D DENYO JF-Expert Member Sep 14, 2010 698 57 Dec 10, 2010 #2 Nimekubali sawasawa kabisa message delivered -wanaosheherekea wamepata ujumbe mkuu. Katiba mpya itatupatia uhuru wa kweli
Nimekubali sawasawa kabisa message delivered -wanaosheherekea wamepata ujumbe mkuu. Katiba mpya itatupatia uhuru wa kweli
Zipuwawa JF-Expert Member Nov 28, 2010 3,053 653 Dec 10, 2010 #3 Hali ya kipindi hicho ilikuwa nafuu kuliko leo hii! lakini mwisho utafika tu na sisi wanyonge kuwa Huru
Hali ya kipindi hicho ilikuwa nafuu kuliko leo hii! lakini mwisho utafika tu na sisi wanyonge kuwa Huru
pmwasyoke JF-Expert Member May 27, 2010 4,584 2,950 Dec 10, 2010 #4 Nakumbuka wakati fulani Nyerere aliwafukuza wanafunzi wa UDSM kwa kusema "afadhali serikali ya mkoloni". Angekuwa hai angekuzukia na wewe labda!
Nakumbuka wakati fulani Nyerere aliwafukuza wanafunzi wa UDSM kwa kusema "afadhali serikali ya mkoloni". Angekuwa hai angekuzukia na wewe labda!