Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,797
- 156,920
Tena mlrta uzi amelikuza NENO KAGERE mimi sikulijua
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, lugha ya Kiswahili inakuwa na inapata misamiati mipya kila kukicha. Bahati mbaya tu ni kuwa hii kitu hii imepata hilo jina la "kagere" huyu mchoraji wa vibonzo anatumia lugha ya kitaa tu kufikisha ujumbe wake. Wapenzi, mashabiki na wanachama wa Simba S.C watulie tu ktk hiki kipindi kigumu wanachokipitia. Watazoea tu jina hilo kama lile "vyura" lilivyozoeleka na wana wa Jangwani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app