Angalizo kwa Mchoraji King Kinya : Ajihadhali sana na Chachu ya Mafarisayo

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,500
23,685
Jaribu sana kutumia akili kujifunza kwe mwenzako Masoud Kipanya.

Nmeona mchoro ambao umemchora kambi lugoda akimuuliza kibwangala kuwa inakuaje wote walikuwa na issue kubwa ila yeye kapona kabaki kwenye nafasi yake.

Umemfanya kibwangala kujibu kuwa kagere (hirizi) ndiyo inamsaidia. Hili jambo la kuita hirizi kagere limenisikitisha sana.

Kagere namfahamu ni muislamu safi asiyetumia hirizi na siku ile refarii alikuja kuulizwa akakiri kuwa ilikuwa cheni.ukienda you tube pia utakuta ushahidi.

Inaonesha kuwa unaweka ushabiki wako wa mpira katika mambo ambayo mwishowe unawachafua watu.mbona masoud kipanya huwa anaandika vitu vikirishi na vyenye maana unbiased? Jiangalie bwana mdogo unaweza poteza fans wengi sana katika mambo ya kuchafua watu.

Umtake radhi meddie kagere maana naye amesikitika sana na ni mshkaji ambaye hana maneno hata kwa sisi wanayanga.why umchafue hivyo?
 
Kikubwa ujumbe umefika
EPCoGfpWkAAOs9K.jpeg
 
Jaribu sana kutumia akili kujifunza kwe mwenzako Masoud Kipanya.

Nmeona mchoro ambao umemchora kambi lugoda akimuuliza kibwangala kuwa inakuaje wote walikuwa na issue kubwa ila yeye kapona kabaki kwenye nafasi yake.

Umemfanya kibwangala kujibu kuwa kagere (hirizi) ndiyo inamsaidia. Hili jambo la kuita hirizi kagere limenisikitisha sana.

Kagere namfahamu ni muislamu safi asiyetumia hirizi na siku ile refarii alikuja kuulizwa akakiri kuwa ilikuwa cheni.ukienda you tube pia utakuta ushahidi.

Inaonesha kuwa unaweka ushabiki wako wa mpira katika mambo ambayo mwishowe unawachafua watu.mbona masoud kipanya huwa anaandika vitu vikirishi na vyenye maana unbiased? Jiangalie bwana mdogo unaweza poteza fans wengi sana katika mambo ya kuchafua watu.

Umtake radhi meddie kagere maana naye amesikitika sana na ni mshkaji ambaye hana maneno hata kwa sisi wanayanga.why umchafue hivyo?
Umejuaje huo mchoro ni wa Lugoda na Hamisi? Kuna sehemu imeandikwa?
 
Mkuu, lugha ya Kiswahili inakuwa na inapata misamiati mipya kila kukicha. Bahati mbaya tu ni kuwa hii kitu hii imepata hilo jina la "kagere" huyu mchoraji wa vibonzo anatumia lugha ya kitaa tu kufikisha ujumbe wake. Wapenzi, mashabiki na wanachama wa Simba S.C watulie tu ktk hiki kipindi kigumu wanachokipitia. Watazoea tu jina hilo kama lile "vyura" lilivyozoeleka na wana wa Jangwani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Meddie Kagere hajawahi kuwa Muislamu labda unachanganya jina lake la Meddie na Ahmed. Kuhusu hirizi nadhani kuna kitu hakumtendea haki kagere Ila kwanini muandishi kafikia huku Kama sio Kuna Jambo
 
Hapa shida kwa mtoa mada ni usimba ndio tatizo.kuna idadi kubwa ya waislam wano amini vitu hivyo mmoja wao ni Kagere
 
Back
Top Bottom