HUU ni mchakachuO!!!!No ref number,hakuna hata mhuri wa siri na ukuangalia flow yake unaona wazi tu si ya kweli.Inawezekana Kabwe ana electronic signature au walitumia scanned document.
Forum ya technology wanaweza kutusaidia na ingawa mimi ni pro Chadema lakini hapo tuliingizwa mkenge.
Ndugu zangu huu ni uchakachuaji wa habari, hii barua km utaitazama kwa makini haina reference no, no rubber stamp ni ajabu tupu. Nikifikiri kwa haraka haraka labda chadema they jst want to save their face coz wameshindwa. si ajabu kushindwa wameonyesha upinzani mzuri sana no body expected at al, so hamna sababu ya kuweka viroja ambavyo havina msingi wajipange upya for 2015!:israel: