Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
- Thread starter
- #61
Dhumuni la chama chochote cha siasa ni kushika dola
Yaani walivyo narrow minded wanaangalia kushinda uchaguzi tu, hawaangalii ustawi wa Taifa. Pumbavu kabisa