Angalizo kwa Graduates wote na kaka/dadas Mliopo Vyuoni

MKATA KIU

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
2,848
6,177
ANGALIZO KWA KAKA /DADA NA WADOGO ZANGU WOTE MLIOPO VYUONI NA MNAOTEGEMEA KUMALIZA CHUO
Mi ni graduates wa chuo kimoja cha uma mwaka 2010 and nakummbuka sana stories tulizokuwa tunapiga enzi za chuo na matumaini kibao na washkaji chuoni, especially ambao tuliingia chuo direct from school ambazo mara nyingi zilikuwa tofauti na stories ambazo in services walizokuwa wanaziongelea wakitokea makazini,, so after almost a year In real practical world nimejifunza yafutayo na nimeona si vibaya nikishare na washkaji zangu ambao bado mkpo vyuoni na mtaani mkiendelea na harakati

1.Kwanza kabisa Heshima kwa watu wote ama course yoyote sababu vyuoni kuna tabia ya kujiona huko juu kisa unasoma course flani like Telecom,B com, BAF, logistics etc na kuwaponda wenzako kuwa watasota kitaa au watakuwa na maisha duni kisa wanasoma degree hazieleweki, in real world maisha hayaeleweki na ajira siku hizi si mchezo na hata kubebwa lazima ubebwe na mtu mwenye nguvu kweli kweli sio rahisi kama tunavyozani na hii imechangiwa na technology, siku hizi kazi nyingi zinafanywa under management system so haziitaji nguvu nyingi ya lazima kumwajiri aliyosomea yoyote anafundishwa system kasha anapiga mzigo kama kawa,

2.Pia kuandaa plan B mapema, nadhani weni wetu plan A inakuwa kuajiriwa nah ii inaweza ikabuma so ni vyema kuandaa plan B na hata Plan C if possible mapema na tena itapendeza ukianza nayo toka huko chuoni wakati unapata pata vipesa vya Boom kama mtaji mdogo wa what ur going to do kama usipopata ajira.


3. Kuwa makini kwenye Mahusiano yako, Date the right one sababu patner ndo mtu wa kwanza close kwenye harakati za maisha na hata kupeana furaha hata kama mishe haziendi sawasawa, na vyuoni ni sehemu zenye wide choice so badala ya kupoteza muda na visister duu visivyojua maisha ni nini au visharobaro visivyojielewa kama ni mdada jilengeshe kwa right man ambae mtakuwa pamoja kwenye michakato yote coz hukisubiri uje umpate wakati una kazi nzuri au pesa nyingi atakuwa feki huyo na pia kupata hiyo kazi nzuri na pesa nyingi inaweza isifike hata baada ya 10 years as soko ni gumu sana nowdays and Kila nyumba ina graduates siku hizi so job is a real challenge


4.Jitahidi uwe unique katika competitive market usipende vitu vya kuigana as kufata mkumbo like kukimbilia masters wakati hauna experience tena kwenye vyuo vyetu vya kibongo ulivyosoma undergraduate unaenda kuchukua masters cheti, but u ddnt masters anything because the mean of master is the same as mastering something you know better and wish to continue doing on your life. But ukipata chance abroad atleast utachange pia hata kuimprove communication skills as you know kidhungu ni ishu kwa sisi wabongo. USHAURI HIYO SCHOOL FEES YA MASTER BILA EXPERIENCE NI BORA HUITUMIE KAMA MTAJI KWENYE PLAN B YAKO kuliko kuipeleka chuoni then ukarudi kwenye u jobless


5. Communication skills kwa kiingereza nazo zinahusika nowdays, kwa wale mliopitia English medium schools au kusoma abroad na wote ambao kiingereza mnakijua vizuri tumieni lugha hiyo vizuri kuwachanganya mabosi kwenye interviews au hata kwenye career fairs as you know kwa bongo English deal, although haina maana yoyote.


6. Pia jitahidi ujichanganye na watu mbalimbali ili utengeneze network na pia fuatilia sana kampuni ambazo zinarecruit kila mwaka like KPMG, PWC, DELLOITE, SDV, PKF, ERNST AND YOUNG etc sababu hizo ndizo hope kubwa kwa graduates tusio na connection sababu ziko na fair recruitment japokuwa ni process kupata maana interview sio chini ya tatu na GPA lazima iwe inasoma na ina relate na matokeo ya Form 4 and form 6, sio form4 div 4, form 6 div 3 halafu chuo una first class hapo jamaa watajua chuo umefanya uchakachuaji tu, Nimesema hivyo through my experience working in among those firm since I graduate up to now, na nilipata job bila kumjua hata mfagiaji wa ofisi,, so I encourage my fellows mjaribu bahati zenu..

NI HAYO TU NDUGU ZANGU NIMEONA TUSHARE KAMA KUNA MTU ANA LA KUONGEZEA RUHUSA KWA FAIDA YA NDUGU NA JAMAA
 
ANGALIZO KWA KAKA /DADA NA WADOGO ZANGU WOTE MLIOPO VYUONI NA MNAOTEGEMEA KUMALIZA CHUO
Mi ni graduates wa chuo kimoja cha uma mwaka 2010 and nakummbuka sana stories tulizokuwa tunapiga enzi za chuo na matumaini kibao na washkaji chuoni, especially ambao tuliingia chuo direct from school ambazo mara nyingi zilikuwa tofauti na stories ambazo in services walizokuwa wanaziongelea wakitokea makazini,, so after almost a year In real practical world nimejifunza yafutayo na nimeona si vibaya nikishare na washkaji zangu ambao bado mkpo vyuoni na mtaani mkiendelea na harakati

1.Kwanza kabisa Heshima kwa watu wote ama course yoyote sababu vyuoni kuna tabia ya kujiona huko juu kisa unasoma course flani like Telecom,B com, BAF, logistics etc na kuwaponda wenzako kuwa watasota kitaa au watakuwa na maisha duni kisa wanasoma degree hazieleweki, in real world maisha hayaeleweki na ajira siku hizi si mchezo na hata kubebwa lazima ubebwe na mtu mwenye nguvu kweli kweli sio rahisi kama tunavyozani na hii imechangiwa na technology, siku hizi kazi nyingi zinafanywa under management system so haziitaji nguvu nyingi ya lazima kumwajiri aliyosomea yoyote anafundishwa system kasha anapiga mzigo kama kawa,

2.Pia kuandaa plan B mapema, nadhani weni wetu plan A inakuwa kuajiriwa nah ii inaweza ikabuma so ni vyema kuandaa plan B na hata Plan C if possible mapema na tena itapendeza ukianza nayo toka huko chuoni wakati unapata pata vipesa vya Boom kama mtaji mdogo wa what ur going to do kama usipopata ajira.


3. Kuwa makini kwenye Mahusiano yako, Date the right one sababu patner ndo mtu wa kwanza close kwenye harakati za maisha na hata kupeana furaha hata kama mishe haziendi sawasawa, na vyuoni ni sehemu zenye wide choice so badala ya kupoteza muda na visister duu visivyojua maisha ni nini au visharobaro visivyojielewa kama ni mdada jilengeshe kwa right man ambae mtakuwa pamoja kwenye michakato yote coz hukisubiri uje umpate wakati una kazi nzuri au pesa nyingi atakuwa feki huyo na pia kupata hiyo kazi nzuri na pesa nyingi inaweza isifike hata baada ya 10 years as soko ni gumu sana nowdays and Kila nyumba ina graduates siku hizi so job is a real challenge


4.Jitahidi uwe unique katika competitive market usipende vitu vya kuigana as kufata mkumbo like kukimbilia masters wakati hauna experience tena kwenye vyuo vyetu vya kibongo ulivyosoma undergraduate unaenda kuchukua masters cheti, but u ddnt masters anything because the mean of master is the same as mastering something you know better and wish to continue doing on your life. But ukipata chance abroad atleast utachange pia hata kuimprove communication skills as you know kidhungu ni ishu kwa sisi wabongo. USHAURI HIYO SCHOOL FEES YA MASTER BILA EXPERIENCE NI BORA HUITUMIE KAMA MTAJI KWENYE PLAN B YAKO kuliko kuipeleka chuoni then ukarudi kwenye u jobless


5. Communication skills kwa kiingereza nazo zinahusika nowdays, kwa wale mliopitia English medium schools au kusoma abroad na wote ambao kiingereza mnakijua vizuri tumieni lugha hiyo vizuri kuwachanganya mabosi kwenye interviews au hata kwenye career fairs as you know kwa bongo English deal, although haina maana yoyote.


6. Pia jitahidi ujichanganye na watu mbalimbali ili utengeneze network na pia fuatilia sana kampuni ambazo zinarecruit kila mwaka like KPMG, PWC, DELLOITE, SDV, PKF, ERNST AND YOUNG etc sababu hizo ndizo hope kubwa kwa graduates tusio na connection sababu ziko na fair recruitment japokuwa ni process kupata maana interview sio chini ya tatu na GPA lazima iwe inasoma na ina relate na matokeo ya Form 4 and form 6, sio form4 div 4, form 6 div 3 halafu chuo una first class hapo jamaa watajua chuo umefanya uchakachuaji tu, Nimesema hivyo through my experience working in among those firm since I graduate up to now, na nilipata job bila kumjua hata mfagiaji wa ofisi,, so I encourage my fellows mjaribu bahati zenu..

NI HAYO TU NDUGU ZANGU NIMEONA TUSHARE KAMA KUNA MTU ANA LA KUONGEZEA RUHUSA KWA FAIDA YA NDUGU NA JAMAA
UMESOMEKA SANA MKUU SHUKRANI KWA ANGALIZO NA USHAURI NI WAZI VIJANA WALIOPO CHUO WATAFUATILIA NA KUKUELEWA NI UKWELI ULIOWAZI HUKU KITAA NI TOFAUTI KABISA NA WANAVYOFIKRI .GUYS WE ARE INTELLECTUALS TUMEENDA SHULE KUKOMBOA FIKRA ZETU ILI TUJE KUPAMBANA NA CHANGAMOTO ZA MAISHA

"Strength and growth come only through continuous effort and struggle". -Napoleon Hill


 
Kaka mchango wako ni wamuhimu sana na utasaidia kutoa ukungu kwa wanachuo wengi watakaousoma.

binafsi nina rafiki zangu wengi enzi zile nipo advance waliokuwa wanasoma PCM walipenda sana kusoma Telecom na waliamini wakisoma hii course basi maisha yao yatakuwa mteremko.Ila sasa walipomaliza ndio wamejua ukweli wa mambo ulivyo yani ni MWENDO WA BENCHI mwanzo mwisho na wengi wamefungua vibanda kwa ajiri ya kupigia madogo mapindi.Ila ukweli ni kwamba katika maisha kutoka ni network yako na watu na compitent yako regardless your professional.

Kingine ningependa kuwasaidia wadogo zangu kifikra katika hizi fani mpya zinazoanzishwa ni vyema wazichague hizo kama wanavigezo vya kuzisoma kuliko kujazana kwenye fani ambazo mahitaji yake sokoni hayaendani na idadi ya wahitimu.Mfano wa hizo course ni actuarial science ipo udsm,real estate ipo ardhi na textile engineering ipo coet na zingine nyingi mpya maana hata telecom miaka ya 2001(kama sijakosea) ilipoanza ilikuwa haijulikani ila products zake zilikuwa zinahitajika kwa kasi katika telecom industry pia hata computer science ilipoanza ilikuwa marketable ila kwa sasa zote chali maana wahitimu wengi wa hizi course wanafikiria kuwa ma-tutorial assistants.

Kwa kumalizia nawashauri madogo kabla ujachagua course kwa kupitia central admission system ya TCU basi muulize kaka zenu waliohitimu hizo course au nenda kwenye chuo husika kaulize ili usije ukajuta(majuto mjukuu) na ukaanza kusoma kwa stress.NAWASILISHA.
 
Kaka mchango wako ni wamuhimu sana na utasaidia kutoa ukungu kwa wanachuo wengi watakaousoma.

binafsi nina rafiki zangu wengi enzi zile nipo advance waliokuwa wanasoma PCM walipenda sana kusoma Telecom na waliamini wakisoma hii course basi maisha yao yatakuwa mteremko.Ila sasa walipomaliza ndio wamejua ukweli wa mambo ulivyo yani ni MWENDO WA BENCHI mwanzo mwisho na wengi wamefungua vibanda kwa ajiri ya kupigia madogo mapindi.Ila ukweli ni kwamba katika maisha kutoka ni network yako na watu na compitent yako regardless your professional.

Kingine ningependa kuwasaidia wadogo zangu kifikra katika hizi fani mpya zinazoanzishwa ni vyema wazichague hizo kama wanavigezo vya kuzisoma kuliko kujazana kwenye fani ambazo mahitaji yake sokoni hayaendani na idadi ya wahitimu.Mfano wa hizo course ni actuarial science ipo udsm,real estate ipo ardhi na textile engineering ipo coet na zingine nyingi mpya maana hata telecom miaka ya 2001(kama sijakosea) ilipoanza ilikuwa haijulikani ila products zake zilikuwa zinahitajika kwa kasi katika telecom industry pia hata computer science ilipoanza ilikuwa marketable ila kwa sasa zote chali maana wahitimu wengi wa hizi course wanafikiria kuwa ma-tutorial assistants.

Kwa kumalizia nawashauri madogo kabla ujachagua course kwa kupitia central admission system ya TCU basi muulize kaka zenu waliohitimu hizo course au nenda kwenye chuo husika kaulize ili usije ukajuta(majuto mjukuu) na ukaanza kusoma kwa stress.NAWASILISHA.
well said mkuu lazima tuweflexible tusifuate mkumbo tu...
 
Safi sana mkuu,umesomeka mbaya..maana ka hapa udbs watu wanadhani ndo tayari waisha yapatia maisha.
 
ANGALIZO KWA KAKA /DADA NA WADOGO ZANGU WOTE MLIOPO VYUONI NA MNAOTEGEMEA KUMALIZA CHUO
Mi ni graduates wa chuo kimoja cha uma mwaka 2010 and nakummbuka sana stories tulizokuwa tunapiga enzi za chuo na matumaini kibao na washkaji chuoni, especially ambao tuliingia chuo direct from school ambazo mara nyingi zilikuwa tofauti na stories ambazo in services walizokuwa wanaziongelea wakitokea makazini,, so after almost a year In real practical world nimejifunza yafutayo na nimeona si vibaya nikishare na washkaji zangu ambao bado mkpo vyuoni na mtaani mkiendelea na harakati

1.Kwanza kabisa Heshima kwa watu wote ama course yoyote sababu vyuoni kuna tabia ya kujiona huko juu kisa unasoma course flani like Telecom,B com, BAF, logistics etc na kuwaponda wenzako kuwa watasota kitaa au watakuwa na maisha duni kisa wanasoma degree hazieleweki, in real world maisha hayaeleweki na ajira siku hizi si mchezo na hata kubebwa lazima ubebwe na mtu mwenye nguvu kweli kweli sio rahisi kama tunavyozani na hii imechangiwa na technology, siku hizi kazi nyingi zinafanywa under management system so haziitaji nguvu nyingi ya lazima kumwajiri aliyosomea yoyote anafundishwa system kasha anapiga mzigo kama kawa,

2.Pia kuandaa plan B mapema, nadhani weni wetu plan A inakuwa kuajiriwa nah ii inaweza ikabuma so ni vyema kuandaa plan B na hata Plan C if possible mapema na tena itapendeza ukianza nayo toka huko chuoni wakati unapata pata vipesa vya Boom kama mtaji mdogo wa what ur going to do kama usipopata ajira.


3. Kuwa makini kwenye Mahusiano yako, Date the right one sababu patner ndo mtu wa kwanza close kwenye harakati za maisha na hata kupeana furaha hata kama mishe haziendi sawasawa, na vyuoni ni sehemu zenye wide choice so badala ya kupoteza muda na visister duu visivyojua maisha ni nini au visharobaro visivyojielewa kama ni mdada jilengeshe kwa right man ambae mtakuwa pamoja kwenye michakato yote coz hukisubiri uje umpate wakati una kazi nzuri au pesa nyingi atakuwa feki huyo na pia kupata hiyo kazi nzuri na pesa nyingi inaweza isifike hata baada ya 10 years as soko ni gumu sana nowdays and Kila nyumba ina graduates siku hizi so job is a real challenge


4.Jitahidi uwe unique katika competitive market usipende vitu vya kuigana as kufata mkumbo like kukimbilia masters wakati hauna experience tena kwenye vyuo vyetu vya kibongo ulivyosoma undergraduate unaenda kuchukua masters cheti, but u ddnt masters anything because the mean of master is the same as mastering something you know better and wish to continue doing on your life. But ukipata chance abroad atleast utachange pia hata kuimprove communication skills as you know kidhungu ni ishu kwa sisi wabongo. USHAURI HIYO SCHOOL FEES YA MASTER BILA EXPERIENCE NI BORA HUITUMIE KAMA MTAJI KWENYE PLAN B YAKO kuliko kuipeleka chuoni then ukarudi kwenye u jobless


5. Communication skills kwa kiingereza nazo zinahusika nowdays, kwa wale mliopitia English medium schools au kusoma abroad na wote ambao kiingereza mnakijua vizuri tumieni lugha hiyo vizuri kuwachanganya mabosi kwenye interviews au hata kwenye career fairs as you know kwa bongo English deal, although haina maana yoyote.


6. Pia jitahidi ujichanganye na watu mbalimbali ili utengeneze network na pia fuatilia sana kampuni ambazo zinarecruit kila mwaka like KPMG, PWC, DELLOITE, SDV, PKF, ERNST AND YOUNG etc sababu hizo ndizo hope kubwa kwa graduates tusio na connection sababu ziko na fair recruitment japokuwa ni process kupata maana interview sio chini ya tatu na GPA lazima iwe inasoma na ina relate na matokeo ya Form 4 and form 6, sio form4 div 4, form 6 div 3 halafu chuo una first class hapo jamaa watajua chuo umefanya uchakachuaji tu, Nimesema hivyo through my experience working in among those firm since I graduate up to now, na nilipata job bila kumjua hata mfagiaji wa ofisi,, so I encourage my fellows mjaribu bahati zenu..

NI HAYO TU NDUGU ZANGU NIMEONA TUSHARE KAMA KUNA MTU ANA LA KUONGEZEA RUHUSA KWA FAIDA YA NDUGU NA JAMAA

wish hili somo lingewafikia hao wadogo zetu direct. Wana ndoto ambazo ni ubatili mtupu
 
Umeongea vizuri sana..wengi tulikuwa na ndoto hizo..but tumeingia kwenye real world mambo yamekuwa tofauti kabisa!
 
Yani itbidi huu ujumbe wako nipelekee baadhi ya vijana ambao ndoto zao zote ni kupata kazi kwenye ofisi zenye full kiyoyozi na Mshahara usiopugua millioni mbili serekalini hah!!hah!! hah!
 
Back
Top Bottom