kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 11,641
- 13,024
umeshasema anabana pua asamehewe pengine ameandika maagizo toka kwa aliyesababisha abane pua
Bwana Priva najua upo humu umemsikia zuwena Anachosema?......Kale Kamtu nikapumbavu Kweli kweli
Kanapenda Kujiona Kapo juu kajuaji
na Misifa ya kujiona ndio Kenye Data za ndani kumbe Ugolo tu
Ndege yako mwenyewe uliokodi haina transit mkuu, hiyo huwa inatokea kwa mfano usafiri wa hapa kwenda Congo kwa kipindi cha nyuma kulikuwa hakuna mpaka hapo juzi shirika lilipo ongeza route ya KinshasaHizo za ndege kwa hapa Africa ni changamoto ,unaweza ukakuta wakitoka Botswana transit ni mpaka Ethiopia
Naam akina mwalimu kashasha....
Aisee nimecheka sana.Na kuna yule Boya wa"What a game?"
"What a goal?","What a match?"....sijui anaitwa nani.
Yaani anajikutaga wa mbele kinyama.
Mimi huwa nawasikiliza tu nasema hawa mafamba kama sio connection hawapati kazi hata kwenye redio/tv ya kijijini.Huwa anakurupuka sana kuongea vitu ambavyo havijui siku hizi ukijua tu position za wachezaji uwanjani unakuwa mchambuzi kama yule Prisca anajua nini zaidi ya kundandia vitu kwa juu, na sio yeye tu wapo wengi sana wamejificha kwenye kichaka cha wachambuzi.
Yanga ilienda na ATCL Nigeria, Simba inashindwaje kwenda Botswana?Kwanza changamoto za usafiri wa ndege huwa ni kwa safari za nje ya nchi ambako shirika halina ndege inayoenda katika nchi hiyo,
Na usafiri wa ndege kwa ndani ya nchi hakuna changamoto ya namna hiyo kwasababu nowdays ndege zinatua katika viwanja vingi huko mikoani
Kwa kutambua changamoto hiyo timu ya simba kwanini iliingia mkataba na ATCL kwa safari za ndani ambazo hakuna changamoto na kuziacha safari za nje zenye changamoto kibao
Mtu mwenye akili timamu ninahoji kuna umuhimu gani wa simba kuingia mkataba huo na ATCL na wakati safari za nje zinawasumbua?
Wa MASHATI ROMBO!!
Msikilize mwanzo mwisho akiongea lazima atoe boko ,halafu ni mtu wa kuruka na tetesi na kuongeza chumvi ni sawa kuongelea tetesi lakini tatizo nyingi anazosema huwa inakuwa si kama ilivyo yeye anakurupuka tu,halafu sometimes hata wenzake kama wanaingilia maongezi ili asirukie ambacho Hana uhakika but utakuta anakazaniaTatizo priva hana msimamo
Sema now kila mtandao unamwandamaMsikilize mwanzo mwisho akiongea lazima atoe boko ,halafu ni mtu wa kuruka na tetesi na kuongeza chumvi ni sawa kuongelea tetesi lakini tatizo nyingi anazosema huwa inakuwa si kama ilivyo yeye anakurupuka tu,halafu sometimes hata wenzake kama wanaingilia maongezi ili asirukie ambacho Hana uhakika but utakuta anakazania
Ni shoga analiwa namjua nje ndani na kule kwao Moshi Ni jirani kabisa na kwa Bibi yangu !! Inasemekana ashafumuliwa Malinda!!Hivi huyo priva ni mchaga wa wapi taahira hivyo.,,!?!!
Daaah mwanangu, ndio unamuuwa kabisaNi
Ni shoga analiwa namjua nje ndani na kule kwao Moshi Ni jirani kabisa na kwa Bibi yangu !! Inasemekana ashafumuliwa Malinda!!
Mimi Ni yanga lakini lazima waandishi waelewe kuwa safari za ndege Africa zinasumbuaKwanza changamoto za usafiri wa ndege huwa ni kwa safari za nje ya nchi ambako shirika halina ndege inayoenda katika nchi hiyo,
Na usafiri wa ndege kwa ndani ya nchi hakuna changamoto ya namna hiyo kwasababu nowdays ndege zinatua katika viwanja vingi huko mikoani
Kwa kutambua changamoto hiyo timu ya simba kwanini iliingia mkataba na ATCL kwa safari za ndani ambazo hakuna changamoto na kuziacha safari za nje zenye changamoto kibao
Mtu mwenye akili timamu ninahoji kuna umuhimu gani wa simba kuingia mkataba huo na ATCL na wakati safari za nje zinawasumbua?
Flight za ndege za kiafrica zinasumbua Sana we unaenda Botswana kwa kupitia South Africa?Kwanza changamoto za usafiri wa ndege huwa ni kwa safari za nje ya nchi ambako shirika halina ndege inayoenda katika nchi hiyo,
Na usafiri wa ndege kwa ndani ya nchi hakuna changamoto ya namna hiyo kwasababu nowdays ndege zinatua katika viwanja vingi huko mikoani
Kwa kutambua changamoto hiyo timu ya simba kwanini iliingia mkataba na ATCL kwa safari za ndani ambazo hakuna changamoto na kuziacha safari za nje zenye changamoto kibao
Mtu mwenye akili timamu ninahoji kuna umuhimu gani wa simba kuingia mkataba huo na ATCL na wakati safari za nje zinawasumbua?
Duh.Ni
Ni shoga analiwa namjua nje ndani na kule kwao Moshi Ni jirani kabisa na kwa Bibi yangu !! Inasemekana ashafumuliwa Malinda!!
Kumbe issue zenu za kikabilaJamaa ana ujuaji fulani wa kibwege sana hata kakiongea anang'ata ulimi na kurembaremba accent sijui ili a sound kama wazungu, unatuabisha wachaga wewe, sijasahau uliposababisha beef kubwa kati ya Magori na Efm baada ya Magori kuchanganya madesa na kudhani sport Hq ndiyo waliyotangaza habari kwamba simba imeshindwa kulipa mishahara miezi 2 kumbe ni wewe uliandika upupu kwenya gazeti huko sijui dimba lile
Sasa embu jitafakari basi, angalia jinsi ulivyo report hii habari ya simba kuingia mkataba wa ndani na Atcl halafu post nyingine unashangaa mkataba umekuwaje tena mkataba hauitimiizii simba kwenda Botswana, hujui kwamba Botswan siyo ndani ya nchi hii?
View attachment 1973913
GENTAAAAAAAAA!Jamaa ana ujuaji fulani wa kibwege sana hata kakiongea anang'ata ulimi na kurembaremba accent sijui ili a sound kama wazungu, unatuabisha wachaga wewe, sijasahau uliposababisha beef kubwa kati ya Magori na Efm baada ya Magori kuchanganya madesa na kudhani sport Hq ndiyo waliyotangaza habari kwamba simba imeshindwa kulipa mishahara miezi 2 kumbe ni wewe uliandika upupu kwenya gazeti huko sijui dimba lile
Sasa embu jitafakari basi, angalia jinsi ulivyo report hii habari ya simba kuingia mkataba wa ndani na Atcl halafu post nyingine unashangaa mkataba umekuwaje tena mkataba hauitimiizii simba kwenda Botswana, hujui kwamba Botswan siyo ndani ya nchi hii?
View attachment 1973913