Angalia vituko vya Polisi ITV

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,462
21,334
Kamanda wapolisi Singida ametuacha hoi,ameanza kusimamisha madereva wa mabasi na kuwapima kama wamelewa.


Alipoulizwa kwanini wawapime mwezi huu na sio siku zote ati mwezi huu vijana wengi wanaweka pombe kwenye chupa ya maji kumbe viroba.

Hivi wakuu na ID makamanda wa polisi wengine hivi vifo vya ajali majuzi hamkuviona mpaka mnakuja kujionesha xmass?

Angalizo

Soon utawaona sumatra pale stand ya mkoa na polisi wakikagua mabasi na bei kama vile miezi mingine tunaruhusiwa kufa jamani,kwanini wasikague kila siku?

Pombe ziko kila siku why upime Disemba tu tena unajibu mwezi huu madereva wengi sikukuu wanakuwa wamelewa.
 
Kwa wachaga kweliwanaazimisha MWEZI wa pombe dunian
 
Pedafomu

Nimeipenda sana hofu isiwe dec Tujanuary tukaendelea kuzika
 
Ubungo wiki iliyopita sumatra walikuwepo na watu walirudishiwa naul zao walzokuwa wamezidishiwa na madalal!
 
Kamanda wapolisi singida ametuacha hoi
ameanza kusimamisha madereva wa mabasi na kuwapima kama wamelewa


alipoulizwa kwanini wawapime mwezi huu na sio sikuzote ati mwezi huu vijana wengi wanaweka pombe kwenye chupa ya maji kumbe viroba

hivi wakuu na id makamanda wa polisi wengine hivi vifo vya ajali majuzi hamkuviona mpaka mnakuja kujionyesha xmass

angalizo

soon utawaona sumatra pale stand yamkoa napolisi wakikagua mabasi na bei kama vile miezi mingine tunaruhusiwa kufaw jamani

kwa nini wasikague kila siku
pombe ziko kilasiku why upime december tu??tena unajibu mwezi huu madereva wengi sikukuu wanakuwa wamelewa

uwii

Pdidy kwani kuna kosa gani polisi kukagua uwe unaleta vitu vya maana basi acha upumbavu waache wafanye kazi zao! au na wewe ni mtu wa viroba???
 
Kamanda wapolisi singida ametuacha hoi
ameanza kusimamisha madereva wa mabasi na kuwapima kama wamelewa


alipoulizwa kwanini wawapime mwezi huu na sio sikuzote ati mwezi huu vijana wengi wanaweka pombe kwenye chupa ya maji kumbe viroba

hivi wakuu na id makamanda wa polisi wengine hivi vifo vya ajali majuzi hamkuviona mpaka mnakuja kujionyesha xmass

angalizo

soon utawaona sumatra pale stand yamkoa napolisi wakikagua mabasi na bei kama vile miezi mingine tunaruhusiwa kufaw jamani

kwa nini wasikague kila siku
pombe ziko kilasiku why upime december tu??tena unajibu mwezi huu madereva wengi sikukuu wanakuwa wamelewa

uwii

Wewe nawe hufikirii,sasa kama ndio wamezinduka sasa hivi waache kufanya hilo zoezi au waendelee kufuatilia ili ndugu zetu wasipoteze maisha kwa uzembe? Kipi ni bora!
 
hivi kile kipimo wanachopimiwa kujua kama amekunywa pombe inakuwaje maana wanapimwa kwa kuwekewa mdomoni kiafya imekaaje
 
Mi sioni kama kuna ubaya hapa, ni issue ya usalama, na ukizingatia kuwa watu wengi wanapoteza maisha kwa ajali tokana na uzembe na kiburi cha maderva kinachosababishwa na matumizi ya Pombe na Bangi.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom