Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Mkuu Pasco kwa kiasi fulani nakubaliana na wewe ila sasa Na Kutoka(Exodus) 20:5 imekatazwa kujifanyia miungu wengine na kuisujudia .
Mungu ni mwenye wivu. Ilitolewa tahadhari tu juu ya kugusa Utukufu wa Mungu
Hii miungu "Catalyst" mingine inaturejesha katika Kumwabudu Baali.
Wanaoelewa wanajua Allah ni Mmoja tu sasa hawa wengine wa Push-ups wanaibukaje tena?
Ni lazima waambiwe kuwa Mungu yule tunayemuomba kupitia sala ya Taifa "Mungu Ibariki Afrika...." yupo mmoja tu
Mungu ni mwenye wivu. Ilitolewa tahadhari tu juu ya kugusa Utukufu wa Mungu
Hii miungu "Catalyst" mingine inaturejesha katika Kumwabudu Baali.
Wanaoelewa wanajua Allah ni Mmoja tu sasa hawa wengine wa Push-ups wanaibukaje tena?
Ni lazima waambiwe kuwa Mungu yule tunayemuomba kupitia sala ya Taifa "Mungu Ibariki Afrika...." yupo mmoja tu