b5-click
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 2,195
- 2,109
Kwa kiswahili inaitwaje?TMA ... hiyo ni military academy...
Kwa kiswahili inaitwaje?TMA ... hiyo ni military academy...
Mimi nimeishia primary mkuu...Acha hasira, twambie jina la chuo chako tu usione aibu mkuu
Bila shaka hii orodha itahamishiwa jukwaa la jokes sasa wewe hasira yanini
Eti saut inazidi udom. Inaizidi hdi Nelson Mandela.. Pyeesaut inaizidi udom.. nina walakini na hii ranking