Damson88
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 259
- 24
Hivi jamani kwa mara kadhaa nimepita.mandera road na mara nyingi hizi taa za kumulika usiku zinakaa zinawaka, je Tanesco hivi ndo vigezo mtatumia kutupa mgao, kutuuzia nguzo million na uchafu, kukata kodi kwenye luku kila mwisho wa mwezi. Na Eti ohho umeme unaozalishwa hautoshi. Kuweni wachumi, sambaza umeme vijijini huu umeme unaowaka barabarani mchana ukamfae mkulima kukobolea na kusagia nafaka. Nimtazamo tu, tusitaftane!