Angalia vizuri miguu (around ankles) ya jamaa, ni fungus?

Mwanamayu

JF-Expert Member
May 7, 2010
11,329
6,447
1.jpg


Source: Othmanmichuzi blog
 
Hizo ni alama za mabuti anayovaa; yeye na Lowassa hupendelea sana kuvaa hayo mabuti yenye zipu pembeni!!Sasa sijui akiwa huko Msoga huwa anayavaa bila soksi na ndio maana yanamtia alama!!
 
Hizo ni alama za mabuti anayovaa; yeye na Lowassa hupendelea sana kuvaa hayo mabuti yenye zipu pembeni!!Sasa sijui akiwa huko Msoga huwa anayavaa bila soksi na ndio maana yanamtia alama!!

Kila siku anavaa travolta shoes mpya na ni small size? Na kwa nini wenzake wamekunja miguu yeye kanyoosha ya kwake?
 
hizo fungus mzee


mbona kila anapoenda marekani anachekiwa na mahospitali makubwa kule???mkuu fungus kanatibika,nina mashaka ni simtoms za ile kitu bana,siku hizi tunamwona shemeji naye anabadilika bana
 
PHP:
1.jpg


Source: Othmanmichuzi blog

Naomba Kuuliza Hivi hao watu wasiokuwa na Kofia na walivaa kawaida ni watu wa usalama?
KAmani ndio ni nini kilichowafanya wote wageukie upande mmoja (Kushoto)
Mbona hakuna hata mmoja anaeangalia upande wa kulia? ama nyuma? maana inawezekana mtu akaja upande mmoja kuchota akili na upande wa pili action ikafanyika

ni mawazo tu
 
Naomba Kuuliza Hivi hao watu wasiokuwa na Kofia na walivaa kawaida ni watu wa usalama?
KAmani ndio ni nini kilichowafanya wote wageukie upande mmoja (Kushoto)
Mbona hakuna hata mmoja anaeangalia upande wa kulia? ama nyuma? maana inawezekana mtu akaja upande mmoja kuchota akili na upande wa pili action ikafanyika

ni mawazo tu
Mtu wa usalama ni huyo aliyekalia kiti
 
Naomba Kuuliza Hivi hao watu wasiokuwa na Kofia na walivaa kawaida ni watu wa usalama?
KAmani ndio ni nini kilichowafanya wote wageukie upande mmoja (Kushoto)
Mbona hakuna hata mmoja anaeangalia upande wa kulia? ama nyuma? maana inawezekana mtu akaja upande mmoja kuchota akili na upande wa pili action ikafanyika

ni mawazo tu

Yaani umewaza kama mimi, hao ni usalama lakini nashangaa macho yao wote wanaangalia upande mmoja, training zaidi yahitajika
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom