MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
- Thread starter
- #81
Hahahahahahaha Naona umeamua kutia reverse kwenye mwendo sema ukweli ndugu nafsi inakusuta shame on you
hivi kabisa nyie mlijua mimi namaanisha nilipouanzisha huu UZI? pole zenu sana ila hakuna basi mtu au Mtanzania niliyefurahi KUSHINDA kwa Mbwana Samata " POPA " kama mimi amini msiamini. mtatokwa na mapovu bure hadi utumbo wenu kuchungulia nje kwa kunishambulia mimi " MKOMAVU " wa madongo. nilitaka tu TUSILALE na TUCHARURANE ili tuvute muda kwani TUNGEBOREKA kitu ambacho nimefanikiwa KWENU kwa 100%.