Blood Hurricane
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 1,175
- 301
Hii nchi inanuka rushwa kila sehemu, Polisi, Wabunge, Mawaziri, Mahakimu, Ofisi zote za umma.
Ukiwa na njaa kama traffic siyo rushwa. Ni udokozi. Rushwa iko bungeni bwana! Wanapata milioni 7 kwa mwezi na rushwa juu!
Mmmmmmmh_tabata posta bila shaka.