GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,865
Wageni wa Puerto Rico wakiitwa Hekaluni mwa Bwana na kupewa muda wa Kuzungumza malalamiko yao utawasikia wakisema haya:
" Shikamoo Baba endelea hivyo hivyo uko vyema "
" Shikamoo Baba hakuna kama Wewe hapa Puerto Rico "
" Shikamoo Baba hakuna tatizo na nimeipenda mno Suti yako "
" Shikamoo Baba yaani unatupenda hadi tunakuona Messiah mpya "
" Shikamoo Baba yaani nikikuona Wewe tu namuona Yesu Kristo "
" Shikamoo Baba wasikudanganye wala hakuna tatizo na nchi iko vizuri na unapendwa kuliko hata Mungu "
Wageni wa nchi zingine wakiitwa Hekaluni mwa Bwana na kupewa muda wa Kuzungumza malalamiko yao utawasikia wote wakisema haya:
" Oya acha Kutuzingua sawa? "
" Tutakuachia nchi halafu ikushinde "
" Watu tuna njaa halafu unaleta za kuleta hapa "
" Na tunapoongea hapa usitupangie cha Kuongea wala Kutuamrisha sawa? "
" Nisikufiche huko nje umechokwa kabisa "
" Kwahiyo unadhani kutuita hapa Hekaluni ndiyo tutakuogoa au? Tunakupa makavu hapa hapa "
" Wewe ungefanyiwa yote haya ungefurahi? Hivi Wewe ni Binadamu mwenzetu au? "
Nawasilisha.
" Shikamoo Baba endelea hivyo hivyo uko vyema "
" Shikamoo Baba hakuna kama Wewe hapa Puerto Rico "
" Shikamoo Baba hakuna tatizo na nimeipenda mno Suti yako "
" Shikamoo Baba yaani unatupenda hadi tunakuona Messiah mpya "
" Shikamoo Baba yaani nikikuona Wewe tu namuona Yesu Kristo "
" Shikamoo Baba wasikudanganye wala hakuna tatizo na nchi iko vizuri na unapendwa kuliko hata Mungu "
Wageni wa nchi zingine wakiitwa Hekaluni mwa Bwana na kupewa muda wa Kuzungumza malalamiko yao utawasikia wote wakisema haya:
" Oya acha Kutuzingua sawa? "
" Tutakuachia nchi halafu ikushinde "
" Watu tuna njaa halafu unaleta za kuleta hapa "
" Na tunapoongea hapa usitupangie cha Kuongea wala Kutuamrisha sawa? "
" Nisikufiche huko nje umechokwa kabisa "
" Kwahiyo unadhani kutuita hapa Hekaluni ndiyo tutakuogoa au? Tunakupa makavu hapa hapa "
" Wewe ungefanyiwa yote haya ungefurahi? Hivi Wewe ni Binadamu mwenzetu au? "
Nawasilisha.