mirindimo una matatizo, sasa huyu jamaa alipigwa picha saa ngapi na chupi lake la winda, hapo hawazi ila anatoa kinyesi kigumu si unajua maharage yakiganda tumboni? jf bonge la starehe
Mze Yusuf nomaaaa. Hapa alikuwa anawaza amtungie nini Bibie Leila (mke wake). Kunya kuna starehe yake bwana asikudanganye mtu, zamani nilikuwa sielewi kwanini mtu akinya anakaa chooni hata saa nzima ila sasa, ahh mimi na choo tu tena naenda na lap top, najisaidia huku nasoma mambo ya dunia na kupata elimu dunia toka hapa JF. Kunya raha jamani....tufungue hii thread juu ya raha ya kunya, nawakilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.