Angalizo! Kwa wenyeji wa Arusha mjini hasa huku Sakina, tangu juzi mgao umepamba

ndugu yangu liverpool,. Ni sehemu kubwa ya mji wetu ipo hivo hivo,,, hata huku njiro, tangu jumamosi nadhani haujakatika ile full day kama kawaida ya mgao, wakikata, wanakata labda 4 maximum ya half an hour, then unarudi, jana kutwa nzima pia umeshinda, na mpaka saivi upo,,,, ndo kwamba mgao umeisha ama?? Si watangaze rasmi,,, magamba bana

Mkubwa! Kwa huku kwe2 Sakina ha2kuwa nayo tangu jana usiku wa mana8 ila alfajiri wa leo ukarudi ila nahisi muda c mrefu wataenda nayo. Ngoja nipasi nguo 2,3 kwanza nikiwasikilizia.
 
WanaJF! Bila shaka Mu wazima wa afya. Naona magamba baada ya ku2pa mwanga around kwa wiki 2 naona wameona tunafaidi na wameamua kuanzisha mgao mchana huu. Jama hata huko mlipo ni hv hv? Ama ni huku Sakina ye2 ndiyo tumepewa BAN ya leo mchana.
 
Lile gonjwa la Kitaifa bila shaka limeanza kuendelea kwani hapa Arusha karibu mjini kote hakuna umeme na huku kwetu Sakina tangu jana tumekuwa tukipata kwa nadra mara inakuja mara inakatika, swali linalogusa ni moja,ya kwamba ni ule mlipuko wa juzi tuliopata kusikia imetokea pale ubungo? Ama ni kina cha maji imedrop zaidi? Mwenye kujua atujuze wajamen!
 
Njama za magamba kutaka kuwafanya mumwone lema hafai, ila najua watu wa arusha mna msimamo hamwezi danganywa tena na magamba
 
Njama za magamba kutaka kuwafanya mumwone lema hafai, ila najua watu wa arusha mna msimamo hamwezi danganywa tena na magamba

Mshikaji wangu! Nakwambia hawa magamba kama ndiyo mbinu yao,hakika nawaambia wamepigwa tayari!
 
Leo nitawajua ndugu zangu wa A Town................ Majombaa, hamjambo wote huko...... nitatia timu wa kumi na mbili maana nina hamu na mtura kweli..........
 
Sio town tu na Sakina, hata Usa-River ni giza tupu

Ndiyo imerudi huku Sakina ktk 30mnts na nina tetesi itakatika saa tano ya usiku mpk morning sasa sijui ni Arusha pekee tu sijui. Lakini haya magumashi iko siku itakwisha tu.
 
Hili gonjwa la mgao ndio umeanza tena jamani?

Tangu saa majira ya mchana kumekuwa na kukatikakati kwa umeme hapa Arusha mjini hasa kitongoji chetu cha Sakina.

Sasa muda huu wa muda wa saa moja kamili mpk hivi nichat hv huku hakunaga umeme.

Je? Ni janga la Kitaifa ama ni mambo ya marekebisho tu!

Mwenye kujua atujuze jamani!
Maana kama ni mgao Mi naona ni mapema mno.

Safari hii tutakoma kwa hawa mafasadi!
 
Hili gonjwa la mgao ndio umeanza tena jamani?

Tangu saa majira ya mchana kumekuwa na kukatikakati kwa umeme hapa Arusha mjini hasa kitongoji chetu cha Sakina.

Sasa muda huu wa muda wa saa moja kamili mpk hivi nichat hv huku hakunaga umeme.

Je? Ni janga la Kitaifa ama ni mambo ya marekebisho tu!

Mwenye kujua atujuze jamani!
Maana kama ni mgao Mi naona ni mapema mno.

Safari hii tutakoma kwa hawa mafasadi!

Kwa iddi hapa walikata asubui ukarudi na saa mbili usik hadi saiv saa 4 hakuna kitu.ila nimeskia kwa jama angu wa dar .arusha kuna mgao kwa cku mbili kaona kwny gazet. Cja muliza zaidi
 
Kwa iddi hapa walikata asubui ukarudi na saa mbili usik hadi saiv saa 4 hakuna kitu.ila nimeskia kwa jama angu wa dar .arusha kuna mgao kwa cku mbili kaona kwny gazet. Cja muliza zaidi

Ndiyo hapa mtaani kwetu ndiyo tunapata umeme muda huu saa nne na robo chap!

Ni mgao jamani ama ni hitilafu?
 
Ule mgao wa kifisadi bila shaka umeanza rasmi

Huku Sakina umeme umekatika majira ya saa kumi na mbili na dk tano!
Bila shaka ni mwanzo mwingi wa mgao ktk mji huu wajamen!
 
Hamna mgao wakuu ni wanaendeleza bomoa bomoa ndo maana wanazima umeme ili usilete madhara kwa nyumba zinazobomolewa.
 
Hamna mgao wakuu ni wanaendeleza bomoa bomoa ndo maana wanazima umeme ili usilete madhara kwa nyumba zinazobomolewa.

Mkubwa!

Nimejaribu kufuatilia wazo lako na nilichoambulia ni kwamba mgao umeanza rasmi nchini ila wanaogopa kutangazia UMMA kutokana na umeme kuwa ghali na bado unakuwa hakuna tena!

Jana ile ilipo katika ilirudi majira ya saa tano na dk 20 night kali.
Mgao rasmi umeanza!
 
Ule ugonjwa mchafu umeanza huku kwetu Sakina.

Cjui ndio mgao umeanza Mi cjui maana saa kumi na mbi2 na nusu asubuhi wamekata umeme.
Kwa kweli huu uongozi tulionao Mi sijajua malengo yao sana ni nini.

Hasara tupu!
 
huku njiro takribani wiki sasa kila cku lazina ukatike kwa masaa manne hadi matano.ucpokatika asubuhi saa kumi na mbili mpaka saa saa tano. utakatika jioni saa kumi na moja mpaka saa tano ucku mi nadhani mgao umeanza cku mingiii.
 
Back
Top Bottom