View attachment 1490343Maisha ya juu kama hivi;View attachment 1490346Ila nyuma ya pazia kuna nguvu ya Giza hutumika kutapeliView attachment 1490350Tuwe makini sana mitandaoni
]View attachment 1490344View attachment 1490347View attachment 1490349View attachment 1490354
Mkuu wewe upo upande wa wala pesa za michango ya wabunge?Hao ukichunguza sana utawakuta kwenye orodha ya wamiliki wa kadi ya UVCCM
Nipo kwa wazee wa kupongeza kila kituMkuu wewe upo upande wa wala pesa za michango ya wabunge?
Ndipo tunakoelekeaMuda si mrefu kina tawile wataanza kuzitumia nuclear za marekani na urusi kwa kutumia vibuyu tu hakuna haja ya code sijui ya rais Mara mkuu wa majeshi au makamu wa rais hayo hakuna.. kitu ni hirizi pumuzi tu ngoma inanyanyuka inakuja mpaka kigoma inahifadhiwa inasubiri mbwa abweke tumsodome na gomola..
Haya mambo Nigeria yapo sana
Yatosha kutambua tu ya kwamba hakuna utajiri halaliView attachment 1490343Maisha ya juu kama hivi;View attachment 1490346Ila nyuma ya pazia kuna nguvu ya Giza hutumika kutapeliView attachment 1490350Tuwe makini sana mitandaoni
]View attachment 1490344View attachment 1490347View attachment 1490349View attachment 1490354
Yanayofanyika chini mgodini ni mengi broo..Hata ule wa Bilionea wetu mpya bwana Laizer?