elixer of life
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 612
- 596
Wanasema kwamba vita ni nzuri kwa biasharaMkuu biashara ya silaha ni biashara yenye faida ya mabilioni ya dola. Sasa bila vita hizo silaha zitauzika vipi?!
Nadhani mkuu izzo anaweza kulielezea hili kiundani zaidi