Angalizo kwa Rais na RC Makonda la kupewa ekari 1,500 za ardhi

Nakupongeza Mkuu wa Mkoa Dar Bwana Paul C. Makonda kwa kupewa ekari 1500 kwa ajili ya uanzishwaji wa viwanda vidogovidogo.

Angalizo langu kwako, chunga sana usije kumwingiza Rais wetu kipenzi kwenye kashifa kubwa itakayoyumbisha nchi yetu. Soma ripoti ya CAG ya 2015/2016 juu ya kampuni hiyo iliyokupa ardhi kigamboni. Nasisitiza soma ripoti ile mkuu. Lakini usiishie hapo tu, soma sheria ya umiliki ardhi kwa mzawa na mgeni. Ukishindwa muone Waziri husika.

Usije kujikuta Mh Makonda unatumiwa kutakatisha haramu kuwa halali bila kujijua ama ukijua vema.

Na Yericko Nyerere

=======

Paul Makonda amekabidhiwa hekari 1500 za ardhi kujenga Viwanda “Dar es Salaam Industrial Area”.

Posted on February 21, 2017
MAKONDA-VIWANDA-1024x1024.jpg


Mkuu wa Mkoa wa Dsm Paul Makonda amekabidhiwa hekari 1500 za ardhi katika eneo la Lingati Kisarawe 2 Wilayani Kigamboni jijini Dsm litakalotumika kujenga Viwanda vidogo vidogo na vyakati litakalojulikana kama Dares salaam Industrial Area.

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukabidhiwa hekari hizo na Mkurugenzi wa Azimio Estaste inayomiliki maeneo mengi ya Uwekezaji hususan Viwanda katika wilaya ya kigamboni Bw,Mohamed Iqbar amesema hekali hizo zitagawanywa katika makundi ya uwekezaji viwanda vidogo na vyakati,Ufugaji wa mifugo ikiwemo ng’ombe na mbuzi lakini pia kilimo.

Amesema baada ya kukamilika utaratibu wa Upimaji eneo hilo litatengwa katika makundi matano ambapo wajasilimali kutoka wilaya zote za jiji la dsm wenye nia ya kuwekeza watakabidhiwa maeneo hayo kwa utaratibu utakaopangwa.

Hata hivyo makonda ametoa tahadhari kwa wale wananchi wazalendo wanaojitolea kwa ajili ya jamii.

Mkurugenzi wa Azimio Estate inayomiliki maeneo hayo amesema ameamua kutoa ardhi hiyo kwa Mkuu huyo wa mkoa wa dsm kuunga mkono jitihada zinazofanywa na rais John Magufuri katika kuhakikisha tanzania inaelekea katika ujenzi wa viwanda.

Chanzo: Channel Ten
==========

.......New Updates.......

Lukuvi: Nitamchukulia hatua mfanyabiashara aliyempa Makonda ardhi kwa ajili ya Viwanda

Iqbar ni mtaalamu mkubwa wa dili chafu na ni mtu mjanja sana na akitoka nje ya TZ anajulikana kwa jina lingine sio hili tunalolijua sie
 
Nakupongeza Mkuu wa Mkoa Dar Bwana Paul C. Makonda kwa kupewa ekari 1500 kwa ajili ya uanzishwaji wa viwanda vidogovidogo.

Angalizo langu kwako, chunga sana usije kumwingiza Rais wetu kipenzi kwenye kashifa kubwa itakayoyumbisha nchi yetu. Soma ripoti ya CAG ya 2015/2016 juu ya kampuni hiyo iliyokupa ardhi kigamboni. Nasisitiza soma ripoti ile mkuu. Lakini usiishie hapo tu, soma sheria ya umiliki ardhi kwa mzawa na mgeni. Ukishindwa muone Waziri husika.

Usije kujikuta Mh Makonda unatumiwa kutakatisha haramu kuwa halali bila kujijua ama ukijua vema.

Na Yericko Nyerere

=======

Paul Makonda amekabidhiwa hekari 1500 za ardhi kujenga Viwanda “Dar es Salaam Industrial Area”.

Posted on February 21, 2017
MAKONDA-VIWANDA-1024x1024.jpg


Mkuu wa Mkoa wa Dsm Paul Makonda amekabidhiwa hekari 1500 za ardhi katika eneo la Lingati Kisarawe 2 Wilayani Kigamboni jijini Dsm litakalotumika kujenga Viwanda vidogo vidogo na vyakati litakalojulikana kama Dares salaam Industrial Area.

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukabidhiwa hekari hizo na Mkurugenzi wa Azimio Estaste inayomiliki maeneo mengi ya Uwekezaji hususan Viwanda katika wilaya ya kigamboni Bw,Mohamed Iqbar amesema hekali hizo zitagawanywa katika makundi ya uwekezaji viwanda vidogo na vyakati,Ufugaji wa mifugo ikiwemo ng’ombe na mbuzi lakini pia kilimo.

Amesema baada ya kukamilika utaratibu wa Upimaji eneo hilo litatengwa katika makundi matano ambapo wajasilimali kutoka wilaya zote za jiji la dsm wenye nia ya kuwekeza watakabidhiwa maeneo hayo kwa utaratibu utakaopangwa.

Hata hivyo makonda ametoa tahadhari kwa wale wananchi wazalendo wanaojitolea kwa ajili ya jamii.

Mkurugenzi wa Azimio Estate inayomiliki maeneo hayo amesema ameamua kutoa ardhi hiyo kwa Mkuu huyo wa mkoa wa dsm kuunga mkono jitihada zinazofanywa na rais John Magufuri katika kuhakikisha tanzania inaelekea katika ujenzi wa viwanda.

Chanzo: Channel Ten
==========

.......New Updates.......

Lukuvi: Nitamchukulia hatua mfanyabiashara aliyempa Makonda ardhi kwa ajili ya Viwanda

Serikali lazima ikubali MITANDAO ni mhimili usio rasmi lakini muhimu kwa taifa.
 
Yaani mkuu haya maneno yako yangekua yanasema mkulu ungeitwa mchochezi lakini hiki umekitabiri hata mwezi haujaisha maneno yako yametimia. Kweli serikali ya matamko na kutaka attention ya watu mbele ya media lazima waumbuke.
 
Nakupongeza Mkuu wa Mkoa Dar Bwana Paul C. Makonda kwa kupewa ekari 1500 kwa ajili ya uanzishwaji wa viwanda vidogovidogo.

Angalizo langu kwako, chunga sana usije kumwingiza Rais wetu kipenzi kwenye kashifa kubwa itakayoyumbisha nchi yetu. Soma ripoti ya CAG ya 2015/2016 juu ya kampuni hiyo iliyokupa ardhi kigamboni. Nasisitiza soma ripoti ile mkuu. Lakini usiishie hapo tu, soma sheria ya umiliki ardhi kwa mzawa na mgeni. Ukishindwa muone Waziri husika.

Usije kujikuta Mh Makonda unatumiwa kutakatisha haramu kuwa halali bila kujijua ama ukijua vema.

Na Yericko Nyerere

=======

Paul Makonda amekabidhiwa hekari 1500 za ardhi kujenga Viwanda “Dar es Salaam Industrial Area”.

Posted on February 21, 2017
MAKONDA-VIWANDA-1024x1024.jpg


Mkuu wa Mkoa wa Dsm Paul Makonda amekabidhiwa hekari 1500 za ardhi katika eneo la Lingati Kisarawe 2 Wilayani Kigamboni jijini Dsm litakalotumika kujenga Viwanda vidogo vidogo na vyakati litakalojulikana kama Dares salaam Industrial Area.

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukabidhiwa hekari hizo na Mkurugenzi wa Azimio Estaste inayomiliki maeneo mengi ya Uwekezaji hususan Viwanda katika wilaya ya kigamboni Bw,Mohamed Iqbar amesema hekali hizo zitagawanywa katika makundi ya uwekezaji viwanda vidogo na vyakati,Ufugaji wa mifugo ikiwemo ng’ombe na mbuzi lakini pia kilimo.

Amesema baada ya kukamilika utaratibu wa Upimaji eneo hilo litatengwa katika makundi matano ambapo wajasilimali kutoka wilaya zote za jiji la dsm wenye nia ya kuwekeza watakabidhiwa maeneo hayo kwa utaratibu utakaopangwa.

Hata hivyo makonda ametoa tahadhari kwa wale wananchi wazalendo wanaojitolea kwa ajili ya jamii.

Mkurugenzi wa Azimio Estate inayomiliki maeneo hayo amesema ameamua kutoa ardhi hiyo kwa Mkuu huyo wa mkoa wa dsm kuunga mkono jitihada zinazofanywa na rais John Magufuri katika kuhakikisha tanzania inaelekea katika ujenzi wa viwanda.

Chanzo: Channel Ten
==========

.......New Updates.......

Lukuvi: Nitamchukulia hatua mfanyabiashara aliyempa Makonda ardhi kwa ajili ya Viwanda

Duuuu !!!
 
Nakupongeza Mkuu wa Mkoa Dar Bwana Paul C. Makonda kwa kupewa ekari 1500 kwa ajili ya uanzishwaji wa viwanda vidogovidogo.

Angalizo langu kwako, chunga sana usije kumwingiza Rais wetu kipenzi kwenye kashifa kubwa itakayoyumbisha nchi yetu. Soma ripoti ya CAG ya 2015/2016 juu ya kampuni hiyo iliyokupa ardhi kigamboni. Nasisitiza soma ripoti ile mkuu. Lakini usiishie hapo tu, soma sheria ya umiliki ardhi kwa mzawa na mgeni. Ukishindwa muone Waziri husika.

Usije kujikuta Mh Makonda unatumiwa kutakatisha haramu kuwa halali bila kujijua ama ukijua vema.

Na Yericko Nyerere

=======

Paul Makonda amekabidhiwa hekari 1500 za ardhi kujenga Viwanda “Dar es Salaam Industrial Area”.

Posted on February 21, 2017
MAKONDA-VIWANDA-1024x1024.jpg


Mkuu wa Mkoa wa Dsm Paul Makonda amekabidhiwa hekari 1500 za ardhi katika eneo la Lingati Kisarawe 2 Wilayani Kigamboni jijini Dsm litakalotumika kujenga Viwanda vidogo vidogo na vyakati litakalojulikana kama Dares salaam Industrial Area.

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukabidhiwa hekari hizo na Mkurugenzi wa Azimio Estaste inayomiliki maeneo mengi ya Uwekezaji hususan Viwanda katika wilaya ya kigamboni Bw,Mohamed Iqbar amesema hekali hizo zitagawanywa katika makundi ya uwekezaji viwanda vidogo na vyakati,Ufugaji wa mifugo ikiwemo ng’ombe na mbuzi lakini pia kilimo.

Amesema baada ya kukamilika utaratibu wa Upimaji eneo hilo litatengwa katika makundi matano ambapo wajasilimali kutoka wilaya zote za jiji la dsm wenye nia ya kuwekeza watakabidhiwa maeneo hayo kwa utaratibu utakaopangwa.

Hata hivyo makonda ametoa tahadhari kwa wale wananchi wazalendo wanaojitolea kwa ajili ya jamii.

Mkurugenzi wa Azimio Estate inayomiliki maeneo hayo amesema ameamua kutoa ardhi hiyo kwa Mkuu huyo wa mkoa wa dsm kuunga mkono jitihada zinazofanywa na rais John Magufuri katika kuhakikisha tanzania inaelekea katika ujenzi wa viwanda.

Chanzo: Channel Ten
==========

.......New Updates.......

Lukuvi: Nitamchukulia hatua mfanyabiashara aliyempa Makonda ardhi kwa ajili ya Viwanda

we yecco limited ni nomma
 
Mohamed Iqbal Baghdad atoe ardhi bure kwa Makonda? Bure? Yeye mgeni aliipataje mpaka awe na akiba ya kuipa serikali? Kaka yake alishtakiwa na PCCB kwa rushwa ya viwanja, akakutwa na hati za viwanja kwa mamia jijini, akafungwa. Hawa ni vijana walanguzi wakuu wa ardhi nchini, leo mkuu wa mkoa anaenda, tena na waandishi kupokea ardhi ya serikali kutoka mikononi mwa mmliki, Baghdad? Mnakumbuka uuzaji wa Mnazi mmoja miaka ya 90? Mnunuzi alikuwa huyohuyo Mohamed Iqbal, enzi za Kitwana Kondo (KK), Meya wa Jiji.....hadithi ni ndefu....Ina maana Makonda hajui au alikuwa bado mdogo?
 
Mnakumbuka uuzaji wa Mnazi mmoja miaka ya 90? Mnunuzi alikuwa huyohuyo Mohamed Iqbal, enzi za Kitwana Kondo (KK), Meya wa Jiji.....hadithi ni ndefu

Dah! Mkuu ,
Umeniwahi , nilitaka kuuliza huyu jamaa si yule wa kashfa ya Mnazi mmoja?
Enzi ya Mzee ruksa, na Kitwana.
Kitwana Kondo si wa Kigamboni! Hilo eneo ni kimeo.
 
Jaman watanzania wenzangu hivi mnaomba Makonda akosee au vipi??? Kikubwa wooote tuseme na tushauri hili liwe jambo lenye ukweli na lisiwe na ufisadi wala makandokando au uchafu wowote kupewa sio tatizo kuna wazee wetu wametoa maeneo yakajengwa shule mfano kwa wale walokulia temeke kuna shule inaitwa MADENGE ni eneo la BitMadenge alitoa ijengwe shule na misikiti mingi maeneo yake ni WAKFU wamepewa so hayo hamyaoni kikubwa uhalali,usafi na kutokuwepo ufisadi jamaa wametoa kwa faida ya nchi sasa hamtaki nchi iendelee jamani...STUPID COUNTRY
Hapa tatizo sio kupewa ardhi mkuu!! Inshu ipo kwa huyo mtoaji kwani ana shida sana tokea miaka ya 90!!
 
Dah...
Kwamba yawezekana anatumika??

Ila Makonda mahusiano yake na hawa kina GSM mara kina Azimio Estates yana connection gani??

Mbona wote wana profiles chafu sana lakini Makonda kawakumbatia sana??
Hata yeye ni mchafu sana
 
Back
Top Bottom