Angalizo muhimu kuhusu uteuzi wa Dr. Magufuli wizara ya ujenzi

BIG UP!!!!!! MAGUFULI!!!!!!! TAYARI MWIBA WAKO UMESHAWACHOMA WATU WASIOITAKIA MEMA NCHI YETU YA TANZANIA!!!!!! ONGEZA NGUVU ZAIDI NA KASI ZAIDI!!!!!!!!!!!WASIKUGHILIBU MWANANGU!!!!!!!!!! ENDELEA KUWACHOMA!!!!!!!!!!:israel::israel::israel::israel::israel::israel:
 
Tutake tusitake Dr. Magufuli ni mtendaji anayepaswa kuheshimika na kila mtanzania kwa kazi alizolifanyia taifa hili, hivyo vingine ni vitu vya kawaida kwa binadamu. Mkwete anajenga Ikulu msoga, NHC wamejenga nyumba chalinze ambazo hata hazina wakazi bado hatulioni hilo. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni

Hapo penye nyekundu hukumalizia vizuri

"Mnyonge mnyongeni akisha kufa haki yake mpeni" Ndio yalimpata Sitta, alinyongwa kisiasa akafa halafu akapewa haki yake wizara ya Africa mashariki!
 
Huyu Magufuli tusimfanye malaika, kuna watu hapa kila tuhuma dhdhi ya Magufuli wanaikataa na kuita watoaji wazushi. Ingekuwa ni tuhuma kuhusu watu wengine mngeshangilia. Mi sijaona uadilifu wa Magufuli. Magufuli ni kama Mrema, wao wanatumia vyombo vya habari, kujitangaza huku nyuma wanaiba. Huyu Magufulu hatutakaa tumsamehe kwa kuuza nyumba za serikali kwa vigogo. Nyumba ya Masaki yenye thamani ya Tshs 500m inauziwa kigogo kwa Tshs 3m na kwa mkopo wa miaka kumi. Kama angekua muadilfu, angepinga. Na kama tunavyojua, maamuzi yanafanywa na baraza la mawaziri na kama unapinga jiuzulu, hakuna uadilifu wowote. Sina chuki binafsi nae ila nachukia watu wanapomgeuza malaika, kwa kuwa tuu anajua kutumia vyombo vya habari kwa kuuma na kupuliza

Kwa maandishi yako ni wazi kuwa una chuki binafsi naye hata kama unakataa. Unapenda kurudia sana hili la nyumba za serikali pamoja kuwa unafahamu kabisa kuwa uamuzi wa mwisho haukuwa juu yake. Sidhani kama watu wanamgeuza malaika ila ni pale wewe unapojaribu kumuonyesha yeye kuwa ni shetani miongoni mwa malaika!
Mkuu, kwa maandishi yako tu napata picha pia kuwa wewe upo kwenye kundi la watu waliokuwa wanajipatia ulaji through TANROADs na Ulaji mwingine unaohusu barabaraba zetu. Kama sio wewe binafsi basi angalau watu wawili watatu walio karibu nawe ambao kuwa kwao TANROADS kunatiririsha neema fulani kwako.
Sadly for you and it seems many others in JF, akiwemo Muanzilishi wa Thread hii, this has come to an End of The Road! (Pun Intended!)
Kama Binadamu yeyote, Lazima Magufuli atakuwa na mawaa yake. But angalau yeye ndani ya hayo mawaa yake 'anadanganya' kwamba anafanya kitu kuliko wale ambao wana mawaa na wala hawana hata uungwana wa kutudanganya kwamba wanafanya kitu. Wao ni kuhomola tu.

Lakini ushahidi kuwa watu mna interest na pia chuki binafsi na jamaa, jiulizeni; haya yote mnayoandika sasa mliyaandika huyu Bwana alipoteuliwa kuwa Waziri wa Kitoweo?????? Kama mliyaandika tusameheni sisi.
Lakini kama mnayaandika sasa baada ya Mheshimiwa kuteuliwa kuwa Waziri wa Ujenzi na kuanza kazi na mkwara wa kuwazibia ujali watu, basi ni wazi zenu ni chuki binafsi tu na woga wa kuzibiwa ulaji!!!

 
Hivi ukikanyaga mavi(ashakum si matusi) ya leo na ya juzi kuna tofauti gani, tofauti ya magufuli ni mavi makavu na laini!
 
Anaitwa magufuli, wala sio makufuli
Na Amelia kivulini, toka Enzi za bwana mwinyi
Si mwenye indhini, Bali mwenye yakini
Anena magezetini, atupumbaze akilini
Kwani Huyu hawezi badili, alea wa magetini

Ujenzi anapapenda, kweli kwammpa tonge
Ajaza chake kikombe, jyfranca wala msimtenge
Amenena wale si vijembe, wana JF tumpongeze
Mi simtaki huyu pombe, arudi kwao chatonge
 
umesahau barabara ya nyakanazi kwenda kigoma km kama 300, babati singida na babati arusha, hizo ni chache, hazina lami. Fanya utafiti acha fitna.
 
wana jamvi msaada pliz

naitaji anuani nzima ya wizara iyo husika na ofisi zake kama ni kikanda au mkoa,
mana nimeingia national website naona vitu vingine vimelala dolo
aibu kubwa aisee
 
wiki hii ilikuwa tena wiki ya vicheko kwa watanzania, wakiwa na matumaini mapya kwa mpambanaji aliyerejea tena wizara ya ujenzi kujenga mabarabara toka mtwara hadi bukoba ili siku moja mtanzania aweze kusafiri na gari dogo tola mtwara hadi bukoba. bahati nzuri mpambanaji huyu anarudi wizarani hapao wakati bado takribani km 100 tu barabara zinazoitaji lami ahadi hiyo itimie. barabara izo ni ile inayotoka somanga
karibu na daraja la mkapa hadi karibu na nangurukuru huko lindi (km 60), na mkiwa huko singida kama km30 na ushee.
ni vema tunaomfahamu magufuli tukawapa watanzania angalizo mapema, kuwa wasitegemee mengi kwa mtu huyu ambaye ni mojawapo ya haambilikis wa hapa tanzania

magufuli ni mojawapo ya mawaziri wachache ambao mpaka leo hajaweka msimamo wake wazi wazi kama yupo nasi au yupo na mafisadi, wakati akina sita na wengine wakipigana bila kuangalia maslahi yao yeye hatujui yuko wapi, leo na akina lowasa, kesho na kikwete na pengine mwisho kabisa kama mpambanaji dhidi ya wazembe serikalini.
maamuzi mengine ya maguufuli yamelitumbukiza taifa katika hasara kubwa kama lile la uvuvi haramu, taifa limelipa mabilioni kama gharama za kuhifadhi samaki wale na haijulikani nini mastakabali wetu kuhusu kesi ile ya wavuvi haramu.

alipokuwa wizarani hapo ujenzi alikuwa ni mtu asiyeshaurika, yeye na media kila wakati pasipo stahili

baadhi ya maamuzi tata yaliyogharimu taifa ni kuhusu lile la kuuza nyumba za serikali, ambalo hata leo taifa linajutuia. upo ukweli kuwa alihusika kugawa nyumba hizo hata kwa vimada wake jambo amballo linatilia shaka uadilifu wake.

kubwa zaidi ni ile rushwa aliyokuwa akipewa kupitia taasisi nyeti kama SUMA JKT, upo ushahidi wa kimazingira kuwa mara nyingi alipindisha maamuzi ya bodi za zabuni ili kuwapa wabia wake suma jkt kazi. mojawapo ni zile nyumba za seriakali za mbweni ambazo nyie ni mashahidi kuhusu uozo ule mtupu.inasemekana kuwa yeye huwa salamakulla mlungula kupitia taasisi nyeti kama hizi na hilo amekuwa akitamba wazi wazi, labda ndo maana mafisadi wenzake akina masha nao wakajifanya kuwa usalama wa taifa katika ule wizi wa epa na green ...

magufuli ni mbinafsi wa kutupa, na hili linadhihirisha jinsi alivyokuwa tayari kushinikiza makao makuu ya mkoa mpya wa geita kupelekwa wilayani kwake chato. naambiwa kuwa aliwahi kupindisha miradi ya kitaifa ya barabara ipite wilayani kwake chato, na kama haitoshi aliwahi hata kulazimisha national housing wajenge nyumba zao huko chato bila kuzingatia maslahi ya kibiashara

HUYU NI MAGUFULI, NAANDIKA HAYA LEO LAKINI ANGALIZO KUU NI KUWA WATANZNIA MSITEGEMEE TIJA TOKA KWA HUYU MTU, ILA UKASUKU WA KUKARIRI UREFU WA BARABARA

Mkuu Mwikimbi heshima kwako.
 
wiki hii ilikuwa tena wiki ya vicheko kwa watanzania, wakiwa na matumaini mapya kwa mpambanaji aliyerejea tena wizara ya ujenzi kujenga mabarabara toka mtwara hadi bukoba ili siku moja mtanzania aweze kusafiri na gari dogo tola mtwara hadi bukoba. bahati nzuri mpambanaji huyu anarudi wizarani hapao wakati bado takribani km 100 tu barabara zinazoitaji lami ahadi hiyo itimie. barabara izo ni ile inayotoka somanga
karibu na daraja la mkapa hadi karibu na nangurukuru huko lindi (km 60), na mkiwa huko singida kama km30 na ushee.
ni vema tunaomfahamu magufuli tukawapa watanzania angalizo mapema, kuwa wasitegemee mengi kwa mtu huyu ambaye ni mojawapo ya haambilikis wa hapa tanzania

magufuli ni mojawapo ya mawaziri wachache ambao mpaka leo hajaweka msimamo wake wazi wazi kama yupo nasi au yupo na mafisadi, wakati akina sita na wengine wakipigana bila kuangalia maslahi yao yeye hatujui yuko wapi, leo na akina lowasa, kesho na kikwete na pengine mwisho kabisa kama mpambanaji dhidi ya wazembe serikalini.
maamuzi mengine ya maguufuli yamelitumbukiza taifa katika hasara kubwa kama lile la uvuvi haramu, taifa limelipa mabilioni kama gharama za kuhifadhi samaki wale na haijulikani nini mastakabali wetu kuhusu kesi ile ya wavuvi haramu.

alipokuwa wizarani hapo ujenzi alikuwa ni mtu asiyeshaurika, yeye na media kila wakati pasipo stahili

baadhi ya maamuzi tata yaliyogharimu taifa ni kuhusu lile la kuuza nyumba za serikali, ambalo hata leo taifa linajutuia. upo ukweli kuwa alihusika kugawa nyumba hizo hata kwa vimada wake jambo amballo linatilia shaka uadilifu wake.

kubwa zaidi ni ile rushwa aliyokuwa akipewa kupitia taasisi nyeti kama SUMA JKT, upo ushahidi wa kimazingira kuwa mara nyingi alipindisha maamuzi ya bodi za zabuni ili kuwapa wabia wake suma jkt kazi. mojawapo ni zile nyumba za seriakali za mbweni ambazo nyie ni mashahidi kuhusu uozo ule mtupu.inasemekana kuwa yeye huwa salamakulla mlungula kupitia taasisi nyeti kama hizi na hilo amekuwa akitamba wazi wazi, labda ndo maana mafisadi wenzake akina masha nao wakajifanya kuwa usalama wa taifa katika ule wizi wa epa na green ...

magufuli ni mbinafsi wa kutupa, na hili linadhihirisha jinsi alivyokuwa tayari kushinikiza makao makuu ya mkoa mpya wa geita kupelekwa wilayani kwake chato. naambiwa kuwa aliwahi kupindisha miradi ya kitaifa ya barabara ipite wilayani kwake chato, na kama haitoshi aliwahi hata kulazimisha national housing wajenge nyumba zao huko chato bila kuzingatia maslahi ya kibiashara

HUYU NI MAGUFULI, NAANDIKA HAYA LEO LAKINI ANGALIZO KUU NI KUWA WATANZNIA MSITEGEMEE TIJA TOKA KWA HUYU MTU, ILA UKASUKU WA KUKARIRI UREFU WA BARABARA
Kumbeee!!!
 
Huyu Magufuli tusimfanye malaika, kuna watu hapa kila tuhuma dhdhi ya Magufuli wanaikataa na kuita watoaji wazushi. Ingekuwa ni tuhuma kuhusu watu wengine mngeshangilia. Mi sijaona uadilifu wa Magufuli. Magufuli ni kama Mrema, wao wanatumia vyombo vya habari, kujitangaza huku nyuma wanaiba. Huyu Magufulu hatutakaa tumsamehe kwa kuuza nyumba za serikali kwa vigogo. Nyumba ya Masaki yenye thamani ya Tshs 500m inauziwa kigogo kwa Tshs 3m na kwa mkopo wa miaka kumi. Kama angekua muadilfu, angepinga. Na kama tunavyojua, maamuzi yanafanywa na baraza la mawaziri na kama unapinga jiuzulu, hakuna uadilifu wowote. Sina chuki binafsi nae ila nachukia watu wanapomgeuza malaika, kwa kuwa tuu anajua kutumia vyombo vya habari kwa kuuma na kupuliza
Miaka 8 baadae
 
Back
Top Bottom