s.fm
JF-Expert Member
- Jul 8, 2009
- 663
- 117
kwanza naomba niwatakie heri ya mwaka mpya! then nitoe angalizo kwa wale wanaopenda sana kufanya mapenzi siku za "sikukuu"
jamani hii mikesha huwa ni ya kheri au balaa!! kuanzia gesti ndipo kiini kinapoanzia, ni kelele tu za watu kumegana, zingine mpaka vitanda hutoa kelele za ajabu ajabu! haya kwenye vichochoro napo ni bao tu, tena huko ndio matukio ni mengi sana coz mambo ni fasta na "kimyakimya" ukiingia disko na kumbi za starehe ni full zero distance, wengine wanapima oil "nje nje" tu na midenda kibao! hata kenye mabaa nako ivoivo tu ma baamedi wametega...
jamani..tuwe makini kidogo, li UKIMWI linatunyemelea kila kukicha! otherwise HAPPY NYU YIA
jamani hii mikesha huwa ni ya kheri au balaa!! kuanzia gesti ndipo kiini kinapoanzia, ni kelele tu za watu kumegana, zingine mpaka vitanda hutoa kelele za ajabu ajabu! haya kwenye vichochoro napo ni bao tu, tena huko ndio matukio ni mengi sana coz mambo ni fasta na "kimyakimya" ukiingia disko na kumbi za starehe ni full zero distance, wengine wanapima oil "nje nje" tu na midenda kibao! hata kenye mabaa nako ivoivo tu ma baamedi wametega...
jamani..tuwe makini kidogo, li UKIMWI linatunyemelea kila kukicha! otherwise HAPPY NYU YIA