Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaomba hiyo orodha ya wachezaji 11
Kuteuliwa maana yake nini? Fikiria kwanza kabla ya kuandika..Kutokana na kwamba wengi wetu leo tunajua kuwa Mchezaji wetu anayecheza soka la kulipwa katika klabu ya Tout Puisant Mazembe Mbwana Samata " POPA " leo atateuliwa kuwa Mchezaji bora huko nchini Nigeria. kwa mtu anayejua mpira na uchambuzi mzuri wa mpira kwa vigezo na sifa fulani fulani Mbwana Samata leo hawezi KUTEULIWA kuwa ni MSHINDI.
Tukutane baadae na kwa wale ambao mtapenda kufuatilia hii sherehe basi hakikisheni ifikapo tu saa tatu ( 3 ) kamili muangalie super sports nine ( 9 ). na kwa taarifa yenu ni kuwa mpaka sasa naandika UZI huu tayari wachezaji 11 watakaochuana yameshatajwa na kila nikiwaangalia hao Wachezaji wenzio ambao ni MAHIRI sioni ni wapi Mbwana Samata ATASHINDA na kinachonichekesha ni kwamba Watanzania wote na hadi media zote za Tanzania bila kusahau humu mitaani watu TUNADANGANYANA kuwa Mbwana Samata atatwaa TUZO hiyo wakati mimi naona ni NDOTO YA ABUNUASI tena ni ya MCHANA kabisa.
Nawasihi tu tujifunze KUANGALIA mambo kwa KINA na kwa UPANA wake.
Mkuu ujue kutofautisha kati ya KUTEULIWA na KUCHAGULIWA..
Kuteuliwa maana yake nini? Fikiria kwanza kabla ya kuandika..
We Qumaa Ni mnyarwanda, Mimi nitakukomesha... Ama zako ama zangu humu tena kwa ID zako zote.na hapa ndipo wenzetu Wakenya, Waganda na Wanyarwanda wanapotushinda Watanzania kwani Elimu yao ni ya Mwanafunzi kujituma mwenyewe kwa 75% na Mwalimu 25% ila Udhaifu ulionao wa kutafuniwa kila kitu umetokana na mfumo wetu mbovu wa Elimu nchini Tanzania ambapo Mwanafunzi anatakiwa kutafuniwa kwa 90% na Mwanafunzi anajituma kwa 5% na zingine 5% ni za kuibia " kupiga chabo ". sikulaumu sana.
Mwenda wazimusehemu niliyokosea ni ndogo tu hiyo ya kusema " atateuliwa " ila nadhani CONTENT yangu nzima ya UZI imeeleweka. natamani uwe pia makini hivi hivi katika kukagua maneno hata katika THREADS zile za KIINGEREZA ili nikuamini zaidi.
kuna watu hawana kabisa akili kama huyu mleta mada.
umeandika nini ? hueleweki unakunya ama unaharisha, unahara ama unatapika.
si ungechambua.
hamnazo
kichaa mkubwa wewe tena ....... wwna hapa ndipo wenzetu Wakenya, Waganda na Wanyarwanda wanapotushinda Watanzania kwani Elimu yao ni ya Mwanafunzi kujituma mwenyewe kwa 75% na Mwalimu 25% ila Udhaifu ulionao wa kutafuniwa kila kitu umetokana na mfumo wetu mbovu wa Elimu nchini Tanzania ambapo Mwanafunzi anatakiwa kutafuniwa kwa 90% na Mwanafunzi anajituma kwa 5% na zingine 5% ni za kuibia " kupiga chabo ". sikulaumu sana.
Siwapendagi watu wenye upungufu Kama wewe, sema basi nani atashinda, unaandika ujinga baadaye uje kujitapa hapa! Wenue akili wangesema Samatta hawezi shinda, ila atashinda flani kwa sababu moja, mbili.....kuliko kujifanya mjuaji kumbe Maandazi kabisa...Kutokana na kwamba wengi wetu leo tunajua kuwa Mchezaji wetu anayecheza soka la kulipwa katika klabu ya Tout Puisant Mazembe Mbwana Samata " POPA " leo atateuliwa kuwa Mchezaji bora huko nchini Nigeria. kwa mtu anayejua mpira na uchambuzi mzuri wa mpira kwa vigezo na sifa fulani fulani Mbwana Samata leo hawezi KUTEULIWA kuwa ni MSHINDI.
Tukutane baadae na kwa wale ambao mtapenda kufuatilia hii sherehe basi hakikisheni ifikapo tu saa tatu ( 3 ) kamili muangalie super sports nine ( 9 ). na kwa taarifa yenu ni kuwa mpaka sasa naandika UZI huu tayari wachezaji 11 watakaochuana yameshatajwa na kila nikiwaangalia hao Wachezaji wenzio ambao ni MAHIRI sioni ni wapi Mbwana Samata ATASHINDA na kinachonichekesha ni kwamba Watanzania wote na hadi media zote za Tanzania bila kusahau humu mitaani watu TUNADANGANYANA kuwa Mbwana Samata atatwaa TUZO hiyo wakati mimi naona ni NDOTO YA ABUNUASI tena ni ya MCHANA kabisa.
Nawasihi tu tujifunze KUANGALIA mambo kwa KINA na kwa UPANA wake.
We Qumaa Ni mnyarwanda, Mimi nitakukomesha... Ama zako ama zangu humu tena kwa ID zako zote.
Siwapendagi watu wenye upungufu Kama wewe, sema basi nani atashinda, unaandika ujinga baadaye uje kujitapa hapa! Wenue akili wangesema Samatta hawezi shinda, ila atashinda flani kwa sababu moja, mbili.....kuliko kujifanya mjuaji kumbe Maandazi kabisa...
Mtoa mada hujui tofauti kati tuzo ya mchezaji bora wa mwaka Africa kiujumla na pia hujui tofauti yake na tuzo ya mchezaji bora kwa Ndani ya Africa anayowania Samatta na wenzake.
Usikurupuke!!!!!
Unatia aibu kwa kweli
Toa pongezi inapostahili
Unaongea ka vile wachezaji waliochaguliwa kuwania tuzo hiyo ni hao watatu tu na hakuna wengine. Kutambuliwa na kuchaguliwa kuwania tu ni furaha kwa hata wananchi na wengine
Wivu mbaya