
- 27,219
Mama Samia anachapa kazi sana, hili lipo wazi na Mimi nikiwa mmoja wa vijana wake wanaomkubali kupindukia ninataka kuweka angalizo.
Maana Kuna vijana humu kutoka ule mtaa Wana matamanio yao Ila yasipotimizwa huanza kutukana, HII HAITAKUBALIKA.
Maana wanapenda Sana kuishi kwa matamanio ambayo wakati mwingine hayawezekani. Walianza kutamani baraza la mawaziri livunjwe, wakaja kutamani Mara Raisi akienda kuhutubia bunge atalivunja. Na walikuwa serious kabisa kuwa bunge litavunjwa.
Hivyo ni vema kuwapa aangalizo maana Wana matusi sana, uteuzi utapoanza msianze kusema anaua upinzani mara hivi Mara vile.
Uteuzi wa upinzani ulipofanyika kwa Anna Mghwira, kitila na wengine kipindi hicho walianza kufurahia Ila baadae walianza kulialia.
Maana Kuna vijana humu kutoka ule mtaa Wana matamanio yao Ila yasipotimizwa huanza kutukana, HII HAITAKUBALIKA.
Maana wanapenda Sana kuishi kwa matamanio ambayo wakati mwingine hayawezekani. Walianza kutamani baraza la mawaziri livunjwe, wakaja kutamani Mara Raisi akienda kuhutubia bunge atalivunja. Na walikuwa serious kabisa kuwa bunge litavunjwa.
Hivyo ni vema kuwapa aangalizo maana Wana matusi sana, uteuzi utapoanza msianze kusema anaua upinzani mara hivi Mara vile.
Uteuzi wa upinzani ulipofanyika kwa Anna Mghwira, kitila na wengine kipindi hicho walianza kufurahia Ila baadae walianza kulialia.