Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Kwa ufahamu wangu wa misamiati ya Kiswahili...uzembe sio tusi, ni sifa "kivumishi cha sifa" ingawa sio sifa nzuri kwa mtu kuringa nayo. Ni dalili ya udhaifu fulani..
Hebu fuata link hii ya Bunge letu linaloitwa tukufu ujionee uzembe rahisi kama huu... http://www.parliament.go.tz/index.php/members/mpcvs/1698/2010-2015
Alie mzembe akiwambiwa mzembe na kama ni kweli ni mzembe yampasa kubadilika ili asiwe sehemu ya wazembe wengine!!
Hebu fuata link hii ya Bunge letu linaloitwa tukufu ujionee uzembe rahisi kama huu... http://www.parliament.go.tz/index.php/members/mpcvs/1698/2010-2015
Alie mzembe akiwambiwa mzembe na kama ni kweli ni mzembe yampasa kubadilika ili asiwe sehemu ya wazembe wengine!!