Angalizo muhimu kwa CCM

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,592
29,712
Ninaandika kwa lugha nyepesi pia rahisi kueleweka.

Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2019 ni kipimo muhimu sana kwa kukubalika kwa chama/ viongozi wa Chama kwa wananchi. Kuna mambo muhimu CCM inapaswa kuangalia kama tathmini ya kukubalika kwake hivi sasa

1. Mwitikio wa wapiga kura

Pamoja na hamasisho kutoka kwa viongozi wa kitaifa lakini mwitikio wa wapiga kura umekuwa chini ya asilimia 10. Wengi waliojitokeza ni wale essential staff ambao wapo accountable hata kama nafsi haitaki.

2. Ukimya wa vyama shindani

Ilitarajiwa labda kungekuwa na vurugu hapa na pale wakati wa uchaguzi lakini vyama vya upinzani waliwaasa wanachama na wafuasi wao kuwa na utulivu wasubiri tamko la viongozi wao. Hii ni dalili kwamba kuna jambo linapikwa ambalo linaweza kuathiri siasa za CCM na si serikali.

3. Kukubalika kwa washindi

Kuanzia ndani ya chama, mchakato wa uteuzi umeacha majeraha na kutokuwa na mshikamano kwa wanachama ambao wanaamini uteuzi uligubikwa na sintofahamu na mbinumbinu nyingi hivyo baadhi ya wagombea hawakubaliki na wengi ndani ya chama, pia wengi kutokubalika kwa wananchi.

4. Upinzani ndani ya CCM kuongezeka

Makundi yaliyoasisiwa na hasa kielekea 2020, kutasababisha athari kubwa kwenye kujenga mshikamano ndani ya chama hivyo kupelekea neema upande wa vyama pinzani ambapo makundi yatakayoathirika wataunga mkono upinzani ushinde maeneo mengi na nafasi za juu.

5. Misaada / mikopo kupungua.

Nchi wahisani wanatumia Demokrasia kama kigezo kikuu cha kutoa misaada au mikopo hiyo. Huwezi kukwepa kigezo cha ukuaji wa demokrasia unapoomba support kutoka kwa mabeberu. Hivyo tunaweza kama nchi kuanza kubanwa kwenye miradi mikubwa na serikali kukwama kuendeleza miradi hiyo kwa kukosa misaada au mikopo hiyo.

6. Fallen Angels (mwenye akili na afahamu)

Mabeberu wanaweza kuongeza espionage activities ili kusaidia makundi ayanayoweza kuathiri mshikamano wa nchi kwa maslahi ya mabeberu hivyo tunakuwa hatarini kama.nchi kwani vyombo vya mabeberu vikianza kutushughulikia tutakiwa na wakati mgumu sana. Wanazo media na tools za kuwasaidia...

Nimetoa maoni kwa lugha rahisi.
Je wewe mwanaJF mwenzangu una maoni gani ya kuongezea?

Msanii
IMG-20191124-WA0042.jpeg
 
Unafikiri watoa misaada ni wajinga kama nyie ,wanafanyq kwanza utafiti then wanakuja na solution za kusaidia jamii,kiufupi wako vizuri hawatumii kelele za wanasiasa kufanya kazi


State agent
 
Leo hata Mungu ameona mateso ya watanzania maana hata wana CCM waliokuwa na nia ya kupiga kura wamenyimwa haki yao, vituo vya kupiga kura vingi havijafunguliwa kwa hiyo hata TLP na vyama vilivyoweka wagombea vimeonekana ni ghasia tu na si vyama ndio maana ccm wameamua kujipitisha bila ushindani. Msg. nzuri sana kwa Lyatonga.
 
Yule rais wa TEC na wanafiki wenzake viongozi wa dini sijui wanaficha wapi sura zao. Watu tuliowategemea kufanya upatanisho hawana tena moral respect.
tapatalk_1573323255209.jpeg
 
Ninaandika kwa lugha nyepesi pia rahisi kueleweka.

Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2019 ni kipimo muhimu sana kwa kukubalika kwa chama/ viongozi wa Chama kwa wananchi. Kuna mambo muhimu CCM inapaswa kuangalia kama tathmini ya kukubalika kwake hivi sasa

1. Mwitikio wa wapiga kura

Pamoja na hamasisho kutoka kwa viongozi wa kitaifa lakini mwitikio wa wapiga kura umekuwa chini ya asilimia 10. Wengi waliojitokeza ni wale essential staff ambao wapo accountable hata kama nafsi haitaki.

2. Ukimya wa vyama shindani

Ilitarajiwa labda kungekuwa na vurugu hapa na pale wakati wa uchaguzi lakini vyama vya upinzani waliwaasa wanachama na wafuasi wao kuwa na utulivu wasubiri tamko la viongozi wao. Hii ni dalili kwamba kuna jambo linapikwa ambalo linaweza kuathiri siasa za CCM na si serikali.

3. Kukubalika kwa washindi

Kuanzia ndani ya chama, mchakato wa uteuzi umeacha majeraha na kutokuwa na mshikamano kwa wanachama ambao wanaamini uteuzi uligubikwa na sintofahamu na mbinumbinu nyingi hivyo baadhi ya wagombea hawakubaliki na wengi ndani ya chama, pia wengi kutokubalika kwa wananchi.

4. Upinzani ndani ya CCM kuongezeka

Makundi yaliyoasisiwa na hasa kielekea 2020, kutasababisha athari kubwa kwenye kujenga mshikamano ndani ya chama hivyo kupelekea neema upande wa vyama pinzani ambapo makundi yatakayoathirika wataunga mkono upinzani ushinde maeneo mengi na nafasi za juu.

5. Misaada / mikopo kupungua.

Nchi wahisani wanatumia Demokrasia kama kigezo kikuu cha kutoa misaada au mikopo hiyo. Huwezi kukwepa kigezo cha ukuaji wa demokrasia unapoomba support kutoka kwa mabeberu. Hivyo tunaweza kama nchi kuanza kubanwa kwenye miradi mikubwa na serikali kukwama kuendeleza miradi hiyo kwa kukosa misaada au mikopo hiyo.

6. Fallen Angels (mwenye akili na afahamu)

Mabeberu wanaweza kuongeza espionage activities ili kusaidia makundi ayanayoweza kuathiri mshikamano wa nchi kwa maslahi ya mabeberu hivyo tunakuwa hatarini kama.nchi kwani vyombo vya mabeberu vikianza kutushughulikia tutakiwa na wakati mgumu sana. Wanazo media na tools za kuwasaidia...

Nimetoa maoni kwa lugha rahisi.
Je wewe mwanaJF mwenzangu una maoni gani ya kuongezea?

MsaniiView attachment 1271186
Sijui kwa nini watu wa aina yako wanaamini kufurahisha watu fulani nje ya nchi ni jambo muhimu kwa maendeleo! Misaada!

Hatuna watu bora upande wa upinzani. Tuamini kwamba CCM ni wabovu, sawa! Fine! Huko upinzani Nani anayeweza kuwa mbadala? Usiniambie CHADEMA, CUF, ACT, No! Taja jina la mtu. Mbowe?, Lipumba? Zitto? Look at them, assess their brains! Woote hovyo tu! Unaowaita watoa misaada, hawatafanya kosa kama lile walilotaka kufanya Zimbabwe. Pamoja na ubaya wa Mugabe waliouona, ilibidi wakae kimya tu!
 
Sidhani kama umeelewa dhima ya mada yangu.

Lakini fahamu kwamba tuna mengi tunayategemea kutoka babeli na hatujaweza kujitenga na dunia hivyo wahuni wakiungana kukushughulikia ni muhimu kuwa na namna ya kujitetea.

If we are using Money as essential exchange towards development then fahamu yupo anayedhibiti circulation yake globally.

Hatujaweza kujitosheleza kila kitu kuanzia afya, teknolojia, silaha na kadhalika hivyo wakibana kwenye basic supply tunaweza kukwama....
Sijui kwa nini watu wa aina yako wanaamini kufurahisha watu fulani nje ya nchi ni jambo muhimu kwa maendeleo! Misaada!

Hatuna watu bora upande wa ulinzani. Tuamini kwamba CCM ni wabovu, sawa! Fine! Huko upinzani Nani anayeweza kuwa mbadala? Usiniambie CHADEMA, CUF, ACT, No! Taja jina la mtu. Mbowe?, Lipumba? Zitto? Looka at them, assess their brains! Woote hovyo tu! Unaowaita watoa misaada, hawatafanya kosa kama lile walilotaka kufanya Zimbabwe. Pamoja na ubaya wa Mugabe waliouona, ilibidi wakae kimya tu!
 
Ninaandika kwa lugha nyepesi pia rahisi kueleweka.

Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2019 ni kipimo muhimu sana kwa kukubalika kwa chama/ viongozi wa Chama kwa wananchi. Kuna mambo muhimu CCM inapaswa kuangalia kama tathmini ya kukubalika kwake hivi sasa

1. Mwitikio wa wapiga kura

Pamoja na hamasisho kutoka kwa viongozi wa kitaifa lakini mwitikio wa wapiga kura umekuwa chini ya asilimia 10. Wengi waliojitokeza ni wale essential staff ambao wapo accountable hata kama nafsi haitaki.

2. Ukimya wa vyama shindani

Ilitarajiwa labda kungekuwa na vurugu hapa na pale wakati wa uchaguzi lakini vyama vya upinzani waliwaasa wanachama na wafuasi wao kuwa na utulivu wasubiri tamko la viongozi wao. Hii ni dalili kwamba kuna jambo linapikwa ambalo linaweza kuathiri siasa za CCM na si serikali.

3. Kukubalika kwa washindi

Kuanzia ndani ya chama, mchakato wa uteuzi umeacha majeraha na kutokuwa na mshikamano kwa wanachama ambao wanaamini uteuzi uligubikwa na sintofahamu na mbinumbinu nyingi hivyo baadhi ya wagombea hawakubaliki na wengi ndani ya chama, pia wengi kutokubalika kwa wananchi.

4. Upinzani ndani ya CCM kuongezeka

Makundi yaliyoasisiwa na hasa kielekea 2020, kutasababisha athari kubwa kwenye kujenga mshikamano ndani ya chama hivyo kupelekea neema upande wa vyama pinzani ambapo makundi yatakayoathirika wataunga mkono upinzani ushinde maeneo mengi na nafasi za juu.

5. Misaada / mikopo kupungua.

Nchi wahisani wanatumia Demokrasia kama kigezo kikuu cha kutoa misaada au mikopo hiyo. Huwezi kukwepa kigezo cha ukuaji wa demokrasia unapoomba support kutoka kwa mabeberu. Hivyo tunaweza kama nchi kuanza kubanwa kwenye miradi mikubwa na serikali kukwama kuendeleza miradi hiyo kwa kukosa misaada au mikopo hiyo.

6. Fallen Angels (mwenye akili na afahamu)

Mabeberu wanaweza kuongeza espionage activities ili kusaidia makundi ayanayoweza kuathiri mshikamano wa nchi kwa maslahi ya mabeberu hivyo tunakuwa hatarini kama.nchi kwani vyombo vya mabeberu vikianza kutushughulikia tutakiwa na wakati mgumu sana. Wanazo media na tools za kuwasaidia...

Nimetoa maoni kwa lugha rahisi.
Je wewe mwanaJF mwenzangu una maoni gani ya kuongezea?

MsaniiView attachment 1271186
Niungane nawe kuhusu hilo no 2 ccm ndio wanaokereka na kuumia juu ya uenyekiti Wa mbowe kumtaka aachie waweke kibaraka wao mwenye njaa.Wanashindwa kuelewa amani ya tz imeshikwa na mbowe well and fine wamefanikiwa kumuweka mwingine je atakuwa na uhimilivu Wa kuonewa?Je akiamuru wafuasi wake wamwagike barabarani kudai haki zao je huo sio moto?Busara za Lowasa ziliepusha moto japo vijana walikuwa tayari,heri walimzoea kuliko akaja Mwenyekiti mpya akagoma liwalo na liwe twajua watamwaga polis lkn polis hawawezi tuliza nguvu ya umma matokeo yake watasombwa the hague na ccm kufa forever.
Bado wanadhani watz wote ni maiti zitembeazo kwa kupora haki zao kumbe wameshikilia fyuzi za bomu ajira ni tatizo sababu ya sera za kusomesha watu no hili ni bomu.
 
Sidhani kama umeelewa dhima ya mada yangu.

Lakini fahamu kwamba tuna mengi tunayategemea kutoka babeli na hatujaweza kujitenga na dunia hivyo wahuni wakiungana kukushughulikia ni muhimu kuwa na namna ya kujitetea.

If we are using Money as essential exchange towards development then fahamu yupo anayedhibiti circulation yake globally.

Hatujaweza kujitosheleza kila kitu kuanzia afya, teknolojia, silaha na kadhalika hivyo wakibana kwenye basic supply tunaweza kukwama....
You must have a model country. Niamnie nchi gani dunia hii iliyo na hali bora kwa sababu ya misaada. Taja moja tu!

Katika historia, wazungu waliweza kusaidiana wao kwa wao na kuisaidia Israel baada ya world war 2, basi! Baada ya hapo hakuna nchi ambayo imesaidiwa ikaendelea. ikafuata Korea ya kusini, haikusaidiwa ila ilipelekewa kwa sababu fulani, unazijua? Sasa itakuwa Afrika hii utegemee iendelee kwa misaada.

Tuwe wabunifu! Kama tutabaki na kusema bussiness model, structural adjustment, ooh sijui wahisani. Nothing will happen!
 
Back
Top Bottom