Elections 2010 Angalizo kali kwa Watanzania wote mara baada ya jk kutangazwa rais.

Gwallo

JF-Expert Member
Oct 15, 2010
3,200
3,761
Ninamshukuru Mungu sana maana yeye si mtu hata aseme uongo. Kwa jinsi ya kibinadamu macho yangu na ufahamu unaona yafuatayo katika matokeo yanayoendelea kutolewa.

  1. Tume ya uchaguzi inataka kutupumbaza kwamba DR. Slaa hakuchaguliwa na watz.
  2. Uongo mkubwa wa kutatangazia matokeo ya kile wanachojua fika kuwa si maamuzi ya watz.
  3. Kutulazimisha kupenda mtu asiyependeka.
  4. Tume ya uchaguzi NEC na majasusi wa watz wanauwezo kumshinda muumba?
Mara baadaya matokeo haya hatua za kuchukua.

  • Kuwa watulivu mpaka matokeo yote yatangazwe.
  • Kuendelea kumwuliza Mungu kwamba je huyu anaeyeendelea kutangazwa ndiye chaguo la watz? na kama siyo je Mungu kwa nini atuongoze? maswali na maombi yetu Mungu ATAJIBU.
  • Tusubiri tutauona mkono wa Bwana.
Nawatakia WaJF,CHADEMA na Watanzania mafanikio katika maisha yao na Mungu atuondolee huzuni yetu ya muda mfupi wakati tunasubiri Mungu kufanya maajabu yake ili kutupa nchi yetu ya asali na maziwa.
 
Ninamshukuru Mungu sana maana yeye si mtu hata aseme uongo. Kwa jinsi ya kibinadamu macho yangu na ufahamu unaona yafuatayo katika matokeo yanayoendelea kutolewa.

  1. Tume ya uchaguzi inataka kutupumbaza kwamba DR. Slaa hakuchaguliwa na watz.
  2. Uongo mkubwa wa kutatangazia matokeo ya kile wanachojua fika kuwa si maamuzi ya watz.
  3. Kutulazimisha kupenda mtu asiyependeka.
  4. Tume ya uchaguzi NEC na majasusi wa watz wanauwezo kumshinda muumba?
Mara baadaya matokeo haya hatua za kuchukua.

  • Kuwa watulivu mpaka matokeo yote yatangazwe.
  • Kuendelea kumwuliza Mungu kwamba je huyu anaeyeendelea kutangazwa ndiye chaguo la watz? na kama siyo je Mungu kwa nini atuongoze? maswali na maombi yetu Mungu ATAJIBU.
  • Tusubiri tutauona mkono wa Bwana.
Nawatakia WaJF,CHADEMA na Watanzania mafanikio katika maisha yao na Mungu atuondolee huzuni yetu ya muda mfupi wakati tunasubiri Mungu kufanya maajabu yake ili kutupa nchi yetu ya asali na maziwa.


jaji makame ngozi imemkakamaa hana haya kukaa mbele ya vyombo vya habari kutangaza unafiki.
 
Namwambia Makame na NEC kuwa malipo ni hapa duniani. Kuhusika kwao kwa aina yeyote ile malipo yao yapa duniani na Mungu atahakikisha wanalipa sawa na matendo yao!
 
MAKAME, Kumbuka malipo yako yatakuwa hapa hapa duniani, damu ya watanzania itakulilia.
 
Ninamshukuru Mungu sana maana yeye si mtu hata aseme uongo. Kwa jinsi ya kibinadamu macho yangu na ufahamu unaona yafuatayo katika matokeo yanayoendelea kutolewa.

  1. Tume ya uchaguzi inataka kutupumbaza kwamba DR. Slaa hakuchaguliwa na watz.
  2. Uongo mkubwa wa kutatangazia matokeo ya kile wanachojua fika kuwa si maamuzi ya watz.
  3. Kutulazimisha kupenda mtu asiyependeka.
  4. Tume ya uchaguzi NEC na majasusi wa watz wanauwezo kumshinda muumba?
Mara baadaya matokeo haya hatua za kuchukua.

  • Kuwa watulivu mpaka matokeo yote yatangazwe.
  • Kuendelea kumwuliza Mungu kwamba je huyu anaeyeendelea kutangazwa ndiye chaguo la watz? na kama siyo je Mungu kwa nini atuongoze? maswali na maombi yetu Mungu ATAJIBU.
  • Tusubiri tutauona mkono wa Bwana.
Nawatakia WaJF,CHADEMA na Watanzania mafanikio katika maisha yao na Mungu atuondolee huzuni yetu ya muda mfupi wakati tunasubiri Mungu kufanya maajabu yake ili kutupa nchi yetu ya asali na maziwa.

Aiseh! haya maneno makali sana, yanatisha hata kupita porojo za shekhe Yahya, natamani Kikwete naye angeyasoma. Ghadhamu ya Mungu hakuna anayeweza kuizuia, you never know, anaweza hata akampotezea mbali ili Watanzania tujichukulie nchi yetu th! th! TH! natania tu!
 
Jk na ccm wameshinda kihalal japo kunamaeneo wamechakachua ubunge,ila tukubali cc wapinzani kama hatuwezi kuungana tukasimamisha mgombea 1 ktk kiti cha urais kuitoa ccm madarakani hiyo nindoto,watatawala hata miaka mingine 20ijayo.tuachetamaa naulafi wamadaraka tuungane wapinzani,mfano mzuri nijimbo la tarime ktk ubunge kura za cuf na chadema ninyingi kuliko za ccm lakin kwavile kila1 anataka ubunge kati ya cuf na chadema ccm wameshinda
 
Ushindi ukiwa wa HAKI hakuna kitakachotoea
ILA kama ushindi ni wa WIZI jamani kuweni watulivu
MUNGU yu karibu KUTUJIBU WATAZANIA na chamoto watakiona
WOOOOOOOOOOOOOOOOOOTE waliohusika kufanikisha wizi huo
maana inaonyesha ni mtandao mkubwa ila wasubiri MAPIGO YA MUNGU ALIYE WA HAKI
 
Niwapi dunian dhuruma ilishinda haki? Ni wapi dunian wabaya walitamba hadi wakachoka wenyewe? Hakuna. Wabaya, wadhurumaji na wababe wanamwisho wao. Siku moja wataumbuka. Manung'uniko yetu hayataenda bure. Tusubir!
 
Jk na ccm wameshinda kihalal japo kunamaeneo wamechakachua ubunge,ila tukubali cc wapinzani kama hatuwezi kuungana tukasimamisha mgombea 1 ktk kiti cha urais kuitoa ccm madarakani hiyo nindoto,watatawala hata miaka mingine 20ijayo.tuachetamaa naulafi wamadaraka tuungane wapinzani,mfano mzuri nijimbo la tarime ktk ubunge kura za cuf na chadema ninyingi kuliko za ccm lakin kwavile kila1 anataka ubunge kati ya cuf na chadema ccm wameshinda
Maelezo yako yanapingana. Huwezi kusema CCM wameshinda kihalali na hapo hapo unakiri kuwa baadhi ya maeneo wamechakachua. Kama kuna kuchakachua hakuna uhalali.

Kuungana siyo suluhisho la wizi maana hata mkimweka mgombea mmoja atachakachuliwa. Tunaomba utuletee ushauri mwingine lakini huu hauwezi kukubalika kwa watu wanaoelewa.
 
Ninamshukuru Mungu sana maana yeye si mtu hata aseme uongo. Kwa jinsi ya kibinadamu macho yangu na ufahamu unaona yafuatayo katika matokeo yanayoendelea kutolewa.


  1. Tume ya uchaguzi inataka kutupumbaza kwamba DR. Slaa hakuchaguliwa na watz.
  2. Uongo mkubwa wa kutatangazia matokeo ya kile wanachojua fika kuwa si maamuzi ya watz.
  3. Kutulazimisha kupenda mtu asiyependeka.
  4. Tume ya uchaguzi NEC na majasusi wa watz wanauwezo kumshinda muumba?

Mara baadaya matokeo haya hatua za kuchukua.


  • Kuwa watulivu mpaka matokeo yote yatangazwe.
  • Kuendelea kumwuliza Mungu kwamba je huyu anaeyeendelea kutangazwa ndiye chaguo la watz? na kama siyo je Mungu kwa nini atuongoze? maswali na maombi yetu Mungu ATAJIBU.
  • Tusubiri tutauona mkono wa Bwana.

Nawatakia WaJF,CHADEMA na Watanzania mafanikio katika maisha yao na Mungu atuondolee huzuni yetu ya muda mfupi wakati tunasubiri Mungu kufanya maajabu yake ili kutupa nchi yetu ya asali na maziwa.

Mungu hadhihakiwi chochote apandacho mtu ndicho atakachovuna. We have been fasting and praying for the election and crying to GOD to give us proper and right leaders.If they have rigged the election and if he wasnt God choice then he will not finish his reign in the next five years.Do you remember what happened to King Nebuchadzer the great?His was brought down to earth by God Himself?. Or what happened to king saul?.Kama amelazimisha na denying the tanzanians their right, believe he will have to deal with GOD Himself.Mungu hapokei rushwa na wala si fisadi.
 
kabla ya uchaguzi mulikuwa mnategemea peoplessss poweeeer!!!! baada ya kuona hakuna cha peoples sasa mnategemea mungu sio? Inamaana chadema hawana peoples power tena?
 
Ninamshukuru Mungu sana maana yeye si mtu hata aseme uongo. Kwa jinsi ya kibinadamu macho yangu na ufahamu unaona yafuatayo katika matokeo yanayoendelea kutolewa.

  1. Tume ya uchaguzi inataka kutupumbaza kwamba DR. Slaa hakuchaguliwa na watz.
  2. Uongo mkubwa wa kutatangazia matokeo ya kile wanachojua fika kuwa si maamuzi ya watz.
  3. Kutulazimisha kupenda mtu asiyependeka.
  4. Tume ya uchaguzi NEC na majasusi wa watz wanauwezo kumshinda muumba?
Mara baadaya matokeo haya hatua za kuchukua.

  • Kuwa watulivu mpaka matokeo yote yatangazwe.
  • Kuendelea kumwuliza Mungu kwamba je huyu anaeyeendelea kutangazwa ndiye chaguo la watz? na kama siyo je Mungu kwa nini atuongoze? maswali na maombi yetu Mungu ATAJIBU.
  • Tusubiri tutauona mkono wa Bwana.
Nawatakia WaJF,CHADEMA na Watanzania mafanikio katika maisha yao na Mungu atuondolee huzuni yetu ya muda mfupi wakati tunasubiri Mungu kufanya maajabu yake ili kutupa nchi yetu ya asali na maziwa.

Kawadanganye mazumbukuku wasiojua ulimwengu ulivyo!Mmefulia,nani ampe urais mtaka dini?
 
Back
Top Bottom