ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,414
- 9,556
Tumeshuhudia jeshi la Israel likifanya mashambulizi kadhaa ndani ya nchi ya Syria katika operation tofauti tofauti kama vile kuharibu silaha za zinazohofiwa kusafirishwa kwa Hezbollah, kuharibu kinu cha nyuklia cha Syria mwaka 2007(operation Orchard), nk.
Katika operesheni hizo tumeshuhudia mara nyingi jeshi la Syria likitoa taarifa kwamba limefanikiwa kudungua ndege za Israel na baadae taarifa hizo kukanushwa na jeshi la Israel (IDF) kwamba hakuna ndege yao hata moja iliyopata matatizo.
Pia tumeshuhudia jeshi la anga la Syria kurushia makombora mengi ndege za Israel bila mafanikio ya kuzitungua, huku ndege hizo zikiwa kwenye operation zake kadhaa.
Video hii inaelezea jinsi mifumo ya Israel inavyoweza kuJam rada za adui au kuzipa signal za uongo na kuona kwamba wamefanikiwa kutungua ndege zao kumbe ni kinyume chake.
Pia inaelezea namna ambavyo mifumo hiyo imekua ikielekeza makombora hayo mahali pengine kabisa na zilipo ndege zao kama tulivyoshudia miezi kadhaa iliyopita makombora ya kutungulia ndege ya Syria yakirushwa kwa wingi bila mafanikio yoyote ya kutungua ndege za jeshi la Israel.
Katika operesheni hizo tumeshuhudia mara nyingi jeshi la Syria likitoa taarifa kwamba limefanikiwa kudungua ndege za Israel na baadae taarifa hizo kukanushwa na jeshi la Israel (IDF) kwamba hakuna ndege yao hata moja iliyopata matatizo.
Pia tumeshuhudia jeshi la anga la Syria kurushia makombora mengi ndege za Israel bila mafanikio ya kuzitungua, huku ndege hizo zikiwa kwenye operation zake kadhaa.
Video hii inaelezea jinsi mifumo ya Israel inavyoweza kuJam rada za adui au kuzipa signal za uongo na kuona kwamba wamefanikiwa kutungua ndege zao kumbe ni kinyume chake.
Pia inaelezea namna ambavyo mifumo hiyo imekua ikielekeza makombora hayo mahali pengine kabisa na zilipo ndege zao kama tulivyoshudia miezi kadhaa iliyopita makombora ya kutungulia ndege ya Syria yakirushwa kwa wingi bila mafanikio yoyote ya kutungua ndege za jeshi la Israel.