Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Muulize huyo unayekubaliana naye CCJ iko wapi? yeye ndo alikuwa mshehereshaji mkuu wa CCJ. the spinning master.Ni kweli kabisa, japo mi ni member mgeni wa kujiunga ila nimekuwa nikiitembelea hii forum muda mrefu, nimeona watu wengi wanapoona wanatumia majina mbadala wanatumia hoja za nguvu na kauli ambazo kwa mtazamo wangu ni hatarishi na zinawaweka ma mods pabaya.
Hivyo nina shukuru Mkuu kwa kutujuza na kutukumbusha wanaJF kwa ujumla kuwa tuwe makini kwenye kutoa hoja tukijua kuwa uhuru wa kuoa maoni si uhuru wa kuvunja sheria, na kwa technolojia ya sasa we can easily be traced no matter tunatumia majina mbadala.
Tusikubali JF iharibiwe na wasio itakia mema, kwani JF ime na ina endelea kutusaidia wengi, walio nchini na wasio nchini.
Umesikika na kueleweka!