Angalia Watanzania tunavyojidanganya; Mbwana Samatta hatoteuliwa kuwa mchezaji bora Nigeria

Status
Not open for further replies.
sehemu niliyokosea ni ndogo tu hiyo ya kusema " atateuliwa " ila nadhani CONTENT yangu nzima ya UZI imeeleweka. natamani uwe pia makini hivi hivi katika kukagua maneno hata katika THREADS zile za KIINGEREZA ili nikuamini zaidi.
Kama upo makini usingekosea.
Mimi sikatai maoni yako juu ya Samatta bali nakushangaa unajifanya upo makini na unajua kuliko wengine. Mimi mtu wa hivyo ndio namuona punguani. Subiri usifiwe na sio kujisifu tu. Na ndio maana nimekukosoa kidogo tu povu linakutoka ohh.. threads zile za Kiingereza andika tu na utakosolewa tu.

Nakufananisha na mtoto ambae akizidiwa jambo na mwenzie anasema ngoja baba aje!
 
Bado sijaona kama kuna tatizo watu kujifariji kua samatta atashinda, sidhani ni watu wote wanaamini kwa asilimia mia kua atachukua tuzo ni ile hali ya kujifariji tu na kujiamini kua lolote linaweza tokea.

intellectual huwa haishi kwa " kudhania " bali anakuwa na sababu za kimsingi ambazo ni very vivid. kuishi kwa kudhania ndiyo huu huu " USWAHILI " wetu ambao unatutofautisha na majirani zetu waliotutangulia katika kila nyanja. kudhania huwa ni tabia za " kichawi " na anayejiamini huwa ana uhakika unaotokana na mazingira fulani.
 
Wewe Ni Mhaya?
sehemu niliyokosea ni ndogo tu hiyo ya kusema " atateuliwa " ila nadhani CONTENT yangu nzima ya UZI imeeleweka. natamani uwe pia makini hivi hivi katika kukagua maneno hata katika THREADS zile za KIINGEREZA ili nikuamini zaidi.
 
Siwapendagi watu wenye upungufu Kama wewe, sema basi nani atashinda, unaandika ujinga baadaye uje kujitapa hapa! Wenue akili wangesema Samatta hawezi shinda, ila atashinda flani kwa sababu moja, mbili.....kuliko kujifanya mjuaji kumbe Maandazi kabisa...

nilipojiita " cleverbright " nilikuwa namaanisha na najua nafanya nini na nina uhakika na najiamini kwa kile ninachokiona baada ya kukipima. narudia pale pale kuwa Mbwana Samata nilijua kuwa hatoshinda na kweli hajashinda na tuache kujipa matumaini pasipo kuangalia mambo kiuhalisia wake.
 
maneno haya ndiyo mliyokuwa mkiyasema tokea juzi wakati anaondoka Tanzania? au mnayasema leo baada ya kijana kuangukia pua? mnavyozidi kunijibu ndiyo mnazidi tu KUJIDHALILISHA halafu nawasanifu sana ila hamjui tu. mtalia sana ila zipo sababu nyingi zilizomfanya Mbwana Samata asishinde na zipo kama tatu ( 3 ) hivi za kuanzia ambazo zipo wazi tu lakini yakupasa uwe na upeo sana uweze kuzijua na bahati mbaya karibia watu wote mnaojifanya kunishambulia hamzijui.

Mie hata sijafatilia amekuwaje ni nani sifatiliagi na nimemjua baada ya kuona watu wanamuongelea kama ameshinda au ajashinda ya kumponda bado nasimamia kuwa ni wivu tu.

Hongera zake kubwa kwa kutambulika.
 
Kama upo makini usingekosea.
Mimi sikatai maoni yako juu ya Samatta bali nakushangaa unajifanya upo makini na unajua kuliko wengine. Mimi mtu wa hivyo ndio namuona punguani. Subiri usifiwe na sio kujisifu tu. Na ndio maana nimekukosoa kidogo tu povu linakutoka ohh.. threads zile za Kiingereza andika tu na utakosolewa tu.

Nakufananisha na mtoto ambae akizidiwa jambo na mwenzie anasema ngoja baba aje!
Kama upo makini usingekosea.
Mimi sikatai maoni yako juu ya Samatta bali nakushangaa unajifanya upo makini na unajua kuliko wengine. Mimi mtu wa hivyo ndio namuona punguani. Subiri usifiwe na sio kujisifu tu. Na ndio maana nimekukosoa kidogo tu povu linakutoka ohh.. threads zile za Kiingereza andika tu na utakosolewa tu.

Nakufananisha na mtoto ambae akizidiwa jambo na mwenzie anasema ngoja baba aje!

ili niamini haya uyasemayo kuwa pia uko vizuri kwa lugha ya Malkia naomba basi ndani tu ya dakika tano ( 5 ) zijazo niandikie hiki hiki kwa Kimombo ( Kiingereza ) nasubiri hapa. kumbuka nakupa dakika tano tu ila najua kwa jinsi ulivyo " wordsmith " utaniandikia kwa dakika mbili ( 2 ) tu. nakuaminia!
 
Mie hata sijafatilia amekuwaje ni nani sifatiliagi na nimemjua baada ya kuona watu wanamuongelea kama ameshinda au ajashinda ya kumponda bado nasimamia kuwa ni wivu tu.

Hongera zake kubwa kwa kutambulika.
matokeo ya mchezaji bora WA Africa kwa wachezaji WA ndani bado, achana Na huyo mpuuzi hajajitambua!
 
Mie hata sijafatilia amekuwaje ni nani sifatiliagi na nimemjua baada ya kuona watu wanamuongelea kama ameshinda au ajashinda ya kumponda bado nasimamia kuwa ni wivu tu.

Hongera zake kubwa kwa kutambulika.

kama ni kutambulika tu basi hata yule omba omba maarufu aliyekuwepo hapa Dar " MATONYA " nadhani tena anajulika sehemu nyingi duniani kushinda hata Mbwana Samata. vipi Mbwana Samata ameibuka MSHINDI? nipe taarifa kamili.
 
intellectual huwa haishi kwa " kudhania " bali anakuwa na sababu za kimsingi ambazo ni very vivid. kuishi kwa kudhania ndiyo huu huu " USWAHILI " wetu ambao unatutofautisha na majirani zetu waliotutangulia katika kila nyanja. kudhania huwa ni tabia za " kichawi " na anayejiamini huwa ana uhakika unaotokana na mazingira fulani.
Unaongea kutafuta sifa tu ila hufahamu kama hujui.
 
shida mleta mada anatoa jarida la utafiti bila hata kutetea utafiti wake..

anadai eti "anaona mbali" hiyo sio hoja kubwa..
hata prof maji marefu anaona mbali kupitia uganga...

toa uchambuzi wa kitaalam hapa, kuwa MBWANA hatoshinda kwa hili na lile.sio ooo MAHREZ ohhh watz...

hata mtoto mdogo anaweza kusema maneno kama yako, atatofautishwa tu na mtu mzima kutokana na hoja zake za kiutu uzima...
 
matokeo ya mchezaji bora WA Africa kwa wachezaji WA ndani bado, achana Na huyo mpuuzi hajajitambua!

hayo ya ndani yakitoka " tuhabarishe " mkuu. leo Watanzania tutatumbua sana MIMACHO yetu runingani tukiwa na matarajio hewa ila Mbwana Samata HATOIBUKA mshindi ila siyo vibaya kujipa moyo kwani nayo pia ni njia pekee ya KUJIFARIJI.
 
Kashinda nani?
kawaida wanashinda wanaochezea Europe...
zipo category mbili mchezaji bora afrika anaecheza ndani ya afrika na anaecheza nje ya afrika samatta kabeba mchezaji bora anacheza ndani ya afrika
 
Last edited:
Kutokana na kwamba wengi wetu leo tunajua kuwa Mchezaji wetu anayecheza soka la kulipwa katika klabu ya Tout Puisant Mazembe Mbwana Samata " POPA " leo atateuliwa kuwa Mchezaji bora huko nchini Nigeria. kwa mtu anayejua mpira na uchambuzi mzuri wa mpira kwa vigezo na sifa fulani fulani Mbwana Samata leo hawezi KUTEULIWA kuwa ni MSHINDI.

Tukutane baadae na kwa wale ambao mtapenda kufuatilia hii sherehe basi hakikisheni ifikapo tu saa tatu ( 3 ) kamili muangalie super sports nine ( 9 ). na kwa taarifa yenu ni kuwa mpaka sasa naandika UZI huu tayari wachezaji 11 watakaochuana yameshatajwa na kila nikiwaangalia hao Wachezaji wenzio ambao ni MAHIRI sioni ni wapi Mbwana Samata ATASHINDA na kinachonichekesha ni kwamba Watanzania wote na hadi media zote za Tanzania bila kusahau humu mitaani watu TUNADANGANYANA kuwa Mbwana Samata atatwaa TUZO hiyo wakati mimi naona ni NDOTO YA ABUNUASI tena ni ya MCHANA kabisa.

Nawasihi tu tujifunze KUANGALIA mambo kwa KINA na kwa UPANA wake.
kama hujui mpira nyamza hii sio siasa samata yupo katika kipengelee cha mchezaji bora wa afrika anacheza ndani ya afrika na sio nje na yupo kwenye top 3 hao wachezaj 11 unaowasema ni kikosi cha afrika ambacho kimehusisha na wachezaji wanaocheza afrika na nje ya afrika na samatta kwny kikosi yupo
 
  • Thanks
Reactions: KXY
hayo ya ndani yakitoka " tuhabarishe " mkuu. leo Watanzania tutatumbua sana MIMACHO yetu runingani tukiwa na matarajio hewa ila Mbwana Samata HATOIBUKA mshindi ila siyo vibaya kujipa moyo kwani nayo pia ni njia pekee ya KUJIFARIJI.
Mtanzania utakua wewe!? SamaGoal kabeba tuzo.. Sema jingine.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom