Mimi nashangaa kwanini wameenda kwenye Tv ya kujifunzia, pia inarusha matangazo yake yanayo ishia Kijitonyama tu hata Mabibo hostel hawayapati, ina maana kuwa nao pia wanajifunza siasa. Ama kweli tumbo linasababisha mtu aseme hata mambo ambayo hayapo akilini mwake. Kigoma watu hao wanawajua vema unanafiki wao.
mrema wa TLP, SIYO MPENZANI WA KWELI , ila yupo kwasababu ya kutumiwa ilikuharibu kambi ya upinzani, na kaburu naye siyo mwanaharakati wa kweli ni mtu wa kutafuta fursa ya kujipatia kipata ndiyo maana hana msimamo wa kisiasa, ila kwasasa habari yao kwisha kabisa TANZANIA YA sasa bila mamluki inawezekanatupe clip, ya hayo mazungumzo