Angalia namna Lowassa anavyojichanganya na kuonyesha mapungufu yake mengi

هت حخ كتع ضصاؤهىث رزؤن
 
Hii ni shidaaa mana lowasa ananunua watu ili afanikiwe kuingia ikulu na akiingia tutegemee ikulu itakua na walinzi wakimasai na sime zao na hata tausi wata chinjwa wote na kuleta ngombe mgeni akifika analetewa maziwa huku akimsubili raisi pia ugoro utauzwa mpaka ikulu na felli watazuia kuleta samaki

Hahaha Na hilo halipo lowassa kuwa Rais ndoto
 
mtu anapotaka kuanguka huwa hachagui jiwe la kujikwaa.

Wameshiba madaraka, ndio maana wanawaita watu waheshimiwa makapi, oil chafu nk. Ukiona hivi tambua watu wamejisahau na hawajitambui tena kuwa hao kina kapi na oil chafu wana watu nyuma yao... Ni maneno yanayozaa chuki.

Hivi kuna watu walikuwa wakiongea mbofu kama wale waliotoka nccr na cuf enzi zile? Wakaenda ccm na kuwapa watu majina ya ajabu? Mbona leo hawakumbukwi? Sioni ajabu wapiga firimbi wa sasa...

Nimakapi kwani uongo
 
Low as a hajui hata kuongea Na mwenyewe anajua ikulu labda ya Monduli ndio atakanyaga

Mimi mwalimu na wanafunzi wangu zaidi ya 200 wenye vichinjio wamenihakikishia kuwa watakuwa pamoja na mimi kumpigia kura Lowasa.
 
Hamna hata sehemu moja aliyo jichanganya katika kauli zake! Kauli ya kwanza aliitoa wakati akiwa UGAMBANI kauli ya pili ameitoa akiwa kwa watu MAKINI wazee wa M4C.
 
CHADEMA wanapata FREE ride ya MH Lowassa kwenda IKULU

Not right.

"CHADEMA Tunapata FREE ride ya MH Lowassa kwenda IKULU"

Dogo Freemtu.
Mimi ni Lowa wa Lowassa ride yangu ni ya Uhakika.

Tuliza BOLI dogo.


a.aaa-dog-carrying-puppy.jpg
 
Njia Nyeupeeeeeeeeeee

Hiiii hiiii

Dr Silaha Ariye tu Hii hii hii.

Ukiacha Mzee EDDY mwenyewewe.
Mtu mwingine ninaye mhashimu na kumpenda ni wewe baba Ed.

Nikiwa na wewe niko salama kabisa


dog-with-puppy-in-basket.jpg
 
Nakumbuka fika kuwa katika mikutano yake wakati hata bado hajakinunua chadema, ukawa na watannzania baadhi wasiojielewa lowassa alikuwa kila anaponukuliwa anasema nanukuu " mimi sitaki mtu masikini na siamini kama kuna mtu masikini tanzania " mwisho wa kunukuu. kwa wale mtakaobisha tafuteni kauli zake hizi kupitia kwa watu waliokuwepo katika hiyo mikutano yake na kauli hii hii pia aliitumia wakati akitangaza nia kupitia chama kikubwa, kizuri, bora na kitakatifu tanzania, africa na duniani kwa ujumla cha CCM.

Ili kuonyesha huyu mzee anavyofilisika kichwani leo tena akiwa huko kwa watu wanaopenda umbea sana kuliko wowote nchini Tanzania mkoani Mbeya lowassa alisema nanukuu " nikiwa rais nitaunda serikali rafiki na masikini kwani natambua tuna marafiki wengi " mwisho wa kumnukuu. je kauli zake zinafanana? kwanini haeleweki? ila sishangai kwani yawezekana wengi wenu msiweze kugundua hili pengine kutokana na kutekwa na mihemko ya siasa za panya road za wapinzani wa nchi hii CHADEMA / UKAWA.

Jambo jingine ambalo linanichanganya kwa huyu mgombea mwenye ndoto za alinacha lowassa ni kitendo chake cha kutumia udhaifu wa kiuchumi wa makundi fulani ya watanzania kama ndiyo mtaji wake wa kisiasa. kwa mfano kokote ambko lowassa ataenda kuhutubia lazima atasema maneno au kauli hii " nikiwa rais nitahakikisha maisha bora kwa mama ntilie, boda boda na wamachinga ". hivi ni kweli matatizo ya nchi hii ni ya watu au makundi hayo ya watu? nimewahi mno kufuatilia siasa za wenzetu waliotutangulia katika siasa tena za kidemokrasia kwa muda mrefu na hapa kwa ulaya nachukua mfano wa nchi ya marekani ambapo nakumbuka wakati wa kampeni za urais obama wa democrat na john mcain wa republican muda wote wa kampeni zao walikuwa wanagusia tu " sensitive and very touching issues " zinazowahusu na zitakazowafaidisha wamarekani kiujumla vivyo vivyo kwa majirani zetu wa kenya hata wao wakati wa akina uhuru na odinga na wao hawakuwa mbali sana kama akina obama na mcain wakati wa kampeni zao ila kwa hapa Tanzania naona lowassa anataka kuleta mtindo wa siasa uitwao " monduli politics " ambazo zimejaa sana sera za kucheza na akili za watu wasiojua kufikiri na ambao wapo tayari kupelekwa pelekwa kama ng'ombe wakiwa malishoni.

Ewe mgombea wangu rais mtarajiwa dr. John Pombe Magufuli naomba utakapoanza kampeni zako hebu tuonyeshe kuwa kweli wewe ni phd holder na utakayoyasema yaakisi hiyo elimu yako kubwa na binafsi nakuaminia na utafanikiwa mno. watanzania tunakutegemea sana magufuli na tuna imani na wewe na chama chako pia.

Tuvumiliane tu kwa sasa.

Mdau huyu jamaa hamna kitu watu wanamshabikia tu


Kule kwetu kusini kunaitwa ushabiki ndunga
 
Mimi mwalimu na wanafunzi wangu zaidi ya 200 wenye vichinjio wamenihakikishia kuwa watakuwa pamoja na mimi kumpigia kura Lowasa.

usitafute ujiko kwa kusema wewe ni mwalimu badala yake sema wewe ni mwalimu wa UPE tu na ambao wengi wenu ni form four failures na standard seven drop outs hivyo sishangai upuuzi wa hii post yako. walimu na Watanzania 99.999% Tanzania ni CCM na wanaipenda CCM na wanampenda na kumkubali kulikopitiliza Rais mtarajiwa Dr. John Pombe Magufuli.
 
Njia Nyeupeeeeeeeeeee

Hiiii hiiii

Dr Silaha Ariye tu Hii hii hii.
Kila kitu yeyey kuzila tuuuuu.

Hiiiiiiiii Hiiiiiiii

Baba ELO nakuamini saaana. Hiiiii



dog-with-puppy-in-basket.jpg


Dogo!

Funga domo lako Tulia, faidika na lifti.
 
Nakumbuka fika kuwa katika mikutano yake wakati hata bado hajakinunua chadema, ukawa na watannzania baadhi wasiojielewa lowassa alikuwa kila anaponukuliwa anasema nanukuu " mimi sitaki mtu masikini na siamini kama kuna mtu masikini tanzania " mwisho wa kunukuu. kwa wale mtakaobisha tafuteni kauli zake hizi kupitia kwa watu waliokuwepo katika hiyo mikutano yake na kauli hii hii pia aliitumia wakati akitangaza nia kupitia chama kikubwa, kizuri, bora na kitakatifu tanzania, africa na duniani kwa ujumla cha CCM.

Ili kuonyesha huyu mzee anavyofilisika kichwani leo tena akiwa huko kwa watu wanaopenda umbea sana kuliko wowote nchini Tanzania mkoani Mbeya lowassa alisema nanukuu " nikiwa rais nitaunda serikali rafiki na masikini kwani natambua tuna marafiki wengi " mwisho wa kumnukuu. je kauli zake zinafanana? kwanini haeleweki? ila sishangai kwani yawezekana wengi wenu msiweze kugundua hili pengine kutokana na kutekwa na mihemko ya siasa za panya road za wapinzani wa nchi hii CHADEMA / UKAWA.

Jambo jingine ambalo linanichanganya kwa huyu mgombea mwenye ndoto za alinacha lowassa ni kitendo chake cha kutumia udhaifu wa kiuchumi wa makundi fulani ya watanzania kama ndiyo mtaji wake wa kisiasa. kwa mfano kokote ambko lowassa ataenda kuhutubia lazima atasema maneno au kauli hii " nikiwa rais nitahakikisha maisha bora kwa mama ntilie, boda boda na wamachinga ". hivi ni kweli matatizo ya nchi hii ni ya watu au makundi hayo ya watu? nimewahi mno kufuatilia siasa za wenzetu waliotutangulia katika siasa tena za kidemokrasia kwa muda mrefu na hapa kwa ulaya nachukua mfano wa nchi ya marekani ambapo nakumbuka wakati wa kampeni za urais obama wa democrat na john mcain wa republican muda wote wa kampeni zao walikuwa wanagusia tu " sensitive and very touching issues " zinazowahusu na zitakazowafaidisha wamarekani kiujumla vivyo vivyo kwa majirani zetu wa kenya hata wao wakati wa akina uhuru na odinga na wao hawakuwa mbali sana kama akina obama na mcain wakati wa kampeni zao ila kwa hapa Tanzania naona lowassa anataka kuleta mtindo wa siasa uitwao " monduli politics " ambazo zimejaa sana sera za kucheza na akili za watu wasiojua kufikiri na ambao wapo tayari kupelekwa pelekwa kama ng'ombe wakiwa malishoni.

Ewe mgombea wangu rais mtarajiwa dr. John Pombe Magufuli naomba utakapoanza kampeni zako hebu tuonyeshe kuwa kweli wewe ni phd holder na utakayoyasema yaakisi hiyo elimu yako kubwa na binafsi nakuaminia na utafanikiwa mno. watanzania tunakutegemea sana magufuli na tuna imani na wewe na chama chako pia.

Tuvumiliane tu kwa sasa.

Naomba ututake radhi Mbeya tuna akili timamu kabisa na tumeelimika tutamchagua Lowasa
 
Umeshaonyesha Lowassa humuelewi, je, Magufuli ulimwelewa kwa suala la kugawa Laptop ?
 
Ningekuona wa busara sana kama ungemuongelea huyo Pombe wenu.

Lowasa muache tu ni next level
 
Yupo sahihi na hakuna alichobadirisha sema mtoa post akiri yako ya kuelewa na kuchanganua imepoa kama maiti ya paka

wana CHADEMA / UKAWA wote na nyie mmeambukizwa parkinson disease kutoka kwa mgombea wenu " kubwa la makapi na fisadi " a.k.a lowassa.
 
20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom