naninibaraka
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 910
- 668
Tumeona wengi wa mawaziri na watendaji wa awamu ya 4 na hata ya 3 wakishatakiwa kwa matumizi mabaya ya madaraka, awamu hii ya tano ndiyo awamu pekee inayofanya mambo yake bila kufuata Katiba wala utawala wa sheria,mfano matumizi ya pesa yasiyopitishwa na Bunge, manunuzi bila kufuata taratibu za manunuzi,na mengine mengi!
Hivyo niwakbushe mawaziri na watendaji wengine what goes around also come around! Awamu ijayo baada ya awamu ya tano itapitia mikataba na madudu yote yaliyofanywa na na awamu ya tano.
Hivyo niwakbushe mawaziri na watendaji wengine what goes around also come around! Awamu ijayo baada ya awamu ya tano itapitia mikataba na madudu yote yaliyofanywa na na awamu ya tano.