Wanajf,
Kama mkiangalia kwa undani CCM wako very strategic kuchakachua matokeo. Wameanzisha fujo Temeke, Kigoma Mwanza na Tarime makusudi. Lengo ni kuwafanya watu wakoncentrate sehemu zenye vurugu na utata wao wachakachue sehemu ingine. Wanachadema na wanaharakati tusilale kona zote za nchi mpaka kieleweke. Hakuna kulala
Kama mkiangalia kwa undani CCM wako very strategic kuchakachua matokeo. Wameanzisha fujo Temeke, Kigoma Mwanza na Tarime makusudi. Lengo ni kuwafanya watu wakoncentrate sehemu zenye vurugu na utata wao wachakachue sehemu ingine. Wanachadema na wanaharakati tusilale kona zote za nchi mpaka kieleweke. Hakuna kulala