Angalia tofauti

mchonga

JF-Expert Member
Dec 3, 2006
1,233
247
Independence.jpg
 
Nimekubali sawasawa kabisa message delivered -wanaosheherekea wamepata ujumbe mkuu. Katiba mpya itatupatia uhuru wa kweli
 
Hali ya kipindi hicho ilikuwa nafuu kuliko leo hii! lakini mwisho utafika tu na sisi wanyonge kuwa Huru
 
Nakumbuka wakati fulani Nyerere aliwafukuza wanafunzi wa UDSM kwa kusema "afadhali serikali ya mkoloni". Angekuwa hai angekuzukia na wewe labda!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom