Angalia watoto wetu wanavyoteseka kwa Serikali kufuta utaratibu wa mihula mitatu

Ndachuwa

JF-Expert Member
Mar 8, 2006
6,269
4,569
Shule za binafsi zilikuwa na utaratibu wa kuendeshwa kwa mihula mitatu yaani January - March; April /Masika wanakuwa likikizo; May -July; August / Vuli wanakuwa likizo, September - November; December / msimu wa sikuuu za mwisho wa mwaka wanakuwa nyumbani.

Kwa serikali kupiga marufuku utaratibu huu sasa hivi watoto wetu wanateseka sana na hizi mvua zinazoendelea wakati wangekuwa likizo. Niishauri tuu Serikali kama kuna kitu kizuri kinachofanywa na sekta binafsi wasione aibu kuiga kwani sekta binafsi na serikali zote zinahudumia jamii ile ile ya Taifa la Tanzania
 
Shule za binafsi zilikuwa na utaratibu wa kuendeshwa kwa mihula mitatu yaani January - March; April /Masika wanakuwa likikizo; May -July; August / Vuli wanakuwa likizo, September - November; December / msimu wa sikuuu za mwisho wa mwaka wanakuwa nyumbani.

Kwa serikali kupiga marufuku utaratibu huu sasa hivi watoto wetu wanateseka sana na hizi mvua zinazoendelea wakati wangekuwa likizo. Niishauri tuu Serikali kama kuna kitu kizuri kinachofanywa na sekta binafsi wasione aibu kuiga kwani sekta binafsi na serikali zote zinahudumia jamii ile ile ya Taifa la Tanzania
This is hopless kabisa. Unajua maana ya kuhangaika lakini!
 
Back
Top Bottom