Kakke
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,883
- 1,482
Jee Serekali si inaongozwa na chama tawala na chama kinacho shinda si kinacho fuata sera zake za chama na itikadi za chama? Sasa Nappy unataka kutwambia hivi sasa kua chama na serekali viko mbali katika mipango yakuendesha nchi?.
Sera za ccm nikulinda mafisadi na ndio ukaona nikulindana lindana tu ccm kwakua kila moja sio msafi na wako wengi tu katika mazambi hayo ya ufisani na wengine wamo kwenye vinyaganyiro vya kugombea uraisi.
Kuna ufisadi wakutisha kama Richmon na ule wa Tageta Escrow watu walotafuna mabilionea na hivi sasa wako kwenye kinyaganyiro cha uchaguzi na chama bado kimeshindwa kuwa fungulia kesi za kula mabilion ya Umma na kutaifisha mali zao.
Jee tuseme hawa viongozi wa ccm na makada wao hawayaoni haya? kama wanayaona kwa nini wameshindwakuwafikisha kwenye vyombo vya sheria kuwa wizi wa mamillion ya Dollas ambazo zingetusaidia wanyonge kwa madawa na elimu .
tukiashana na hilo katiba ya Jaji Warioba ilisema Mbunge yoyote anaweza kuhukumiwa na wananchi waliomchagua katika jimbo lake kabla hata yakumaliza kipindi chake cha miaka 5?,sasa unapo twambia Neppy Nawiye kua mara hii tuwawajibishe? kwa sheria gani haliyakua nyiyi ndio muliopinga sheria ya kuwajibishwa?.
Au ndio msimu wa uchaguzi umeingia munataka kura tuwape halafu muendelee kubakia madakani na kuendeleza ufisadi.Mara hii ccm hamuwadanganyi tena wananchi kwa ulahai na kuwaona Watanzania ni Matasira, ma-foolish ili mchezo uendelee kuwa ule ule wa Ufisadi huku walala hoi wa tukihangaika kwa mlo wa siku.
Mukitaka kura munakuja na maneno matamu lakini baado mumekumbatia ilani ya kulindana na kuwalinda mafisadi wenye kujilimbikizia mabilioni ya Dollar na rasilimali zakutisha, mara hii tunataka kuangalia ahadi za upinzani nyiyi punzikeni kidogo miaka 50 inatosha ni nusu karne bado Watanzania tumekua maskini wakutupwa na viongozi wakiwa na utajiri wakutisha.
Tanzania ni nchi yenye rasilimali nyingi lakini haziwanufaishi Watanzania wenyewe ,bali ni vigogo na wawekezaji wa kigeni kwa mikataba mibovu yaufisadi.
https://www.youtube.com/watch?t=143&v=41UCnZxDuBQ
https://www.youtube.com/watch?t=50&v=QQppjgDgaik
Sera za ccm nikulinda mafisadi na ndio ukaona nikulindana lindana tu ccm kwakua kila moja sio msafi na wako wengi tu katika mazambi hayo ya ufisani na wengine wamo kwenye vinyaganyiro vya kugombea uraisi.
Kuna ufisadi wakutisha kama Richmon na ule wa Tageta Escrow watu walotafuna mabilionea na hivi sasa wako kwenye kinyaganyiro cha uchaguzi na chama bado kimeshindwa kuwa fungulia kesi za kula mabilion ya Umma na kutaifisha mali zao.
Jee tuseme hawa viongozi wa ccm na makada wao hawayaoni haya? kama wanayaona kwa nini wameshindwakuwafikisha kwenye vyombo vya sheria kuwa wizi wa mamillion ya Dollas ambazo zingetusaidia wanyonge kwa madawa na elimu .
tukiashana na hilo katiba ya Jaji Warioba ilisema Mbunge yoyote anaweza kuhukumiwa na wananchi waliomchagua katika jimbo lake kabla hata yakumaliza kipindi chake cha miaka 5?,sasa unapo twambia Neppy Nawiye kua mara hii tuwawajibishe? kwa sheria gani haliyakua nyiyi ndio muliopinga sheria ya kuwajibishwa?.
Au ndio msimu wa uchaguzi umeingia munataka kura tuwape halafu muendelee kubakia madakani na kuendeleza ufisadi.Mara hii ccm hamuwadanganyi tena wananchi kwa ulahai na kuwaona Watanzania ni Matasira, ma-foolish ili mchezo uendelee kuwa ule ule wa Ufisadi huku walala hoi wa tukihangaika kwa mlo wa siku.
Mukitaka kura munakuja na maneno matamu lakini baado mumekumbatia ilani ya kulindana na kuwalinda mafisadi wenye kujilimbikizia mabilioni ya Dollar na rasilimali zakutisha, mara hii tunataka kuangalia ahadi za upinzani nyiyi punzikeni kidogo miaka 50 inatosha ni nusu karne bado Watanzania tumekua maskini wakutupwa na viongozi wakiwa na utajiri wakutisha.
Tanzania ni nchi yenye rasilimali nyingi lakini haziwanufaishi Watanzania wenyewe ,bali ni vigogo na wawekezaji wa kigeni kwa mikataba mibovu yaufisadi.
https://www.youtube.com/watch?t=143&v=41UCnZxDuBQ
https://www.youtube.com/watch?t=50&v=QQppjgDgaik